Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Hayo maswali yako Ndiyo umeleta ushahidi wa Yesu amesema kuwa yeye ni Mungu na amevaa mwili wa mwanadamu???
Kuna wakati kulaani inapiga Pentagon..[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
لَمَّا ضُرِبَ ٱبْنُ مَرْيَمَ مَثَلًا إِذَا قَوْمُكَ مِنْهُ يَصِدُّونَ ﴿٥٧﴾
Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.

وَقَالُوٓاْ ءَأَٰلِهَتُنَا خَيْرٌ أَمْ هُوَ ۚ مَا ضَرَبُوهُ لَكَ إِلَّا جَدَلًۢا ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ خَصِمُونَ ﴿٥٨﴾
Wakasema: Miungu yetu kwani si bora kuliko huyu? Hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu. Bali hao ni watu wagomvi!
 
SURAH ZUKHRUF AYAT 61 IN ARABIC TEXT
وَإِنَّهُۥ لَعِلۡمٞ لِّلسَّاعَةِ فَلَا تَمۡتَرُنَّ بِهَا وَٱتَّبِعُونِۚ هَٰذَا صِرَٰطٞ مُّسۡتَقِيمٞ
Wa innahoo la ‘ilmun lis Saa’ati fa laa tamtarunna bihaa wattabi’oon; haazaa Siraatun Mustaqeem
ENGLISH TRANSLATION
Here you can read various translations of verse 61

SAHIH INTERNATIONAL
And indeed, Jesus will be [a sign for] knowledge of the Hour, so be not in doubt of it, and follow Me. This is a straight path.

YUSUF ALI
And (Jesus) shall be a Sign (for the coming of) the Hour (of Judgment): therefore have no doubt about the (Hour), but follow ye Me: this is a Straight Way.

Kumbe una id nyingi
Si ungalimjibu tu bila ya yeye kuleta referens siyo 😜😜
 
Maswali ni Aya bado hujajibu

-Naomba verse Allah anasema kuwa Adam na adamu akawa
- weka verse Allah anasema kuwa Isa na akawa
Ndiyo umeleta ushahidi wa aya Bwana Yesu anasema Mimi ni Mungu nilyevaa mwili wa mwanadamu?
 
Kuna wakati kulaani inapiga Pentagon..[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
لَمَّا ضُرِبَ ٱبْنُ مَرْيَمَ مَثَلًا إِذَا قَوْمُكَ مِنْهُ يَصِدُّونَ ﴿٥٧﴾
Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.

وَقَالُوٓاْ ءَأَٰلِهَتُنَا خَيْرٌ أَمْ هُوَ ۚ مَا ضَرَبُوهُ لَكَ إِلَّا جَدَلًۢا ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ خَصِمُونَ ﴿٥٨﴾
Wakasema: Miungu yetu kwani si bora kuliko huyu? Hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu. Bali hao ni watu wagomvi!
Ndiyo umeleta ushahidi wa aya Bwana Yesu anasema Mimi ni Mungu nilyevaa mwili wa mwanadamu??
 
Kwa jinsi ilivyo bibilia, ni vigumu kukubali kwamba hayo ni maneno ya Yesu, kwa sababu yanaleta utata na ndani yake kuna kupingana kwenye hicho kitabu, na hasa ukizingatia njia Bibilia ilivyokusanywa na kufanywa kitabu. Nafikiri huwezi kukataa kuwa kuna vitabu vingi sana ambavyo hamkuvieka kwenye Bibilia kwa maslahi yenu wenyewe.


Mimi unanifurahisha jinsi unevyo interprate msimamo wa mtu. Yaani una interprate kibibilia zaid kuliko kiuhalisia. Nikisema kibibilia namaanisha kwa matamanio yako. Yaani vile unavotaka kuamii ndivo unavotafsiri actions/msimamo n.k to fit what you want to believe.
Yesu/Issa ibn Mariam namuheshimu sana kama nnavowaheshimu mitume wote walioshushwa na Allah s.w. Ila kama unamzungumzia yule mtu aliesulubiwa msalabani, kusema ukweli yule simjui ni nani mana Quran inatufundisha kuwa yule hakuwa Issa ibn mariam, bali ni mtu miongoni mwa waasi aliefananishwa na Issa.

Siku hio alokuja kwa Ibrahimu, alikuja akiwa na jina gani?


Hapa mtoto mdogo anaweza kukwambia kuwa hayo maneno yanazungumzwa kuhusu mtoto na baba. Kwaio hapa unatuambiwa kuwa Yesu na Mungu ni 2 different entities. Kiswahili ulichotumia hapo sio kigumu wala hakina haja ya kwenda ndani wala huwezi kuingia ndani maana hakuna maana iliojificha hapo. Kuna Yesu na Kuna Baba yake Yesu ambae ni Mungu.


Wallah hapo wacha nitoe busu la kuelekea hewani... yaani ni busu la kuashiria kuwa umeleta kitu kizuri sana, na ni muendelezo wa ushahidi kuwa Yesu sio Mungu, na uzuri zaidi umeuleta mwenyewe, busu la furaha kama mzazi anapombusu mwanawe kwenye kichwa!

Kwenye Blue - Tafsiri yake kiundani ni kuwa Agenda ya Yesu na ya Mungu ni Sawa, wote walitaka kuwaokoa Mayahudi. Ni sawa na kusema kuwa Stalin an hitler wote wamoja (maanake wote madikteta). Lakini tuseme kuwa ni hio tafsiri utakavyo wewe. Mimi nikisema, Ronaldo ni sawa na Messi, maana yake, Kuna Ronaldo na Kuna Messi, wawili tofauti. Ni kiswahili chepesi kabisa.

Kwenye Purple (nisamehe kama sio purple)- Sasa hii aya inatuambiwa kuwa yesu hakuwa mwanadamu tangia mwanzo bali alikuwa another entity ambayo ikachukua umbo la kibinaadamu... Kwenye Black sasa inasema Mungu kamwinua, Kamwinua nani? Yesu? au nani alieinuliwa juu?

Mku hapo ndipo ninapo aminigi alla S W hawezi kuwa mungu hivi huyo issa wa quran kweli amewahi kuishi ktk dunia hii? Mana toka yesu asulubiwe afe azikwe na kufuuka ilipita miaka 600 watu wa mugu wakiamini kuwa alikufa na kufufuka siku ya tatu na wengi walikufa wakiamini hivyo vp allah aje tena badae miaka zaidi ya 600 kupita aseme yule sio na ndio mana hapo waislamu wamepoteana hawajui mpaka sasa issa yupo wap wengine alifia india wengine atarudi kuishi tena ili ndio afe yan haileweki sababu story ya issa ktk quran haina tamati
 
Kwahiyo alipokuja kama Mungu halafu kazi ya uumbaji viumbe wengine alikaimu kwa nani maana tunajua Yesu alipokuwa duniani alikuwa akimtumikia Mungu pekee aliyepo mbinguni.Huu ni msiba mkubwa kuamini hiki unachokiamini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Haya ni mawazo ya kumfubaza mungu mungu ni roho anaweza fanya kazi zake kutokea sehemu yoyote itakayo mpendeza usiweke dhana kuwa akiwa mahali fulani mambo yake ya uweza wake wa kiroho haya wexekani
 
Hapa anaeleta ubishi usiokuwa na hoja ni wewe tu naona. Maana unacholeta kinakuwa crashed lakini unajidai kupindisha. Ukweli wewe mwenyeo unajua kabisa kuwa hufuati vitabu alivoshusha Mungu, bali unafuata vitabu vilivochaguliwa kikaoni na wakiristo. Nafsi yako kabisa inakwambia kuwa Yesu sio Mungu uku ushahidi ukiwa nje nje na unauona lakini unafumba macho unajifanya huoni!

Ni vyema kuwa unakiri kama mnayoyasoma yote kwenye Bibilia ni mikono ya mnaowaita Wanafunzi (wengine mkiwa hamuna uhakika nao na wengine ikiwa hamuwajui kabisa) Ukitizama bibilia inakwambia Gospel according to mathew, maana yake ni kuwa alieandika hio Gospel nayo sio mathew bali inamuandishi alieandika kwa mujibu wa Mathew. Sasa hapa ndio udhaifu na uzushi wa bibilia unapoonekana bila ya kuhitaji chochote. Yaani hata hizo injil hazina uhakika kama waandishi ni hao waliotajwa. mitale na midimu umekosa hoja masikini na kujaribu kulazimisha imani yako pofu.

Mtume anawajua vizuri zaid manasara kuliko mimi na ndio maana akatufundisha kuwa ile bibilia yenu kuwa ni uzushi na Quran imekuja kusafisha uchafu ulioletwa na bibilia. Haiwezekani Mtume wa mungu afanye ngono na watoto wake wa kuwazaa halafu abakie tu ivi ivi na utume. Quran imekuja kufuta story zote mlizozitunga na kufanya Bibilia.

Waislam tunaambiwa tuamini maneno ya Mungu, sio maneno ya mnaowaita nyie mitume wa yesu. Quran inatwambia tuwaulize Ahlul Kitab na sio watu wa bibilia.

Kuna post yangu kabla ya hii uloiquote umeikalia kimya! Bila shaka itakuwa umeelewa ila saiv umebaki ubishi tu 🙂

Mkuu epuka kasumba ya kitabu kushuka ni dhana ya waislamu wasio na shule hii qurani tunayo isoma now mpaka muhamad anakufa ilikuwa haija andikwa wame andika watu tu tena wengine waliachana na uislamu badae mtume alikuwa ajui kusoma wala kuandika ujumbe wa neno la mungu una namna nyingi za upokeaji na uandishi hii mambo ya kushuka kitabu ni dhana potofu
 
Jifunze kuandika kwanza wewe kikuku.

Kwa kukusaidia tu ni Bibilia ndio iliosema mtume kafanya ngono na watoto wake wa kuwazaa. Huu uchafu haujwahi kutokea kwa mtume yoyote pumbavu zako na za kanisa lako mlokosa akili!

Naam mtume wetu hawezi kujipa kiburi, yupo humble. Ila cha kushangaza ni kuwa Mungu wenu hajiwezi mpaka anajielekea mwenyewe na kujiomba msaada?? Upumbavu kama huu mnao wakiristo kwenye kitabu mnachokiita bibilia ilokosa uhakika!

Mbona unanza jaziba jibu hoja mbona na ww mungu wako na malaika zake? Wana mswalia mtume Ila yesu akiswali hutaki ila allah ndio rukisa kumswalia mtume soma qurani 33:36
 
Kama yy ni Mungu Mama yake aliumbwa na nani? Je, Huyo yusufu aliumbwa na nani kama alikuwepo kabla ya Mungu wenu...Wazazi wake Bikra maria (Maryam) waliumbwa nani, Adam na Eva (Hawa) waliumbwa na nani wakat walikuwpo kabla ya Mnaesema Mungu Yesu (Issa Mwana wa Maryam) kuzaliwa

Muwe mnasoma qurani yenu vizuri kama issa kwa mujibu wa qurani yenu ni neno la mungu sasa mbona usiulize mashekhe wako kuwa kati ya neno la mungu na marium na yusuphu kipi kilitangulia kuwapo?
 
Maswali ni Aya bado hujajibu

-Naomba verse Allah anasema kuwa Adam na adamu akawa
- weka verse Allah anasema kuwa Isa na akawa
Hiyo ndiyo Aya inayosema Yesu alisema ni mungu na amevaa mwili wa mwanadamu?
 
Hutoriki maswali kijinga

Maswali ni Aya bado hujajibu

-Naomba verse Allah anasema kuwa Adam na adamu akawa
- weka verse Allah anasema kuwa Isa na akawa
Aya nyengine hiyo kutoka Kwenye biblia inayosema Yesu alisema Mimi ni Mungu nilyevaa mwili wa binadamu?
 
Hutoriki maswali kijinga

Maswali ni Aya bado hujajibu

-Naomba verse Allah anasema kuwa Adam na adamu akawa
- weka verse Allah anasema kuwa Isa na akawa

Hiyo ndiyo Aya nyengine inayosema Yesu alisema ni mungu na amevaa mwili wa mwanadamu
 
Hiv umelewa.nin kwa hyo aya hapo kweli nyinyi mioyo yenu imewekwa vifuniko subir umauti ukufike ukiwa kafir ndo utaelewa hcho unachokiletea mzaha hapa kuwa hakistahili
Nimeelewa kuwa nyinyi Waislamu Majini ni kaka zenu kama Aya inavyosema. Kwani wewe umeelewa nini hapa tujuze basi.
..............
Jami` at-Tirmidhi 18
Abdullah bin Mas'ud narrated that :

Allah's Messenger said: "Do not perform Istinja, with dung, nor with bones. For indeed it is provisions for your brothers among the Jinn."
................

Pia Majini ni Waislamu wenzenu mnasali nayo Misikitini kwani wewe mwenzetu umeelewa nini.
Uislamu ni Dini ya Majini hilo liko wazi
Ndani ya Qurani
..........

Surah Al-Djini: Ayah 14

وَأَنَّا مِنَّا ٱلۡمُسۡلِمُونَ وَمِنَّا ٱلۡقَٰسِطُونَۖ فَمَنۡ أَسۡلَمَ فَأُوْلَٰٓئِكَ تَحَرَّوۡاْ رَشَدٗا
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.
............

Majini yana sura nzima ndani ya Qurani na yanatamba Uislamu ni Dini yao.
Kwani wewe hujui hili.
Kama hutaki Hama hiyo Dini,
ni Dini ya Majini kabla ya Muhammadi kuzaliwa.
 
Anae apia kwa aliyeumba dhakari na ku#$@am nani?![emoji101]
[emoji116][emoji116]
Anaeapa وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَىٰ

(AL - LAYL - 1)
Naapa kwa usiku unapo funika!

[ وَالنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ

(AL - LAYL - 2)
Na mchana unapo dhihiri!

وَمَا خَلَقَ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ

(AL - LAYL - 3)
Na kwa Aliye umba dume na jike!

Mwenyezi Mungu Anaapa kwa Nafsi yake!
[emoji116][emoji2533][emoji116][emoji2533]
Allah anaapa kwa aliyeumba halali na Kike.
 
Nilitaka kushangaa usije huku [emoji12][emoji12]

Huna jipya umeshindwa kuleta Aya Yesu anasema Mimi ni Mungu nilyevaa mwili wa mwanadamu

Anayeapa ni mungu wa Biblia
Wewe mbona umeshindwa kuleta Aya, Allah anasema.
"Mimi ni Mungu jina langu ni Allah niabuduni"
 
Back
Top Bottom