mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,762
Utakuwa unachanganya.Ndo mana sisi tunaamini kwamba mwenye bibilia kuna maneno ya ukweli(machache)na mengi ya uongo ambayo hayana msingi.
Kwa hiyo unapotoa hoja za Uungu wa yesu ndani ya bibilia ujue hayo ni katika maandiko ya uongo ambayo yanafaa kutazamwa kwa jicho la pili..
Issa na mama yake mariamu kaelezewa ndani ya Qurani kiuadilifu kabisa pasi na kumtilia chumvi wala nini.
Maandiko yanayomsema yesu ni Mungu ni maandiko ya uongo ambayo hayaingii hata akilini, kwani hata baadhi ya hao wakristo wenyewe wanaukana Uungu wa yesu.
Quran inawataka waislam waulize wasomi wa vitabu kabla yake. 10:94
Sisi tunasoma vitabu kabla ya quran ndio tunakuelekeza kuhusu Yesu mkuu, inabidi utusikie.
Ni propaganda kisema vimepotoshwa maana vikisemwa viko sahihi uislam unakuwa hauna sababu ya uwepo mkuu.
nakwambia ukweli, wala sijipendekezi humu nipate wafuasi au nibadili mtu dini.