Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Mwanzo mwisho nimesema hamna akili ukabisha, sasa hivi unakubali.

Pia nakukumbusha tena unaweza kukosa akili ukawa raisi
Urais sio makwapa kwamba kila mtu analo chini ya bega. SSH kaleta nidhamu mnaishia kupiga makelele na kuanzisha nyuzi za kujipa matumaini kwamba eti kapewa wito wa kuitwa ICC, kule sio feri panapouzwa samaki.
 
Waseng.e kweli yani

Wanakuja na drama za kuleta fujo na kuchoma nchi huku wanasema wanafanya maandamano then tuwaache??

Walichokitafuta wamekipata
Yaani waachwe waichome nchi halafu serikali ikishughulika nao waanze kujitilisha huruma kwa Mabwana zao wa ICC, watapigwa vizuri tu na hao wanaowasaidia wataishia kuwaangalia namna wanavyochezea kichapo.
 
Polisi wangekuwa dhaifu mngeandamana hiyo tarehe 9 Desemba, SSH angekuwa dhaifu asingepitisha DP World pale bandarini.

Angekuwa dhaifu asingeikarabati bandari ya Tanga kwa kutumia tshs bilioni 600.

Toka nje ukalipe kisasi kama mama yako hajaanza kujiliza mbele ya kamera za simu za marafiki zako.

K ni kiungo ambacho kila mwanamke anacho, unaposhindwa kukiheshimu unamdhalilisha mama yako mzazi.
Kwani alikarabati kwa pesa zake au pesa zetu you fuckin slag.Tunataka maiti zetu,mtalazimishwa mpaka mkafukue waliopozikwa.
 
ICC wamchukue mtu wao watuachie nchi sie..!! Machawa hapo vipi? 😹😹😹

Haiishi mpaka iishe. Habari ndo hiyo!!
KIDAGAA KIMEMWOZEA 😹
 
Tanzania ni Sovereignty country hatutavumilia kuingiliwa na wazungu kwenye mambo yetu.
Where is Maduro? Venezuela haikuwa sovereignity? Hajasikiliza sababu zilizomfanya waziri mkuu wa Israel kutohudhuria mikutano wa Davis alioalikwa? Huyu anapenda tena mwenyewe bila kutumiwa scout wa marekani!
 
Usilete uprimitive wako wa dini hapa,hakuna muislamu anayeua alafu anaficha maiti ni Samuya tu.Tunataka miili yetu,msipotupa tutawalzimisha kuifukua.
 
Hakuna mtu binafsi wala ngo inaweza kwenda kufungua shauri ICC.

Hizi ni kamba njooni kivingine.
 
Ni kwa sababu walikaidi taratibu za sheriabna kanuni.

Jeche aliwekw amahabusu kwa sheria na katiba gani?

Lissu yujo jela kwa sheria na katiba gani?

Mpina alikatwa kwa shwria na katiba gani?

Mdude, Polepole na Soka na wengineyo wako wapi, sheria gani imetumika??

Kura milioni 30, Bibi Samia kazitoa wapi??
Kwa nini uandamane siku ya uchaguzi mkuu? Kwanini uchome miundombinu nankuiba mali za watu binafsi
Sheria ipi inakataza maandamano??


KAma.wewe buheshimu sheria, kanuni, na taratibu, ulitaka nani aziheshimu??

Huyo BIBI yenu, ataiahi kama DIGI DIGI mpaka mwisho wa maisha yake.

Huwezi kuua watu kama UNAUA NZIGE halafu ukaishi kwa AMANI.

Na huyo Mkundu aliyewageuzia BUNDUKI za KIVITA wananchi wake mwenyewe, hatokaa apate amani.

NEVER.
 
Hakuna mtu binafsi wala ngo inaweza kwenda kufungua shauri ICC.

Hizi ni kamba njooni kivingine.
Kesi imefungukiwa na chama cha wanasheria MADRID, UMOJA wa CHA WAKRISTO, pamoja na NGOs za AFRICA KUSINI ambazo zimemshtaki NETANYAHU mpaka sasa anaishi kama DIGIDIGI.
 
Kimpango wako

Na wale waliochoma nchi hii moto na kuua wale askari kwani wale askari siyo watu??

Wewe utapokelewa jinsi utavyokuja...

Ukijifanya nunda utakula jeuri yako
Punguza kupanic. Hasira zote hizo arrest Warrant haijafika. Ikifika si utawehuka wewe?
 
Kwahiyo??

Wewe mbona huendi vatican kuomba msaada unakimbilia ICC??

Vatican hawajui kuwa mmekula shaba za kutosha...why wapo kimya??

Si wanajua nyinyi ni wahuni kama.wahuni wengine.

Kila mtu anachagua wa kuruka nae..

Mimi Adui yangu mkubwa kwa Taifa hili ni kanisa katoliki...na hili kanisa ni laana tokea enzi za ukoloni...

Mimi naruka nalo vizuri tuh hawa wavaa magauni

HIZO NGONJERA PELEKENI KANISA KATOLIKI SISI HATUNA SHIDA NAZO MA.FALA NYINYI
Hawa hapa wamepeleka hizo ngonjera kwa Papa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1769615571172.jpg
    FB_IMG_1769615571172.jpg
    87.7 KB · Views: 4
Bila shoot to kill ingekuwa vigumu kudhibiti zile vurugu zilizolipuka mikoa zaidi ya 5 kwa wakati mmoja. Bila shoot to kill sasa hivi tungekuwa ni Sudan nyingine
Mtazamo wako imejaa Giza. Kuna rubber bullets, maji ya pilipili na mbwa na farasi na virungu na mbinu nyinginezo za kudhibiti maandamano na ya mwisho alitakiwa atangaze kusitisha upigaji na uhesabuji kura ili hali ikae sawa. Kutumia silaha za kivita kwa watu wasipokuwa na silaha hizo ni uhalifu dhidi ya binadamu. Alikosea kutoa amri ile kwa kushauriwa vibaya na machawa aliowafuga hivyo abebe msalaba wake.
 
Back
Top Bottom