Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Nenda Iran kawasaidie magaidi ya kiislam yanapelekewa moto na Trump.

Aende aone...kilichomkuta israel na airdome yake anakijua...unadhani irani ni venezuela.?teh teh

Na wewe kwanini usiende vatican kuwaomba waje kukusaidia kupindua nchi??
 
Museveni hana ushahudi mkubwa dhidi yake.

Samia kila chombo cha kimataifa kimemkalia kooni kuuwa maelfu ya watu. Hadi Taasisi za Kimataifa zimewasilisha maombi rasmi kwa ICC kuiomba ifanye uchunguzi na kuwakamata Samia na washirika wake.


Museven ataondoka kwa nature (Natural Death) kutokana na mzee ila Samia labda nae afe ila jela za ICC lazima alale kwa kipindi kitakachobakia cha maisha yake.

HIZO NI NDOTO ZA ALINACHA MNAZOPEANA HUKO MADHAHABAHUNI MAKAFIRI

TEH TEH TEH
 
Hii ni initial stage. Anatakiwa kujitetea kabla ya ICC kuingilia kati.
Anaweza kusema Kaunda tume ya ndani na ni huru hivyo hamna haja ya ICC. Wakiamini atakachosema wanaweza wasianze uchunguzi.

Initial stage gani??
Teh teh teh

Nyinyi si wajanja??ingieni barabaran muandamane kwani kupindua nchi ni lazima mtegemee ICC??

Si mnasema jeshi liko nyuma yenu kenge nyinyi
 
Kwani nani kasema ICC wametangaza hayo?
Advocate Magoti kama mmoja wa wahusika kufungua hii kesi katuambia. Ana taarifa zaidi ya Sisi wengine.

Shida yenu mnapenda sana kuongopewa

Ni hao hao mafala waliwaambia kuwa jeshi lipo nyuma yenu muingie road na je kiliwakuta kitu gani??
 
Kuna mambo mawili unachanganya bwana mdogo.
Kutolewa kwa kibali cha kumkamata mtu na kitendo chenyewe cha kumkamata ni mambo mawili tofauti.
Ndio maana wapo viongozi wengi ambao zimetolewa hati za kuwakamata na hadi sasa hawajakamatwa na bado wameendeleza matendo yao ya kinyama. Ungekuwa ni mwelewa angalau ingeendelea kuhifadhi furaha yako kwa matumizi sahihi.
Unamlinganisha Putin na Samia.
 
Wewe mmatumbi unajifanya kuijua dini wakati wenye dini ilikotoka Saudi Arabia, Oman, Iraq, wanamsaidia Trump kumpiga mwislam mwenzao.

Kwahiyo??

Wewe mbona huendi vatican kuomba msaada unakimbilia ICC??

Vatican hawajui kuwa mmekula shaba za kutosha...why wapo kimya??

Si wanajua nyinyi ni wahuni kama.wahuni wengine.
 
Wewe uzuri nakufahamu ,unachozungumza haukishi unachokitafuta na cheo serikali
Unatoka familia maskini sana .

SSH mbona amejificha mpaka dakika hii?Mbona hazungiki mikoani kushukuru wapiga kura?
Usipo punguza mihemko yako hasira za wananchi zitaanza na wewe kabla ya Samia
Azunguke mikoani wakati wapo Mawaziri na wakuu wa mikoa? Wengi wetu hatujui ukubwa wa cheo cha Rais.
 
Back
Top Bottom