Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Well and good

Na wewe na hao jamaa zako waambie wakija tena road dola ipo inawasubiri

Walichofanywa wenzao ndicho watachofanywa wao.

Na heko kwako wametiii amri ya dola...

Ole wao.wangeingia tena road
Kamsaidieni kujibu kibibi yenu huko ICC
 
Well and good

Na wewe na hao jamaa zako waambie wakija tena road dola ipo inawasubiri

Walichofanywa wenzao ndicho watachofanywa wao.

Na heko kwako wametiii amri ya dola...

Ole wao.wangeingia tena road
Unaamini katika Mungu unasema wewe ni Muislamu, lakini huamini nguvu za Mungu kwenye kupambana na shetani bali unaamini bunduki ya Askari kwenye kupambana na wasio na bunduki

Haya maajabu
 
Wako wapi waliohojiwa?.. halafu ICC imtaarifu Samia kuhusu kumshitaki na iwe Siri, media zisijue ujue wewe tu na akina sarungi?
Media gani unataka itoe taarifa ITV au Ayo TV au TBC1.
 
Kazi yao siku ile haikuhitaji akili za mwanasayansi, walitakiwa warudishe utulivu mtaani mapema iwezekanavyo.

Utulivu uliporudi Rais akaweza kuapishwa kule Dodoma.
Mwanzo mwisho nimesema hamna akili ukabisha, sasa hivi unakubali.

Pia nakukumbusha tena unaweza kukosa akili ukawa raisi
 
Mkuu inawezekana ikawa hujapoteza ndugu lakini Kuna watanzania wengi wamepoteza maisha / viungo vya miili Yao
Mbaya zaidi hakuna kumbukumbu zozote kuonesha haya ni makaburi ya mashujaa wa 29october
Huwezi kuwaita mashujaa kwa sababu walichotaka kukifanya ni mapinduzi, walipewa kesi ya uhaini kwa kigezo cha huo uhalifu walioufanya.

Vigumu kumpa ushujaa kijana anayechoma vituo vya mwendokasi wakati kodi anayolipa imejenga miundo mbinu ile kwa miaka mingi.

Vigumu kumpa ushujaa kijana anayevunja maduka ya vijana wenzake waliotoka jasho kutafuta mitaji halafu akaiba mali alizozikuta mle, huyo ni kibaka tu.

Vigumu kumpa ushujaa kijana anayewarudisha nyuma wafanyakazi wa petrol station kwa kuzichoma moto bila ya kuwaza kwamba maisha ya maelfu yanategemea uwepo wa rasilimali ile!, huyo ni mhujumu wa uchumi asiye na tofauti na wengi wanaoiba pesa huko BOT na TAMISEMI kila kukicha.

Wale vijana waliikosea heshima Tanzania, watoto wa miaka ya 2000-2003 hawawezi kuwapanda vichwani wazazi wao halafu waachiwe tu.
 
Back
Top Bottom