Ngarob
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 823
- 2,778
Basi ataeleza vizuri hiyo evil huko mbele ya safarivyote hivyo vilikuwepo na vipo, ukitaka kuelewa kilichotokea jielimishe khs evil, evil is real the Bible warned us khs evil ...
Basi ataeleza vizuri hiyo evil huko mbele ya safarivyote hivyo vilikuwepo na vipo, ukitaka kuelewa kilichotokea jielimishe khs evil, evil is real the Bible warned us khs evil ...
Marekani anaivamia Iran kujustify kuwaokoa Wairan kwa statement kama hii iliyotolewa na viongozi wa Iran na kupelekea maelfu ya wananchi kuuwawa na Serikali.I HAD to use EXCESSIVE FORCE to SLAUGHTER innocent civilians, they wanted to OVERTHROW my regime.
View attachment 3535465
Bila shoot to kill ingekuwa vigumu kudhibiti zile vurugu zilizolipuka mikoa zaidi ya 5 kwa wakati mmoja. Bila shoot to kill sasa hivi tungekuwa ni Sudan nyingineAlifanya uamuzi wa kipuuzi sana wa kuua watu namna ile.....Kuna njia nyingi za kudhibiti maandamano na si ile amri ya shoot to kill.
Afe tu hana faida yoyote mbona ye kaua maelfu ya vijana!Mtamuua shangazi yangu!
Kutoa warrant ni one thing na kukamatwa ni another animal altogether.Nakwambiaje hata apiganiwe na Trump, huyu kibibi muuaji hawezi kukwepa mkono wa ICC.
ICC imetoa arrest Warrant kwa Putin, Majenerali wake Urusi na Netanyau pamoja na vikwazo vya Marekani na kiburi cha Urusi ndo ishindwe kwa Samia na vidampa wake kina Mombo, Mkunda, Awadhi Haji na Wambura?
Mtafurahishwa mwaka huu ccm.
Sawa.Kutoa warrant ni one thing na kukamatwa ni another animal altogether.
Waache watoe tu
Ila kuna watu mnapenda sana drama. Bado hamjajua jinsi ya ku deal na monsters.Habari njema kwa Watanzania kutoka ICC.
Tunafahamu Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake, na kwaajili ya yeye, akipenda, kujibu.
Ni muhimu mhalifu huyu wa kimataifa akachukuliwa hatua stahiki kwa maslahi ya haki.
Tunafuatilia.
Jitathmini.Nakwambiaje hata apiganiwe na Trump, huyu kibibi muuaji hawezi kukwepa mkono wa ICC.
ICC imetoa arrest Warrant kwa Putin, Majenerali wake Urusi na Netanyau pamoja na vikwazo vya Marekani na kiburi cha Urusi ndo ishindwe kwa Samia na vidampa wake kina Mombo, Mkunda, Awadhi Haji na Wambura?
Mtafurahishwa mwaka huu ccm.
Sasa utaelewa kama Samia ni sawa na Putin au ni Kidampa tu.Jitathmini.
Putin ameacha kuua baada ya hapo?
Labda kama unamchanganya na Possi.Adv.Magoti ndiyo yule Mwenye Albinism? Kama ndiye awe makini mno,atakatwa viungo very soon na wasiojulikana na itasemwa ni -Uhalifu wa Kawaida Kwa Walemavu wa ngozi,tunachunguza-:.....IGP-Ndiye atakuwa msemaji wa tukio.
Inaonekana una hulka ya ubishi, hiyo Mahakama ni usenge tu ndio maana matamko yake wahuni hawayatilii maanani na wanaendelea na uhuni wao.Sasa utaelewa kama Samia ni sawa na Putin au ni Kidampa tu.
Kuna mstari tunauchora mwaka huu lazima heshima ya mwananchi irudi Tanzania.
Sasa ndo utaelewa vizuri kama ile Mahakama ni usenge au la.Inaonekana una hulka ya ubishi, hiyo Mahakama ni usenge tu ndio maana matamko yake wahuni hawayatilii maanani na wanaendelea na uhuni wao.
Nakuhakikishia Samia atamaliza miaka yake kadri atakavyozawadiwa pumzi ya uhai pasipo kukamatwa na yeyote.
Nikupe miaka mingapi ndoto yako itimie?Sasa ndo utaelewa vizuri kama ile Mahakama ni usenge au la.
Habari njema kwa Watanzania kutoka ICC.
Tunafahamu Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake, na kwaajili ya yeye, akipenda, kujibu.
Ni muhimu mhalifu huyu wa kimataifa akachukuliwa hatua stahiki kwa maslahi ya haki.
Tunafuatilia.
Wahuni kama Samia?Inaonekana una hulka ya ubishi, hiyo Mahakama ni usenge tu ndio maana matamko yake wahuni hawayatilii maanani na wanaendelea na uhuni wao.
Nakuhakikishia Samia atamaliza miaka yake kadri atakavyozawadiwa pumzi ya uhai pasipo kukamatwa na yeyote.
Jiandae tu kutoa milioNikupe miaka mingapi ndoto yako itimie?
Unaona unashindwa hata kuweka time bound kwa sababu mdogo wangu unaamini kwenye mizuka badala ya kuzingatia facts.Jiandae tu kutoa milio