Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Habari njema kwa Watanzania kutoka ICC.

Tunafahamu Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake, na kwaajili ya yeye, akipenda, kujibu.

Ni muhimu mhalifu huyu wa kimataifa akachukuliwa hatua stahiki kwa maslahi ya haki.

Tunafuatilia.
Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe. Waacheni wafu wawazike wafu wao wenyewe
 
Ingawa pia UHURU KENYATTA (Rais mstaafu wa Kenya ) anapigana kura kupona kuhakikisha Shetani Samuya anashinda
'Kesha nyata uso' hana uzoefu kwa hili sababu kesi yake haikuwa na ushahidi wa moja kwa moja kuwa yeye alitoa amri ya kuuwawa watu.
Hii ya kwetu imemkalia vibaya sana yule mwanamama.
Pia kesi hii ushahidi mwingi sana upo hadharani kidijitali na wahanga waliofanikiwa kupona.
Wakisema wauwe mashahidi kama nchi jirani kwa huyo 'freedom Kesha nyata uso' watazidi kujiongezea matatizo. Itabidi wauwe au wapoteze watu wengi mno.
El Patron wao yeye yupo salama kabisa sababu alikuwa nyuma ya pazia anachezesha kamba za sanamu na kubofya vitufe vya remote control.
 
Kosa lingine kubwa analofanya Samia baada ya haya mauaji ya kutisha ni Kila anapowashiwa maiki...anapofungua mdomo tu lazima aliongelee hili katika lugha ya kuudhi na kuleta. Haleti utengemano ila anaharibu sana

Anaongea lugha mbovu sana juu ya hili swala. Sijui hawamahauri huko ndani au ni nini anawazaga anaposimanga watanganyika katika hili.
Haya mambo ni Mungu tu.

Kwa kukiri kwake kuuwa watu mbele ya mic tena akiwa live imerahisisha sana kazi ya Wachunguzi wa ICC.
 
Mimi mpaka Leo najiuliza....
Hakukuwa na mabomu ya machozi ?
Ok au risasi za mpira ?
Au maji ya kuwasha ?

Ni kitu Gani kilisababisha mpaka risasi za moto ziwe mbadala ?
Sawa risasi za moto zinatumika....je kwanini zinapigwa kwenye vifua na kichwani ? Hawaoni miguu ?

Kuna kitu kinaenda kutokea Tanzania....
Nahisi mwaka huu
Wacha kitokee maana watanzania wako tayari, hakuna njia mbadala zaidi ya hii
 
Mimi mpaka Leo najiuliza....
Hakukuwa na mabomu ya machozi ?
Ok au risasi za mpira ?
Au maji ya kuwasha ?

Ni kitu Gani kilisababisha mpaka risasi za moto ziwe mbadala ?
Sawa risasi za moto zinatumika....je kwanini zinapigwa kwenye vifua na kichwani ? Hawaoni miguu ?

Kuna kitu kinaenda kutokea Tanzania....
Nahisi mwaka huu

vyote hivyo vilikuwepo na vipo, ukitaka kuelewa kilichotokea jielimishe khs evil, evil is real the Bible warned us khs evil ...
 
Nakwambiaje hata apiganiwe na Trump, huyu kibibi muuaji hawezi kukwepa mkono wa ICC.

ICC imetoa arrest Warrant kwa Putin, Majenerali wake Urusi na Netanyau pamoja na vikwazo vya Marekani na kiburi cha Urusi ndo ishindwe kwa Samia na vidampa wake kina Mombo, Mkunda, Awadhi Haji na Wambura?

Mtafurahishwa mwaka huu ccm.

Tena hawa vidampa wauaji wa TZ, wasipotii wito wa ICC watakuja kunyakuliwa kama vifaranga.Tz siyo Urusi, wala siyo Israel. Netanyahu ana nguvu za kijeshi, USA ipo nyuma yake, yupo na wananchi wake. Halikadhalika kwa Urusi, ana nguvu za kijeshi na ana watu wake. Huyu wa kwetu, wananchi hawamtaki, jeshi baadhi hawamtaki, jeshi lenyewe ni aheri ya makundi ya wanamgambo, zikidondoshwa drones 50 tu kwenye makambi na vituo vya wauaji, wote wananyosha mikono juu, na kuwa tayari kusaidia kuwanyakua wahusika wote.
 
Kosa lingine kubwa analofanya Samia baada ya haya mauaji ya kutisha ni Kila anapowashiwa maiki...anapofungua mdomo tu lazima aliongelee hili katika lugha ya kuudhi na kuleta. Haleti utengemano ila anaharibu sana

Anaongea lugha mbovu sana juu ya hili swala. Sijui hawamahauri huko ndani au ni nini anawazaga anaposimanga watanganyika katika hili.

Hajui mamlaka aliyonayo huyo ,anaropokaropoka bora Nchimbi akiongea huwa anatafakari asiumize hisia za watu ingawa anajua kwamba ni uongo ila BIBI kizimkazi yeye ni Mipasho na kupiga kwenye Mishono inayokaribia kukauka.

Yaani aliropoka eti mlitaka tutumie nguvu gani? Mlitaka tuwaache waipindue serikali? kwahiy serikali ya WAHUNI ya watu 10 ni muhimu sana kuliko maisha ya MAELFU YA WALIOUAWA?
 
Tena hawa vidampa wauaji wa TZ, wasipotii wito wa ICC watakuja kunyakuliwa kama vifaranga.Tz siyo Urusi, wala siyo Israel. Netanyahu ana nguvu za kijeshi, USA ipo nyuma yake, yupo na wananchi wake. Halikadhalika kwa Urusi, ana nguvu za kijeshi na ana watu wake. Huyu wa kwetu, wananchi hawamtaki, jeshi baadhi hawamtaki, jeshi lenyewe ni aheri ya makundi ya wanamgambo, zikidondoshwa drones 50 tu kwenye makambi na vituo vya wauaji, wote wananyosha mikono juu, na kuwa tayari kusaidia kuwanyakua wahusika wote.
Nakwambiaje. Mwaka huu tutachora mstari wa namna mwananchi anapaswa kuheshimiwa na hawa wapumbavu wanasiasa.

Arrest Warrant ikitoka tu tunapush kwa special task force ya kijeshi ya kimataifa kuwakamata wote. Hata waishi kwenye bunkers watakamatwa tu tena wote. Kuanzia Samia, Mombo, Mkunda, Wambura, Mafwele, Awadhi, Omari Kheri na yule dogo Abdul.

Lazima walipie kweli kwa kuozea jela kwa kumwaga damu za Watanganyika.
 
Adv.Magoti ndiyo yule Mwenye Albinism? Kama ndiye awe makini mno,atakatwa viungo very soon na wasiojulikana na itasemwa ni -Uhalifu wa Kawaida Kwa Walemavu wa ngozi,tunachunguza-:.....IGP-Ndiye atakuwa msemaji wa tukio.
 
Haya mambo ni Mungu tu.

Kwa kukiri kwake kuuwa watu mbele ya mic tena akiwa live imerahisisha sana kazi ya Wachunguzi wa ICC.
I HAD to use EXCESSIVE FORCE to SLAUGHTER innocent civilians, they wanted to OVERTHROW my regime.

G_m4_FuWwAAT1gz.jpeg
 
Mimi mpaka Leo najiuliza....
Hakukuwa na mabomu ya machozi ?
Ok au risasi za mpira ?
Au maji ya kuwasha ?

Ni kitu Gani kilisababisha mpaka risasi za moto ziwe mbadala ?
Sawa risasi za moto zinatumika....je kwanini zinapigwa kwenye vifua na kichwani ? Hawaoni miguu ?

Kuna kitu kinaenda kutokea Tanzania....
Nahisi mwaka huu
Nguvu iliyotumika iliendana na HOFU ya kupoteza madaraka
 
Back
Top Bottom