The ICC Champions Trophy is a One-Day International (ODI) cricket tournament organised by the International Cricket Council. The 2013 tournament was intended to be the final edition of the Champions Trophy, but it was extended to 2017 due to its widespread popularity. In 2018, the ICC decided to replace the tournament with the World Twenty20 championship to be held every two years, and no Champions Trophy was contested in 2021. However, as part of the 2021 Future Tour Programme, the event was reinstated for the 2025 cycle onwards. In November 2021, the ICC confirmed the tournament would next take place in 2025 in Pakistan, with India hosting the tournament in 2029.
Habari wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada
Zaidi ya miezi kadhaa baada ya makundi ya wanaharakati wa haki za binadamu na mashirika ya kimataifa kuwasilisha maombi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yakiiitaka ichunguze madai ya uhalifu na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini...
1-Hamna aliyewahi anzisha Vita na KATOLIKI akatoboa .... Yaan Msukumo wa US na EU kwa CCM na Wauaji wake, unatokana na Taarifa zinazoandikwa na KATOLIKI ...... Hawa wanaaminika DUNIANI na MBINGUNI.
2-Huwezi kuua Raia Oktoba 29 Kwa MAELFU vile, alafu DUNIA ikae inakuangalia tu . NEEVEEEEER ...
Ushahidi umekamilika sasa kilichobaki ni namna ya kumpeleka ICC ahukumiwe.
Alipoulizwa.kuwa Bashir mpaka leo hajapelekwa huko akajibu: Ni mamlaka za ndani kumkabidhi kwetu tumshughulikie. Ameitaka UN kuwa na utaratibu wa kumkabidhi mualifu kwa nguvu ICC.
Sasa napata MASHAKA! Hata akipatikana...
Uchaguzi uliisha Oktoba 2025, waliopiga kura wanatosha, na waliosusa kwa NRE shauri yao. Samia yupo hadi 2030, hamna kitu mtafanya nje ya Katiba.
Wanaharakati wa CHADEMA wanahangaika sana. Kuna wakati wamekusanya mapicha ya kugushi na kupeleka ICC na wakawaaminisha wanachama wao kuwa Samia...
Makamu Mwenyekiti wa Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, John Heche, wakati akizungumza na umati wa wanannchi katika mkutano wa hadhara Mkoa wa Mbeya Juni 23, 2026, alieleza kuhusu kesi iliyofikishwa Mahakama ya uhalifu ya Kimataifa (ICC) kuhusu mauaji ya raifa yaliyofanyika wakati na...
Former Deputy President Rigathi Gachagua has accused Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen of facilitating and financing groups of hired goons, allegedly intended to infiltrate and disrupt planned June 25 memorial protests. The claims come amid heightened political tensions as Kenyans...
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan. Hatua hii inakuja baada ya uchunguzi wa miezi 18 uliofanywa na Umoja wa Mataifa kuhusu tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia.
Khan anatuhumiwa kumnyanyasa kijinsia mara kwa mara mfanyakazi wa kike wa ICC...
Ujumbe unajieleza,Samia Hana pa kutokea, ICC inanukia, mungu tenda miujuza mtesi wetu akinywee kikombe cha mateso
Wenye video wazitume sasa kupitia hii link MASV Portals
Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi?
Wako wapi akina Polepole?
Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana?
Tanzania inaenda wapi?
Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
Ili kukwepa mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) viongozi wa Tanzania walitakiwa waanzishe na kuleta mashtaka dhidi ya wahusika wa mauaji ya mamia ya Watanzania Octoba 29 mwaka jana.
Ili ICC isilete mashtaka dhidi ya watu fulani fulani ni lazima mchakato wa uchunguzi utosheleze...
Hamjambo Wote!
Moja ya changamoto tulizonazo Watanzania na watu weusi ni kukimbia wajibu(uwajibikaji). Utegezi. Uvivu.
Fikiria Mwanamke anaona wajibu wa maisha yake, mahitaji Yake ya msingi ati ni mwanaume. Na mwanaume asipomhudumia na kumpambania ati analalamika na kulaumu. Ni desturi potofu...
Binafsi nafikiri hiyo ndio sababu kubwa ingawa mtazamo wa wengi ni kuwa anakwepa watu kuichambua na kuonyesha mapungufu yaliyomo katika hiyo ripoti.
Inawzekana ICC wakaidai hiyo ripoti kabla ya kutoa uamuzi wao juu ya Samia na wenzake kama wsshitakiwe au laa kwahiyo wanakwepa /wanajihami
Baada ya ripoti hii kutoa idadi ya mamia ya watu waliouwawa Oktoba 29 , ICC si watakuwa wamepata sababu nyingine ya kuchunguza haya mauji ukizingatia hiyo idadi?
Na kwa Samia mwenyewe kusema hadharani kuwa hiyo ripoti ni mali yake, ICC hawapati sababu ya kutilia mashaka hiyo ripoti?
Muda utasema.
Wachache wenye uelewa hatukutegemea jambo jipya kutoka kwa Tume ya Jaji Chande. Hata hivyo, ukifuatilia kwa makini uwasilishaji wa ripoti hii, unaonekana kama utetezi kwa Samia na serikali yake mbele ya jumuiya ya kimataifa. Kwa wataalamu wa sheria, je, ripoti hii inamaanisha kwamba Samia...
Kama UNO wameshindwa kuwazuia Isreal na USA kuishambulia Iran.
Pia wameshindwa hata kutoa neno tu kukamatwa Maduro ni wazi hivi sasa dunia ishapotea njia.
Chadema wasitegemee chochote kutoka huko.
ICC yenyewe kama imekufa.
Na. M. M. Mwanakijiji
Kwa wanaokumbuka nilitoa taarifa mwezi wa kumi na mbili mwaka jana hapa kuwa nilipata nafasi ya kufanya "utalii" pale The Hague Uholanzi. Sikuwahi kufikiria naweza kufika mahali hapo kiutalii na kuweza kujifunza mambo mbalimbali. Matukio ya Oktoba 29-Nov. 4, 2025...
Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa!
Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.