icc

The ICC Champions Trophy is a One-Day International (ODI) cricket tournament organised by the International Cricket Council. The 2013 tournament was intended to be the final edition of the Champions Trophy, but it was extended to 2017 due to its widespread popularity. In 2018, the ICC decided to replace the tournament with the World Twenty20 championship to be held every two years, and no Champions Trophy was contested in 2021. However, as part of the 2021 Future Tour Programme, the event was reinstated for the 2025 cycle onwards. In November 2021, the ICC confirmed the tournament would next take place in 2025 in Pakistan, with India hosting the tournament in 2029.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Serikali yashinda shauri la usuluhishi katika baraza la kimataifa la biashara (ICC)

    09 Machi, 2024 SERIKALI YASHINDA SHAURI LA USULUHISHI KATIKA BARAZA LA KIMATAIFA LA BIASHARA (ICC) Tarehe 06 Machi, 2024, Baraza la Kimataifa la Biashara (International Chamber of Commerce-ICC) limetoa uamuzi wake na kuipa Serikali ushindi katika Shauri la Usuluhishi Na. 2682/AZO baina ya...
  2. Heparin

    Serikali ya Tanzania yashinda Shauri la Usuluhishi katika Baraza la Kimataifa la Biashara (ICC)

    Tarehe 06 Machi, 2024, Baraza la Kimataifa la Biashara (International Chamber of Commerce-ICC) limetoa uamuzi wake na kuipa Serikali ushindi katika Shauri la Usuluhishi Na. 2682/AZO baina ya Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency-PBPA) na Mwanasheria Mkuu wa...
  3. M

    Malema aitaka ICC imtie mbaroni Netanyahu kwa mauaji ya Gaza

    Nov 10, 2023 02:53 UTC Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mashambulizi ya kinyama yanayoandelea kufanywa na utawala huo pandikizi...
  4. M

    Israel watapelekwa ICC

    Kwa yanayoendelea Gaza, ICC wasipoanza uchukuaji wa vielelezo vya kuwapeleka Netanyahu na kundi lake la kigaidi kwenye mahakama ya kimataifa nchi za Afrika inabidi kujitoa. Hii ni sababu ya double standard ya mahakama husika.
  5. MK254

    Putin hatoweza kwenda hata hapo jirani Armenia, wamejiunga ICC, Urusi yalalamika sana

    Urusi imelalamika kwa Armenia kujiunga ICC, ina maana dunia inazidi kuwa ndogo sana kwa Putin maana hata hapo kwa majirani zake hawezi kuwatembelea... The National Assembly of Armenia has adopted a draft law on the ratification of the Rome Statute, the basis of the foundation of the...
  6. MK254

    Hatimaye Urusi yanyong'onyea na kukubali kushiriki ICC ili kujitetea

    Wakati hii kesi inaanza ya kuishtaki Urusi, nakumbuka Warusi asili na hawa wa humu JF kwa Mtongole walitukana sana na kusema Urusi haitotambua hii mahakama, sasa Urusi imekalishwa, imetuma wajumbe wa kwenda kujitetea. Ikumbukwe Putin anaishi kama digidigi keshaogopa kuhudhuria vikao vyovyote...
  7. B

    Hivi hii case ya bandari si inaweza kuhamishiwa Kwenye mahakama ya kimatifa (ICC)?

    Kwanza itambulike kwamba SIO KWELI kwamba Watanzania hatutaki wawekezaji kutoka nje wala hatutaki kubinafsisha mifumo yetu ya uendeshaji. La ubinafsishaji unaruhusiwa Tanzania ndo maana huko Nyamango, Kahama n.k kuna wawekezaji kutoka nje. Lakini pia katika uwekezaji huo tulionao mfano huko...
  8. JanguKamaJangu

    Afrika Kusini kubadilisha Sheria ili kukwepa kumkamata Putin

    Uamuzi huo unatarajiwa kufanyika ili kuwa na nguvu ya kuamua mtu wa kumkamata pindi anapotuhumiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Rais wa Urusi,Vladimir Putin ana mwaliko wa kushiriki kikao Agosti 2023 Nchini Afrika Kusini na yupo hatarini kukamatwa kutokana na vita inayoendelea...
  9. BARD AI

    Julius Malema ataka Serikali ijitoe kwenye Mahakama ya Uhalifu wa Kivita (ICC)

    Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Nchini #AfrikaKusini amesema Taifa hilo halifungamani na upande wowote hivyo, kitendo cha hivi karibuni cha Mahakama ya #ICC kutoa kibali cha kumakatwa kwa Rais #VladimirPutin wa Urusi ni matakwa ya Mataifa ya Magharibi. Pia, Malema amesema kama angekuwa...
  10. Kenyan

    Japhet Koome: Siogopi vitisho vya mahakama ya ICC

    Inspekta Jenerali wa polisi Japheth Koome amesema kuwa hatishiki na barua iliyotumwa kwenda kwa Mahakama ya kimataifa ICC na upinzani. Upinzani kupitia Muungano wa Azimio unaoongozwa na Raila Odinga uliandikia ICC barua ukitaka Mahakama hiyo kufungua jalada la uchunguzi kutokana na nguvu nyingi...
  11. HERY HERNHO

    Julius Malema: Tutamlinda Putin dhidi ya ICC atakapowasili Afrika Kusini

    Chama cha wachache cha upinzani cha Afrika Kusini, Economic Freedom Fighters (EFF), kimesema Rais wa Urusi Vladimir Putin anakaribishwa kuzuru Pretoria licha ya hati ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi yake. Mahakama ya ICC, ambayo Afrika Kusini imetia...
  12. MK254

    Afrika Kusini itatakiwa imkamate muuaji Putin na kumpeleka ICC

    Mataifa yote 127 yaliyotia mkataba na ICC yanatakiwa yamkamate pindi akitua nchini mwao, Putin amepanga kuitembelea Afrika Kusini mnamo Agosti, anasubiriwa akamatweeee..... waumini wa Putin povu ruksa Russia's President Vladimir Putin will be attending the Brics Summit in August this year, on...
  13. HERY HERNHO

    ICC yaingiwa na wasiwasi baada ya Urusi kusema itaipiga na makombora ya Hypersonic

    ICC ina wasiwasi na 'vitisho' vya Urusi juu ya kibali cha Putin Wasi wasi huo unakuja baada ya Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev kutishia kuipiga mahakama ya uhalifu wa kivita kwa makombora ya hypersonic. ========= The International Criminal Court (ICC) has expressed concern over...
  14. Mathanzua

    The International Criminal Court (ICC) is a criminal institution

    March 22, 2023 The International Criminal Court in The Hague (ICC) has recently issued an arrest warrant for Russian President Vladimir Putin. He stands accused of being responsible for, among other things, that a few hundred children have been brought safely into Russia from wartime Ukraine...
  15. ngajapo

    Kremlin yasema madai ya ICC 'ya kipuuzi na ya kukasirisha'

    Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amesema!! Moscow haina wajibu wa kukiri "hati ya kukamatwa" kwa Rais Vladimir Putin iliyotangazwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu siku ya Ijumaa, "Tunachukulia suala hilo kuwa la kuchukiza na halikubaliki," Peskov aliwaambia waandishi wa habari alipoulizwa...
  16. Messenger RNA

    Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

    Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin. ===== Katika uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo...
  17. Mshana Jr

    Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

    Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa. Baada ya kupata nafuu majeraha...
Back
Top Bottom