icc

The ICC Champions Trophy is a One-Day International (ODI) cricket tournament organised by the International Cricket Council. The 2013 tournament was intended to be the final edition of the Champions Trophy, but it was extended to 2017 due to its widespread popularity. In 2018, the ICC decided to replace the tournament with the World Twenty20 championship to be held every two years, and no Champions Trophy was contested in 2021. However, as part of the 2021 Future Tour Programme, the event was reinstated for the 2025 cycle onwards. In November 2021, the ICC confirmed the tournament would next take place in 2025 in Pakistan, with India hosting the tournament in 2029.

View More On Wikipedia.org
  1. Unread

    JamiiForums Tanzania Kwanini ICC ipo kimya licha ya maombi ya uchunguzi wa uhalifu na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Tanzania?

    Habari wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada Zaidi ya miezi kadhaa baada ya makundi ya wanaharakati wa haki za binadamu na mashirika ya kimataifa kuwasilisha maombi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yakiiitaka ichunguze madai ya uhalifu na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kweli ambazo ni LAZIMA CCM /SAMIA wazikubali, ili Kuiponya NCHI ndani na Kimataifa , na waepukane na ADHABU za Kimataifa

    1-Hamna aliyewahi anzisha Vita na KATOLIKI akatoboa .... Yaan Msukumo wa US na EU kwa CCM na Wauaji wake, unatokana na Taarifa zinazoandikwa na KATOLIKI ...... Hawa wanaaminika DUNIANI na MBINGUNI. 2-Huwezi kuua Raia Oktoba 29 Kwa MAELFU vile, alafu DUNIA ikae inakuangalia tu . NEEVEEEEER ...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Deputy Prosecutor ICC: Tuna ushahidi wa mauaji ya Kimbari Sudan yaliyofanywa na RSF

    Ushahidi umekamilika sasa kilichobaki ni namna ya kumpeleka ICC ahukumiwe. Alipoulizwa.kuwa Bashir mpaka leo hajapelekwa huko akajibu: Ni mamlaka za ndani kumkabidhi kwetu tumshughulikie. Ameitaka UN kuwa na utaratibu wa kumkabidhi mualifu kwa nguvu ICC. Sasa napata MASHAKA! Hata akipatikana...
  4. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ilikuwa ICC itamkamata, ikaja Bunge la Ulaya, halafu Senate ya USA; Fanyeni kazi Samia hadi 2030

    Uchaguzi uliisha Oktoba 2025, waliopiga kura wanatosha, na waliosusa kwa NRE shauri yao. Samia yupo hadi 2030, hamna kitu mtafanya nje ya Katiba. Wanaharakati wa CHADEMA wanahangaika sana. Kuna wakati wamekusanya mapicha ya kugushi na kupeleka ICC na wakawaaminisha wanachama wao kuwa Samia...
  5. R

    JamiiForums Tanzania ICC: Ninaanza kuwa na wasiwasi, hivi kuna lolote ICC kinachoendelea kuhusu mauaji ya halaiki. WHO IS PUSHING THE AGENDA?

    Naona kumekuwa kimya mno! Kuna lolote kweli linaloendelea? Who is pushing the agenda? Mbina ka eneo hako tumekasahau? WHO IS PUSHING THE AGENDA?
  6. R

    JamiiForums Tanzania Heche: ICC imeingizwa kurasa 82 zinazoeleza kwamba watu hawa waliua watu zaidi ya 3000

    Makamu Mwenyekiti wa Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, John Heche, wakati akizungumza na umati wa wanannchi katika mkutano wa hadhara Mkoa wa Mbeya Juni 23, 2026, alieleza kuhusu kesi iliyofikishwa Mahakama ya uhalifu ya Kimataifa (ICC) kuhusu mauaji ya raifa yaliyofanyika wakati na...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gachagua Accuses Interior CS Kipchumba Murkomen of Financing Goons, Warns of ICC Consequences

    Former Deputy President Rigathi Gachagua has accused Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen of facilitating and financing groups of hired goons, allegedly intended to infiltrate and disrupt planned June 25 memorial protests. The claims come amid heightened political tensions as Kenyans...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mwendesha Mashtaka Mkuu ICC asimamishwa kazi kwa unyanyasaji wa Kingono

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan. Hatua hii inakuja baada ya uchunguzi wa miezi 18 uliofanywa na Umoja wa Mataifa kuhusu tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia. Khan anatuhumiwa kumnyanyasa kijinsia mara kwa mara mfanyakazi wa kike wa ICC...
  9. digba sowey

    JamiiForums Tanzania Shirika la haki za binadamu (HRw) laomba picha za 29 October ili kukusanya ushahidi wa kupelekea ICC

    Ujumbe unajieleza,Samia Hana pa kutokea, ICC inanukia, mungu tenda miujuza mtesi wetu akinywee kikombe cha mateso Wenye video wazitume sasa kupitia hii link MASV Portals
  10. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Samia ICC imefikia wapi ?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi? Wako wapi akina Polepole? Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana? Tanzania inaenda wapi? Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
  11. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Kwa Ufupi: Jitihada za Kuikwepa ICC zinaendelea....

    Ili kukwepa mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) viongozi wa Tanzania walitakiwa waanzishe na kuleta mashtaka dhidi ya wahusika wa mauaji ya mamia ya Watanzania Octoba 29 mwaka jana. Ili ICC isilete mashtaka dhidi ya watu fulani fulani ni lazima mchakato wa uchunguzi utosheleze...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kutegemea ICC na Wazungu kupigania haki na Maendeleo yetu nako ni dalili ya kukimbia uwajibikaji, utegaji na uvivu

    Hamjambo Wote! Moja ya changamoto tulizonazo Watanzania na watu weusi ni kukimbia wajibu(uwajibikaji). Utegezi. Uvivu. Fikiria Mwanamke anaona wajibu wa maisha yake, mahitaji Yake ya msingi ati ni mwanaume. Na mwanaume asipomhudumia na kumpambania ati analalamika na kulaumu. Ni desturi potofu...
  13. Q

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 MwanaHALISI: Pamoja na Ripoti ya Tume kutoka, ICC Haikwepeki

  14. S

    JamiiForums Tanzania Mtazamo: Inawezekana Samia aliwalenga zaidi ICC aliposema ripoti ya Jaji Chande ni mali ya Raisi na asitokee mtu wa kuidai

    Binafsi nafikiri hiyo ndio sababu kubwa ingawa mtazamo wa wengi ni kuwa anakwepa watu kuichambua na kuonyesha mapungufu yaliyomo katika hiyo ripoti. Inawzekana ICC wakaidai hiyo ripoti kabla ya kutoa uamuzi wao juu ya Samia na wenzake kama wsshitakiwe au laa kwahiyo wanakwepa /wanajihami
  15. S

    JamiiForums Tanzania Je, mpaka sasa ripoti ya Jaji Chande haiwezi kutumiwa na ICC kuanzisha uchunguzi?

    Baada ya ripoti hii kutoa idadi ya mamia ya watu waliouwawa Oktoba 29 , ICC si watakuwa wamepata sababu nyingine ya kuchunguza haya mauji ukizingatia hiyo idadi? Na kwa Samia mwenyewe kusema hadharani kuwa hiyo ripoti ni mali yake, ICC hawapati sababu ya kutilia mashaka hiyo ripoti? Muda utasema.
  16. O

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa Ripoti hii ya Chande, Je, Samia ataweza kuukwepa mkono wa Sheria wa ICC?

    Wachache wenye uelewa hatukutegemea jambo jipya kutoka kwa Tume ya Jaji Chande. Hata hivyo, ukifuatilia kwa makini uwasilishaji wa ripoti hii, unaonekana kama utetezi kwa Samia na serikali yake mbele ya jumuiya ya kimataifa. Kwa wataalamu wa sheria, je, ripoti hii inamaanisha kwamba Samia...
  17. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA isitegemee UNO, ICC wala USA katika harakati zao

    Kama UNO wameshindwa kuwazuia Isreal na USA kuishambulia Iran. Pia wameshindwa hata kutoa neno tu kukamatwa Maduro ni wazi hivi sasa dunia ishapotea njia. Chadema wasitegemee chochote kutoka huko. ICC yenyewe kama imekufa.
  18. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Kwa Taarifa Tu: ICC hawaingii hadi majibu ya maswali 5 yafuatayo yatolewe...

    Na. M. M. Mwanakijiji Kwa wanaokumbuka nilitoa taarifa mwezi wa kumi na mbili mwaka jana hapa kuwa nilipata nafasi ya kufanya "utalii" pale The Hague Uholanzi. Sikuwahi kufikiria naweza kufika mahali hapo kiutalii na kuweza kujifunza mambo mbalimbali. Matukio ya Oktoba 29-Nov. 4, 2025...
  19. R

    JamiiForums Tanzania ICC imeishia wapi?

    Naona kimya as if nothing had happened in TANGANYIKA
  20. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Si Mlisema ICC wanakuja nchini wako wapi?

    Makamanda mlisema ICC wanakuja, najiuliza wanatumia Usafiri wa Punda? Kila nikiingia mtandaoni sioni kama wamefika au laa! Makamanda hebu tuliweke sawa hili jambo lipo au ni Chai tuu maana hata Dada mange naona haliongelei sana siku hizi kulikoni?
Back
Top Bottom