Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Makafiri tunajua mna chuki sana

Hizo mimba zenu za chuki me nawashauri mngefanya abortion tuh

Samia anaongoza nchi kwa mafanikio makubwa
Utapanic sana mwaka huu. Na bado.

Jiandae tu na ICC. Ile minimum sentence ni 30 years kwa hiyo subiria bibi yako atakavyohukumiwa tu.
 
Yaani Durtete ashikiliwa na ICC alafu Samia asishtakiwe, mbona ICC watakuwa wabaguzi wa karne.
ICC sio soko la samaki feri kwamba mtu anajiendea tu, heshimuni sheria za nchi, heshimuni dola.

Msipoiheshimu dola kwa hiari yenu mtalazimishwa kufanya hivyo.
 
ICC sio soko la samaki feri kwamba mtu anajiendea tu, heshimuni sheria za nchi, heshimuni dola.

Msipoiheshimu dola kwa hiari yenu mtalazimishwa kufanya hivyo.
Then dola haitakiwi kuheshimu wananchi? Unaongea kama kuku alikatwa kichwa.
 
Then dola haitakiwi kuheshimu wananchi? Unaongea kama kuku alikatwa kichwa.
Ni two ways mkuu, huwezi kuchoma moto mali za watu na za serikali bila ya kuchezea chuma.

Mlipoanza kuandamana kule Ubungo mliachiwa wale mapolisi walidhani ni maandamano ya kawaida, pale mlipoanza kuchoma moto vituo vya mwendo kasi na vituo vya kuuza mafuta vya watu binafsi, mamlaka zikajua kumbe hawa wapumbavu hawatakiwi kuchekewa.

Mnaenda kujiliza kwa wazungu wakati upuuzi mliuanza wenyewe huko mitaani.
 
ICC sio soko la samaki feri kwamba mtu anajiendea tu, heshimuni sheria za nchi, heshimuni dola.

Msipoiheshimu dola kwa hiari yenu mtalazimishwa kufanya hivyo.
Safari una kazi pevu ya kumtetea huyu wa kizimkazi na bado !
 
Wajinga sana hawa madogo, walimchukulia poa sana Rais kisa anavaa hijabu kisa mwanamama wa kizenji.

Cha moto wamekiona.
Hata useme kwa dhiaka kiasi gani serikali yeyote inayoendeshwa kama kikundi cha wavuta bangi haiwezi kuvimilika na mwisho wa siku inaweza kumdhuru mtu yeyote regardless unaisaupport au unaipinga.
 
Hata useme kwa dhiaka kiasi gani serikali yeyote inayoendeshwa kama kikundi cha wavuta bangi haiwezi kuvimilika na mwisho wa siku inaweza kumdhuru mtu yeyote regardless unaisaupport au unaipinga.
Hii serikali ipo mpaka 2030 Mungu akipenda, mtaishia kuweka habari za ICC kupeana moyo nyinyi wanaharakati.

Uhuni na uvuta bangi ulifanyika siku ile ya October 29, ukadhibitiwa vilivyo na mapolisi.
 
Ni two ways mkuu, huwezi kuchoma moto mali za watu na za serikali bila ya kuchezea chuma.

Mlipoanza kuandamana kule Ubungo mliachiwa wale mapolisi walidhani ni maandamano ya kawaida, pale mlipoanza kuchoma moto vituo vya mwendo kasi na vituo vya kuuza mafuta vya watu binafsi, mamlaka zikajua kumbe hawa wapumbavu hawatakiwi kuchekewa.

Mnaenda kujiliza kwa wazungu wakati upuuzi mliuanza wenyewe huko mitaani.
Uliona wapi wanachoma vituo vya makuta wanauwawa? Hii ni utahira au ushamba wa dola? Hizo mahakama zina kazi gani hasa?
 
THE BIG SHOW tumetoka kubishana muda si mrefu, kumbe serikali yako imesafiri hadi Vatican leo kwenda kumuomba papa aiombee Tanzania
Nilikuambia kuwa hamna akili na maarifa
20260128_200439.jpg
 
Hamjasema bado kenge nyinyi

Tunajua mnataka kupasuka na hatutawaacha safari hii

Hakuna tusi jipya..tukana yote hadi umalize lakini dawa yenu mkileta fujo unajua vile tunafanya...ni shaba tuh
Kwamba hizo silaha mnazo ninyi tu? Ipo siku zitatufikia na tutazitumia kikamilifu ndio mtajuta hakika!
 
Back
Top Bottom