Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

Trump kaua wahamiaji haramu 1200 waliokuwa kwenye gereza maalum kule USA, hawajulikani walipo kwani hapo gerezani hawapo, kwenye simu zao binafsi hawapatikani, unaweza kumpeleka Trump kule ICC?.
Wewe hii habari umeitoa wapi?
Huoni hata aibu kuzua tu taarifa ambazo hata hazipo kabisa?. Unacho kielelezo chochote kuhusu taarifa hiyo?

Matapeli waovu kabisa kama wewe ndio mnaojifanya kujuwa mambo huku mkiwa ni wajinga wakubwa.

Hata hivyo, Trump na Samia wapi na wapi hadi uthubutu kulinganisha!

Charles Taylor na 'warlords' kadhaa wa DRC waliohukumiwa na mahakama hiyo hiyo nao walifanya' genocide'
 
USA wamepotea watu 1200 hawajulikani wapo wapi, walikamatwa wakiwa hawana vibali vya kuishi wakawapeleka kwenye gereza linaitwa Alligator Alcatraz zaidi ya miezi mitatu iliyopita mpaka leo hawajulikani wapo wapi, huwezi kusikia ICC wakimshtaki Trump kwa kupotezwa kwa hao raia wa kigeni
Wewe ni mpumbavu. Marekani hawamo kwenye mpango huo wa ICC; sasa hapa unataka kuhadaa watu kwa ujinga wako huu.

Mwanzo ulikana kuwa Samia hajapewa taarifa hiyo ya ICC, sasa unaanza kuzua taarifa za 'genocide' na 'crime against humanity'; ukijidanganya Samia hata akipelkwa huko hiyo ni kesi ndogo!

Kesi ndogo wakati mmeua waTanzania?
 
Ila wewe umesema Samia angekuwa anatuhumiwa kwa genocide, sasa hivi angekuwa ameshahukumiwa. Hilo ulilisema wiki kadhaa nyuma na umelirudia tena katika uzi huu.

Tambua kuwa kuanzia 29/10/2025 hadi leo ndiyo inatimia miezi mitatu. Kwa hiyo unakiri kwamba umekuwa unaongea utumbo.
Huyo mtu ndiye Hamza Johari, au yupo karibu sana na huyo Hamza.
 
HHebu weka akilini mwako, hiyo minne wewe utakuwa na hali gani hasa. Huyo unayemtegemea kwa makombo akiwa na bahati sana atakuwa jela; vinginevyo mzoga wake utakuwa chakula cha minyoo.
Mtaendelea kusoma dua gizani miaka yote minne.
 
Wewe ni mpumbavu. Marekani hawamo kwenye mpango huo wa ICC; sasa hapa unataka kuhadaa watu kwa ujinga wako huu.

Mwanzo ulikana kuwa Samia hajapewa taarifa hiyo ya ICC, sasa unaanza kuzua taarifa za 'genocide' na 'crime against humanity'; ukijidanganya Samia hata akipelkwa huko hiyo ni kesi ndogo!

Kesi ndogo wakati mmeua waTanzania?
Taarifa ya ICC lazima ifike kwa wahusika moja kwa moja haiwezi kuanzia kwa mawakili wa upinzani kina Magoti, ukiona imeanzia huko ujue hiyo ni FAKE NEWS.
 
Lakini hujaitaja Gaza; siyo kwamba Samia naye atakuwa na kinga kama mhusika wa huko.
Sasa kama wewe unaona ICC ni ukuta unaomlinda Samia, elewa kuwa waTanzania wenyewe tutafanya kazi ya ukombozi wa nchi yetu.
Kuna taratibu lazima zifuatwe na hao ICC baada ya serikali kuunda tume ya Chande.

Kwenda kwenye hiyo mahakama sio sawa na kwenda kisutu sokoni kununua mkungu wa ndizi za kutoka Bukoba.
 
Kuna taratibu lazima zifuatwe na hao ICC baada ya serikali kuunda tume ya Chande.

Kwenda kwenye hiyo mahakama sio sawa na kwenda kisutu sokoni kununua mkungu wa ndizi za kutoka Bukoba.
Hivi kinachokuhangaisha hivi wewe ni nini hasa; maana ni wazi kabisa kuwa hali yako inazidi kuwa mbaya. Akili zimkuruka kabisa?
Umekuwa kichaa?

Hii damu ya hawa watu mliowaua ndiyo inayowaathiri namna hii?
 
Haya maneno unazeeka ukiyasema kila siku, inachekesha kukusoma.
Wewe ucheke? Kitakuwa ni kicheko cha unafiki tu!

Hata ukiigiza kucheka kuhusu hali hiyo mbovu mliyonayo, maumivu yanabaki palepale.

Hili Samia na nyinyi nyote hamuwezi kulifanyia ulaghai au hadaa, ni hali halisi inayowakabili.

Hayo maneno yanawachoma sana mioyoni mwenu. na wala hayawezi kuondoka ndani ya fikra zenu.

Na mbaya zaidi ni kuwa hamna uwezo wa kuyazuia yastimie, na wala kuyachelewesha au kuyaharakisha; uwezo huo hamnao.

Hakuna mitutu ya bunduki itakayowahakikishia kutotimizwa kwa hatma hiyo; hiyo ndiyo hali halisi inayowakabili sasa hivi.
 
Back
Top Bottom