kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,049
- 15,882
Zitto kabwe nae inaonekana alifanya mazoezi kwa vitendo hapo akiwa na meneja wa staz Nadir haroub canavaro jasho la kwapa machozi na damu lazima stazi icheze qatar world cup!
Kisa nini na kitambo yupo hapo!Huyu meneja ataondolewa haraka sn na Karia
Hatari snKisa nini na kitambo yupo hapo!
Zitto akitulia ana uwezo wa kuja kuiongoza nchi
Zitto ni mchumia tumbo na hodari wa kutafuta sifaSi rahisi kihivyo
Labda aongoze kwao MwandigaZitto akitulia ana uwezo wa kuja kuiongoza nchi
Ushaanza kujikomba kwa Zitto ili akupatie angalau bundleKisa nini na kitambo yupo hapo!
Karia yupi? Au yule msomali?Huyu meneja ataondolewa haraka sn na Karia
Wewe umevurugwa sana hasa baada ya kumaliza zamu yako ya kulinda kaburi.
Chadema watamuita ccm b
Yaani Mataga bwana Nadir Haroub Ni team Manager, Captain Ni Samata
Mataga makalio yako.Yaani Mataga bwana Nadir Haroub Ni team Manager, Captain Ni Samata
Taga kabisa kichwani kamasiMataga makalio yako.