The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,136
- 50,994
Ngoja waje wale wachezaji wa Pinga pinga FC tuona hapa watapinga kitu gani?
wote mko sawa tu,, kitu kidgo hicho mshaanza kujibizana bila hata aibu.Taga kabisa kichwani kamasi
Huyo huyo msomaliKaria yupi? Au yule msomali?
Yule ni maslahi kwanzaZito ni Mbinafsi..mtu wa maslahi..ana lake... sio wa kumuiga...muulize Jasusi Membe atakwambia...
Taifa stars ni ya wote Ilo liko wazi...
Tanzania kamwe haiwezi kupiga hatua kisoka ikiwa inaongozwa na mtu wa taifa la nje maana hana uchungu.Huyo huyo msomali
Hapa Ltd bundle haliulizwi nyie mnaolialia mimi nataka iongezwe bei kila uchao!Ushaanza kujikomba kwa Zitto ili akupatie angalau bundle
Wacha ubaguzi wewe mbona ni mrundi sisi hatusemi!Karia yupi? Au yule msomali?
Mrundi sasa hivi keshapumzishwa kawaacha wajaneWacha ubaguzi wewe mbona ni mrundi sisi hatusemi!
Kweli kuzaa si kupata!Wewe umevurugwa sana hasa baada ya kumaliza zamu yako ya kulinda kaburi.
Wakati unashindia kashata na maji ya kandoro?Hapa Ltd bundle haliulizwi nyie mnaolialia mimi nataka iongezwe bei kila uchao!
Wewe pia tafuta kama rahisi!Zitto ni mchumia tumbo na hodari wa kutafuta sifa
Hakika wazazi wako leo hii wanashinda wanalia tu maanake umekuwa kama kopoKweli kuzaa si kupata!
Mwenzenu kutoka singida analia eti kasingiziwa kuwa yeye ni shogaWewe pia tafuta kama rahisi!
Kama anayeongoza chadema maana haishindi uchaguzi yule nae ni wa wapi?!Tanzania kamwe haiwezi kupiga hatua kisoka ikiwa inaongozwa na mtu wa taifa la nje maana hana uchungu.
Tangu cdm ianze kugombea haijawahi kushindwa bali ccm ndiyo mnaiba kura zakeKama anayeongoza chadema maana haishindi uchaguzi yule nae ni wa wapi?!
Ngoja mtetezi wa mashoga yupo ughaibuni!Mwenzenu kutoka singida analia eti kasingiziwa kuwa yeye ni shoga
Kazi sana kuzaa si kupata!Hakika wazazi wako leo hii wanashinda wanalia tu maanake umekuwa kama kopo
Leo hii mnamlaumu msigwaNgoja mtetezi wa mashoga yupo ughaibuni!