jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Asante kwa taarif Mkuu, lets wait and see. Itakuwa poa mno kama Mrema akirejea alikotoka maana vitabaki vyama makini tu vya siasa.
Historia ya Mrema dhidi ya ufisadi ikiwekwa hapa nani wa kubishana ama kulinganishwa nayo?
Huyu mzee alipiga vita ufisadi kabla hata msamiati wa ufisadi haujaanza.
Chuki tu binafsi ambazo ni personal dhidi yake kwenye mchezo huu mchafu wa siasa ndizo zilipotufikisha hapa tulipo.
Ibra wewe unataka arudi ccm kwasababu hata msimamo wako hapa jamvini unaelemea upande wa ccm na kwa hivyo sishangai unapodai afanye hivyo ili vyama "Makini" vya upinzani vibaki.