Mzee Wassira apinga CHADEMA kufanya maandamano. Adai viongozi wa chama hicho wanajua utaratibu

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.

Wasira amesema hayo leo Januari 17,2024 alipofanya mahojihano na Mwananchi Digital huku akisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu John Manyika na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu walikuwa wabunge na wanajua utaratibu huo.

Wasira aliyewahi kuwa waziri katika wizara tofauti katika awamu zilizopita, amesema Chadema inapaswa kusubiri mchakato wa kibunge kuyajadili na kuyatolea uamuzi maoni yaliyokusanywa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria na si kuandamana.

Wasira amesema hayo siku ambayo pia vyama 13 vya upinzani visivyo na wabunge vimetoa tamko la kupinga maandamano hayo.

Hata hivyo, John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema alipoulizwa kuhusu wanaoyapinga amesema "tunaweka pamba maskinioni, ratiba ya maandamano bado iko vilevile na Katibu Mkuu wetu ameshatoa ratiba ya namna shughuli zitakavyofanyika".
 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.

Wasira amesema hayo leo Januari 17,2024 alipofanya mahojihano na Mwananchi Digital huku akisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu John Manyika na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu walikuwa wabunge na wanajua utaratibu huo.

Wasira aliyewahi kuwa waziri katika wizara tofauti katika awamu zilizopita, amesema Chadema inapaswa kusubiri mchakato wa kibunge kuyajadili na kuyatolea uamuzi maoni yaliyokusanywa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria na si kuandamana.

Wasira amesema hayo siku ambayo pia vyama 13 vya upinzani visivyo na wabunge vimetoa tamko la kupinga maandamano hayo.

Hata hivyo, John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema alipoulizwa kuhusu wanaoyapinga amesema "tunaweka pamba maskinioni, ratiba ya maandamano bado iko vilevile na Katibu Mkuu wetu ameshatoa ratiba ya namna shughuli zitakavyofanyika".
Ifike mahali hawa kina babu wakae kimya walee wajukuu.
Muda wao wa uongozi umepita.
Watuachie na sisi tutoe michango yetu
 
Hivi ni Kwa nini ccm au na serikali wanaogopa maandamano? Kuna nini nyuma ya tendo la kuandamana? Kila siku watu hutembea Kwa miguu na ni uhuru wao na sioni wakibughuziwa… au ni Kwa vile kutembea barabarani hakuitwi maandamano? Nielimisheni, ni Kwa nini neno maandamano linaogopwa sana? Yule Mzee wa taifa tunasoma kwamba alitembea Kwa miguu toka Butiama hadi mwanza na hakukuwa na nongwa… sasa ya nini kuwafanyia nongwa wengine wakitaka kumuiga?
 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.

Wasira amesema hayo leo Januari 17,2024 alipofanya mahojihano na Mwananchi Digital huku akisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu John Manyika na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu walikuwa wabunge na wanajua utaratibu huo.

Wasira aliyewahi kuwa waziri katika wizara tofauti katika awamu zilizopita, amesema Chadema inapaswa kusubiri mchakato wa kibunge kuyajadili na kuyatolea uamuzi maoni yaliyokusanywa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria na si kuandamana.

Wasira amesema hayo siku ambayo pia vyama 13 vya upinzani visivyo na wabunge vimetoa tamko la kupinga maandamano hayo.

Hata hivyo, John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema alipoulizwa kuhusu wanaoyapinga amesema "tunaweka pamba maskinioni, ratiba ya maandamano bado iko vilevile na Katibu Mkuu wetu ameshatoa ratiba ya namna shughuli zitakavyofanyika".
Hii nyara toka Gombe ikae kimya
 
kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.
Stupid wasira, majadiliano ya mwaka mzima na Chadema , mkakubaliana kuwa haya yarekebishwe , mkakubali na nyaraka zipo, strange enough mkaleta upuuzi ule ule unaolalamikiwa maka zaidi ya 30! Stupid wasira, unataka uvumilivu gani? wa miaka 100? Stupid! Erythrocyte
 
Hivi ni Kwa nini ccm au na serikali wanaogopa maandamano? Kuna nini nyuma ya tendo la kuandamana? Kila siku watu hutembea Kwa miguu na ni uhuru wao na sioni wakibughuziwa… au ni Kwa vile kutembea barabarani hakuitwi maandamano? Nielimisheni, ni Kwa nini neno maandamano linaogopwa sana? Yule Mzee wa taifa tunasoma kwamba alitembea Kwa miguu toka Butiama hadi mwanza na hakukuwa na nongwa… sasa ya nini kuwafanyia nongwa wengine wakitaka kumuiga?
Maandamano yanafanya Awareness ya Vyombo vyote vya kimataifa kujua Kuwa Wananchi wanamatatizo fulani (Yatakayotajwa) sasa huenda serikali imesema vinginevyo kwenye Mabaraza ya Kimataifa..
 
Maandamano yanafanya Awareness ya Vyombo vyote vya kimataifa kujua Kuwa Wananchi wanamatatizo fulani (Yatakayotajwa) sasa huenda serikali imesema vinginevyo kwenye Mabaraza ya Kimataifa..
Kabisa, hii ndio sababu hasa ya kukataa maandamano, maana picha wanayojenga kwa wananchi na jumuiya ya kimataifa ni nyingine, hivyo wanajua hayo maandamano yataanika ukweli ambao hawako tayari kuutekeleza.
 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.

Wasira amesema hayo leo Januari 17,2024 alipofanya mahojihano na Mwananchi Digital huku akisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu John Manyika na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu walikuwa wabunge na wanajua utaratibu huo.

Wasira aliyewahi kuwa waziri katika wizara tofauti katika awamu zilizopita, amesema Chadema inapaswa kusubiri mchakato wa kibunge kuyajadili na kuyatolea uamuzi maoni yaliyokusanywa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria na si kuandamana.

Wasira amesema hayo siku ambayo pia vyama 13 vya upinzani visivyo na wabunge vimetoa tamko la kupinga maandamano hayo.

Hata hivyo, John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema alipoulizwa kuhusu wanaoyapinga amesema "tunaweka pamba maskinioni, ratiba ya maandamano bado iko vilevile na Katibu Mkuu wetu ameshatoa ratiba ya namna shughuli zitakavyofanyika".
Maandamano ni haki ya kikatiba
 
Kwanini wanaogopa maandamano kiasi hicho?

Si wao husema CDM haikubaliki na wananchi?
Maandamano ni chanzo Cha Serikali nyingi duniani kuanguka

Maana maandamano yakipata uungwaji mkono wa raia , nchi itaingia kwenye MACHAFUKO na serikali itaanguka
 
Maandamano ni chanzo Cha Serikali nyingi duniani kuanguka

Maana maandamano yakipata uungwaji mkono wa raia , nchi itaingia kwenye MACHAFUKO na serikali itaanguka
Sasa kwanini hawataki HAKI itendeke kwenye Uchaguzi?
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.
Haoni contradiction hapa? Asiyekuwa na uvumilivu si yule anayemkataza mwenzake kutumia haki yake ya katiba ya kuandambana na kumtishia kuwa atapigwa na kuumizwa? Kwa nini apigwe wakati Katiba ya nchi yake inamruhusu kuandamana? Wakati mwingine ni bora kuyamaza.

Amandla...
 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.

Wasira amesema hayo leo Januari 17,2024 alipofanya mahojihano na Mwananchi Digital huku akisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu John Manyika na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu walikuwa wabunge na wanajua utaratibu huo.

Wasira aliyewahi kuwa waziri katika wizara tofauti katika awamu zilizopita, amesema Chadema inapaswa kusubiri mchakato wa kibunge kuyajadili na kuyatolea uamuzi maoni yaliyokusanywa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria na si kuandamana.

Wasira amesema hayo siku ambayo pia vyama 13 vya upinzani visivyo na wabunge vimetoa tamko la kupinga maandamano hayo.

Hata hivyo, John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema alipoulizwa kuhusu wanaoyapinga amesema "tunaweka pamba maskinioni, ratiba ya maandamano bado iko vilevile na Katibu Mkuu wetu ameshatoa ratiba ya namna shughuli zitakavyofanyika".
Huyu mzee apelekwe hifadhi ya gombe,akaishi na wenzake kule msituni
 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amekosoa hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutaka kufanya maandamano kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na ugumu wa maisha akisema ni dalili ya kupungua kwa uvumilivu nchini.

Wasira amesema hayo leo Januari 17,2024 alipofanya mahojihano na Mwananchi Digital huku akisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu John Manyika na Makamu Mwenyekiti, Tundu Lissu walikuwa wabunge na wanajua utaratibu huo.

Wasira aliyewahi kuwa waziri katika wizara tofauti katika awamu zilizopita, amesema Chadema inapaswa kusubiri mchakato wa kibunge kuyajadili na kuyatolea uamuzi maoni yaliyokusanywa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria na si kuandamana.

Wasira amesema hayo siku ambayo pia vyama 13 vya upinzani visivyo na wabunge vimetoa tamko la kupinga maandamano hayo.

Hata hivyo, John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema alipoulizwa kuhusu wanaoyapinga amesema "tunaweka pamba maskinioni, ratiba ya maandamano bado iko vilevile na Katibu Mkuu wetu ameshatoa ratiba ya namna shughuli zitakavyofanyika".
Nia ovu ilishadhihirika pale miswada yenyewe ilipoandaliwa na kuwasilishwa. Wakati wa mupokea maoni ya wananchi dhamira hiyo ovu iliendelea kushamiri na kuthibitika. Ni kejeli kubwa kupendekeza tume ya uchaguzi ambayo upatikanaji wake unamhudisha rais na wsteule wake! Haiwezekani kuendelea na wakurugenzi kama wasimamizi wa uchaguzi. Haikubaliki kuendelea na katiba inayozuia kura za rais kuhoniwa mahakamani. Hatukubaliani na katiba inayobagua kwa kukataza mgombea binafsi. Haya yote na mengine yalifahamika kabla ya miswada kuandikwa lakini yakapuuzwa kwa sababu dhamira ni ovu. Haiyumkiniki kuwa eti maoni ya wananchi yatabadilisha hiyo dhamira ya kishetani iliyopo katika miswada husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom