Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 837
- Thread starter
- #1,761
thanks for the info...sasa kuna ubaya kufanya kazi kwenye hiyo law firm?
Je hawa wabongo wanamakosa yoyote?
Je hawa wabongo wanamakosa yoyote?
Acha wafunuane. Uzuri wa shetani atakufichia siri wee lakini huwa lazima ifike mahala akuumbue. Sasa muda nafikiri umefika kwa hawa jamaa kuumbuliwa na shetani na huko CCM kutakuwa hakukaliki! Kwa mara ya kwanza anayeumia hapa sio nyasi, ni hayohayo matembo!
Yaani Chenge kamwaadvise lawyer wake upumbavu mtupu. Siku zote watu walikuwa wanasema Chenge anaogopwa sababu anajua siri nyingi, nadhani na yeye kaamini upumbavu huo.
Kwa maana hio anawabeza makachero wa Tanzania!
Du! jamaa ana moyo.
Hawa serikali wanataka SFO ndo wampeleke Andrea Mahakamani?Au wanataka tuamini methali ya samaki mmoja akioza basi wote ndani ya tenga wameoza?Hapo ndipo patamu kwa viongozi wa Taasisi ya kuomba na kupokea rushwa(TAKUKURU)na jeshi la polisi kwa kuwa umma wote unasubiri maamuzi yao.
Hawa wameshindwa,sheriaya kuwabana mafisadi haipo ktk vitabu vyao maana ufisadi nao umetandaa kama "food web",nadhani wasomi wa ikolojia wanajua.Mzunguko wake ni tata unahusisha hata madereva wanaoendesha gari.
Huyu hatoki hata kama hiyo feza ni halali yake ila amekengeuka maadili ya uongozi na vipi amewekeza katika benki za nje wakati hapa zipo benki za kizalendo ,ila fisadi ameogopa mafisadi wenziwe.Kaazi kweeli kweli.