The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Huyu jamaa si ndiye aliyepata kura nyingi sana za NEC? ama walikuwa wanachangua kulingana na kiwango cha ufisadi?

Nakumbuka wimbo wa miaka ileeeeeeeeeee Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo woteee sasa hawa wezi sijui wanaimba nini...
 
Kwani hujui kuwa usalama ua taifa hawafanyikazi ya taifa ila wanafanya kazi ya kulinda maslahi ya mafisadi, kwanza tunahitaji maelezo yao ya kuhusika na kuchukua hela EPA

Ila kwa kweli jamani mimi tangu nizaliwe sijui hawa watu wanaoitwa usalama wa taifa wanafanya nini.. Labda sifahamu vuzuri mambo ya serekali ila kwa kweli kwa mtazamo wangu ni mzigo tuu kwa serekali kwani watu hawa wanakula na kulala bure.. wanaweza kuchukuwa hela mahali popote bila kuulizwa na wizara husika.. wana magari ya kifahari kuliko serekali ya UK, Mhh hawa watu bwana.. Mimi siwachukii ila nachukia unafiki wao.. wanaangalia usalama wa nani wakati nchi inakwisha???? Wafanye kazi basi ili tuweze kuona matumizi yetu wanayotumia ni sawa? I am tied of this people called Usalama wa Taifa....

Ina maana kuwa hawafahamu kuwa Chenge ni Fisadi? kwa nini walikubali arudishwe kwenye baraza lililopita?Au naye ni usalama wa taifa? kwani nilikuwa naongea na baadhi ya watu mahali uatasikia karibu kila mkuu wa mkoa ni usalama wa taifa.. kwa hiyo siwezi kushtuka kusikia kuwa naye ni usalama wa taifa ndio maana wanamuogopa
 
Mimi ninachokiona nyie watu wangu mnajikanyaga saana mara ashitakiwe ccm mara chenge kimsingi bila ya kuleta uhuni anayetakiwa kushitakiwa ni yule ambaye aliyetenda kosa na si vinginevyo haiwezekani hata kidogo mtoto amekosa ashitakiwe baba
 
Jiulizeni ni kwa nini hakuna hata moja aliyeshitakiwa kutokana na UFISADI unaoendelea Bongo? Walisema ati timu ya taifa ilikuwa ni kichwa cha mwendawazimu, WTZ waliyakubali maneno hayo hadi pale alipokuja kunguru wa kuruka ruka kwa jina Max, Je ni nani hasa kichwa cha mwendawazimu?

Richimonduli ndio imetoka hiyo, EPA na mabillioni yaliyopotea BOT just tinking... ... ... hata walioua nao kama DITO bado wanapeta........
 
Swala siyo kuchaguliowa kwa kura nyigi unjua wakati unafanyika uchaguzi haya yoote tulikuwa bado hatujayajua hata hivyo mara nyingine hata mwanao anaweza akawa fisadi usijue itakuwa kiongozi wako na kama unavyojuas tanzania ni kubwa saana
 
Jiulizeni ni kwa nini hakuna hata moja aliyeshitakiwa kutokana na UFISADI unaoendelea Bongo? Walisema ati timu ya taifa ilikuwa ni kichwa cha mwendawazimu, WTZ waliyakubali maneno hayo hadi pale alipokuja kunguru wa kuruka ruka kwa jina Max, Je ni nani hasa kichwa cha mwendawazimu?

Richimonduli ndio imetoka hiyo, EPA na mabillioni yaliyopotea BOT just tinking... ... ... hata walioua nao kama DITO bado wanapeta........

Kikwete anaweka historia yake mwenyewe mkuu! Hii inatisha!
 
Tatizo letu ni kuwa kila mmoja wetu anaweza kujiita usalama wa taifa na hakuna wa kuverify kama ni kweli au la...mfumo wa hofu tuliojijengea dhidi ya taasisi hiyo ndo unaifanya ifanye inavofanya....na sijui ni nani huwa anawachunguza pia na wao (cheks and balances) au ndo kama hivo wajifanyia wanavofanya bila kuulizwa? CAG anaangalia mahesabu yao?
 
Tatizo letu ni kuwa kila mmoja wetu anaweza kujiita usalama wa taifa na hakuna wa kuverify kama ni kweli au la...mfumo wa hofu tuliojijengea dhidi ya taasisi hiyo ndo unaifanya ifanye inavofanya....na sijui ni nani huwa anawachunguza pia na wao (cheks and balances) au ndo kama hivo wajifanyia wanavofanya bila kuulizwa? CAG anaangalia mahesabu yao?

This is a very interesting subject..najua CIA, FBI, Scotland yard..wote activities zao end of the day wanareport somewer...usalama wetu no one really knws...they work for the interests of CCM not Tanzanians..coz usalama hawajawahi kusema maovu yoyote ya CCM..Lakini upinzani wakiplan campaign tuu..watajaa humo utafikiri kuna mtu anataka kupindua nchi...they really need to re-evaluate their position with the interests of the tanzanian people in mind...
 
This is a very interesting subject..najua CIA, FBI, Scotland yard..wote activities zao end of the day wanareport somewer...usalama wetu no one really knws...they work for the interests of CCM not Tanzanians..coz usalama hawajawahi kusema maovu yoyote ya CCM..Lakini upinzani wakiplan campaign tuu..watajaa humo utafikiri kuna mtu anataka kupindua nchi...they really need to re-evaluate their position with the interests of the tanzanian people in mind...

Last time I checked Usalama wa taifa wanareport kwa Rais...so baada ya hapo ni juu ya rais na baraza la mawaziri kufuata au kutokufuata mapendekezo/ushauri wao. Swali (ma)rais wetu wanafuata mapendekezo na ushauri wa Usalama wa Taifa au wanayatupa kapuni?

Kuhusu hao Alphabet Boys kama unajua Executive Order 12333 utajua wanareport kwa nani.
 
kwa mara ya mwisho tuliambiwa yuko safarini na Muheshimiwa Raisi nchini India, China na America. Sasa hatuna uhakika yuko wapi baada ya msanga huu kufumuka.
 
Waheshimiwa wana JF ni wakati muafaka sasa kwa watanzania kubadilika na kutumia taaluma zetu kutokomeza ufisadi huu.
Napenda kupata ushauli wa kisheria kutoka kwa wanasheria wetu, je hapa Chenge hana kesi ya kujibu? na kama ipo ni utalatibu upi utumike kumfikisha mahakamani hata kama ataendelea na wadhifa wake wa uwaziri? Kama mwananchi wa kawaida ninayo haki ya kumfunguria mashita kwa kuhujum uchumi wa nchi?
Naombeni mawazo yetu ili niweze kushugurikia huyu fisadi mkubwa.

Ni wazo zuri sana hili. Lakini nilikuwa naomba kutoa ushauri ili kufanikisha zoezi hili vyema. Kwanini tusifungue mashitaka juu ya mafisadi yote kwa pamoja badala ya kumpeleka Chenge pekee yake mahakamani?. Hapa nina maana Mkapa, Yona, Mkono, Chenge, Mgonja, Mramba, Karamagi, Msabaha, Lowasa, Rostam Azizi, Mzindakaya na wengine wengi.
Kumpeleka Chenge pekee mahakamani ni sawa na kupunguza matawi machache sana katika mti lakini mzizi mkuu wa ufisadi bado utakuwa palepale.
Katika Tanzania Ufisadi wa kutisha umeanza katika awamu ya tatu enzi ya mlafi mkapa, hivyo ingekuwa ni vyema na busara kumkamata Mkapa, kumnyang'anya kila kitu then tuwakamate mafisadi wengine wote na adhabu yao iwe ni kifo kama wafanyavyo China. Tukinyonga hawa mafisadi itakuwa ni fundisho kwa viongozi wengine wajao, lakini tukiwa kila siku ni maneno na kuunda tume basi ufisadi hautakwisha katika Tanzania.
 
Hii regime ya Mr. Kikwete is by far the most INCOMPETENT administration ever. Haijawahi kutokea. Kwa serikali ya kawaida ile scandal moja ya Radar tu ilikuwa inatosha kuleta mapinduzi (kusafisha) ya nguvu ndani ya serikali. Lakini tunaendelea kuona series ya ubadhirifu na scandals one after the other. Iko wapi ile motto yako ya "Ari mpya nguvu mpya", ziko wapi zile ahadi "tam tam" za kuinua maisha ya watanzania? Kutokana na mambo yaliyojiri siku za karibuni kama vile kutoweka na kutotafutwa kwa governor wa zamani wa BOT, kudanganywa kwamba mamilioni ya EPA yameanza kurudishwa bila kutajwa majina ya wahusika, Richmond gate, na ma uvundo mengine kama hili la A. Chenge nimeamua ku conclude kuwa serikali ya Mh. Kikwete inakumbatia mafisadi kwa kila njia. Na ninafikiri sitakuwa na makosa nikisema kuwa sina imani na raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Tories join Brown in bid to block fraud investigationsConservatives back PM in seeking power to halt BAE-style corruption inquiries

David Hencke, Westminster correspondent The Guardian, Saturday April 12 2008.

Gordon Brown yesterday won Conservative backing for a move that would allow the government to block future criminal investigations such as the corruption case against the arms company BAE Systems.

Despite scathing criticism in the high court on Thursday, the Tories have chosen to support Downing Street in facing down critics who are keen for the BAE investigation to be reopened.

Brown is said by Downing Street to have been totally behind Tony Blair in pressing Robert Wardle, the director of the Serious Fraud Office, to drop the investigation into secret payments by the arms company to Saudi Arabia. In Thursday's judgment, the high court rejected claims that the inquiry had had to be closed down for security reasons because "lives were at risk" if Britain no longer received intelligence on national security from Saudi Arabia.

Officially Downing Street said the initial response to the court judgment would be a matter for the Serious Fraud Office. But a No 10 spokesman said yesterday that it would still be a "hands-on" operation, implying that the prime minister might well block any move for a further investigation.

Such a decision would reignite criticism from some Labour backbenchers and the Liberal Democrats who have been keen for the full investigation. And it would fly in the face of the stinging rebuke from Lord Justice Moses, who with Lord Justice Sullivan attacked the government's interference as unlawful.[/B]


The UK is looking after UK...na sisi tujiangalie wenyewe. Angalia jinsi hawa wanavyoungana kulinda huu uchafu wa BAE, yote hii ni kwa sababu nchi yao itaaibika.
 
Akitokea China na India baada ya bosi wake na Membe kuelekea U.S
 
atajiuzulu siku chache zijazo....
kilangopinda.jpg


na huyo mama ndiye atakeyotoa hoja ya chenge kujiuzuru,hapa anamuuliza Pinda ni lini atoe hoja yake Binafsi.
 
What do we know about him? Na zaidi ya yote why is he still in power? Kwanini aliamua kugombea Ubunge? Je wasifu wake katika sheria unasemaje maana hadi hivi naamini pasipo shaka (baada ya kuona ushahidi fulani ambao utawekwa hapa Jumatatu) Bw. Chenge ni Mtanzania aliyeliangusha Taifa lake sana na kwa hakika historia itamhukumu kwa kuwa mamluki wa kisheria!

Hakuna wakati ambapo Taifa letu limejikuta halina mwelekeo wa kisheria unaoeleweka hususan kwenye Mikataba kama wakati ambapo Bw. Huyu alikuwa "Attorney General".

Hata hivyo kuna kitu ambacho hakiko wazi sana; kuna watu wanaamini kuwa RA ndiye King Maker wa Tanzania. Baada ya yale yaliyotokea Dodoma kama mwezi mmoja na kitu uliopita nimejikuta nikiamini pasipo shaka kuwa the most powerful man in CCM is Andrew Chenge and I dare say don't even think of crossing him (which I intend to, humbly).

Jinsi gani na yeye tutamuangusha? (I have an idea)..
Mwanakijiji,
Motion ya kumng;oa chenge ilishapoangwa siku nyingi ila walikuwa wansubiri ushahidi wa kutosha,madokezo yalishapatikana na kazi imebakia kuwaeleza umma wa watanzania tu kabla unge halijamuangamiza.

suala linalonipa taabu ni kwamba,Je CCM wako tayari kumung'oa Chenge?na Cehenge atakubali kung'oka kama Lowassa bila kuharibu chochote kuhsu wakubwa??
ni moja ya maswali magumu sana kwa sasa ambayo majibu yake inabidi yapatikane mapema
 
Back
Top Bottom