Kwani hujui kuwa usalama ua taifa hawafanyikazi ya taifa ila wanafanya kazi ya kulinda maslahi ya mafisadi, kwanza tunahitaji maelezo yao ya kuhusika na kuchukua hela EPA
Jiulizeni ni kwa nini hakuna hata moja aliyeshitakiwa kutokana na UFISADI unaoendelea Bongo? Walisema ati timu ya taifa ilikuwa ni kichwa cha mwendawazimu, WTZ waliyakubali maneno hayo hadi pale alipokuja kunguru wa kuruka ruka kwa jina Max, Je ni nani hasa kichwa cha mwendawazimu?
Richimonduli ndio imetoka hiyo, EPA na mabillioni yaliyopotea BOT just tinking... ... ... hata walioua nao kama DITO bado wanapeta........
Tatizo letu ni kuwa kila mmoja wetu anaweza kujiita usalama wa taifa na hakuna wa kuverify kama ni kweli au la...mfumo wa hofu tuliojijengea dhidi ya taasisi hiyo ndo unaifanya ifanye inavofanya....na sijui ni nani huwa anawachunguza pia na wao (cheks and balances) au ndo kama hivo wajifanyia wanavofanya bila kuulizwa? CAG anaangalia mahesabu yao?
This is a very interesting subject..najua CIA, FBI, Scotland yard..wote activities zao end of the day wanareport somewer...usalama wetu no one really knws...they work for the interests of CCM not Tanzanians..coz usalama hawajawahi kusema maovu yoyote ya CCM..Lakini upinzani wakiplan campaign tuu..watajaa humo utafikiri kuna mtu anataka kupindua nchi...they really need to re-evaluate their position with the interests of the tanzanian people in mind...
Waheshimiwa wana JF ni wakati muafaka sasa kwa watanzania kubadilika na kutumia taaluma zetu kutokomeza ufisadi huu.
Napenda kupata ushauli wa kisheria kutoka kwa wanasheria wetu, je hapa Chenge hana kesi ya kujibu? na kama ipo ni utalatibu upi utumike kumfikisha mahakamani hata kama ataendelea na wadhifa wake wa uwaziri? Kama mwananchi wa kawaida ninayo haki ya kumfunguria mashita kwa kuhujum uchumi wa nchi?
Naombeni mawazo yetu ili niweze kushugurikia huyu fisadi mkubwa.
Tories join Brown in bid to block fraud investigationsConservatives back PM in seeking power to halt BAE-style corruption inquiries
David Hencke, Westminster correspondent The Guardian, Saturday April 12 2008.
Gordon Brown yesterday won Conservative backing for a move that would allow the government to block future criminal investigations such as the corruption case against the arms company BAE Systems.
Despite scathing criticism in the high court on Thursday, the Tories have chosen to support Downing Street in facing down critics who are keen for the BAE investigation to be reopened.
Brown is said by Downing Street to have been totally behind Tony Blair in pressing Robert Wardle, the director of the Serious Fraud Office, to drop the investigation into secret payments by the arms company to Saudi Arabia. In Thursday's judgment, the high court rejected claims that the inquiry had had to be closed down for security reasons because "lives were at risk" if Britain no longer received intelligence on national security from Saudi Arabia.
Officially Downing Street said the initial response to the court judgment would be a matter for the Serious Fraud Office. But a No 10 spokesman said yesterday that it would still be a "hands-on" operation, implying that the prime minister might well block any move for a further investigation.
Such a decision would reignite criticism from some Labour backbenchers and the Liberal Democrats who have been keen for the full investigation. And it would fly in the face of the stinging rebuke from Lord Justice Moses, who with Lord Justice Sullivan attacked the government's interference as unlawful.[/B]
anarudi leo hii hii
atajiuzulu siku chache zijazo....
Mwanakijiji,What do we know about him? Na zaidi ya yote why is he still in power? Kwanini aliamua kugombea Ubunge? Je wasifu wake katika sheria unasemaje maana hadi hivi naamini pasipo shaka (baada ya kuona ushahidi fulani ambao utawekwa hapa Jumatatu) Bw. Chenge ni Mtanzania aliyeliangusha Taifa lake sana na kwa hakika historia itamhukumu kwa kuwa mamluki wa kisheria!
Hakuna wakati ambapo Taifa letu limejikuta halina mwelekeo wa kisheria unaoeleweka hususan kwenye Mikataba kama wakati ambapo Bw. Huyu alikuwa "Attorney General".
Hata hivyo kuna kitu ambacho hakiko wazi sana; kuna watu wanaamini kuwa RA ndiye King Maker wa Tanzania. Baada ya yale yaliyotokea Dodoma kama mwezi mmoja na kitu uliopita nimejikuta nikiamini pasipo shaka kuwa the most powerful man in CCM is Andrew Chenge and I dare say don't even think of crossing him (which I intend to, humbly).
Jinsi gani na yeye tutamuangusha? (I have an idea)..