The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

What do we know about him? Na zaidi ya yote why is he still in power? Kwanini aliamua kugombea Ubunge? Je wasifu wake katika sheria unasemaje maana hadi hivi naamini pasipo shaka (baada ya kuona ushahidi fulani ambao utawekwa hapa Jumatatu) Bw. Chenge ni Mtanzania aliyeliangusha Taifa lake sana na kwa hakika historia itamhukumu kwa kuwa mamluki wa kisheria!

Hakuna wakati ambapo Taifa letu limejikuta halina mwelekeo wa kisheria unaoeleweka hususan kwenye Mikataba kama wakati ambapo Bw. Huyu alikuwa "Attorney General".

Hata hivyo kuna kitu ambacho hakiko wazi sana; kuna watu wanaamini kuwa RA ndiye King Maker wa Tanzania. Baada ya yale yaliyotokea Dodoma kama mwezi mmoja na kitu uliopita nimejikuta nikiamini pasipo shaka kuwa the most powerful man in CCM is Andrew Chenge and I dare say don't even think of crossing him (which I intend to, humbly).

Jinsi gani na yeye tutamuangusha? (I have an idea)..

..Mwanakijiji, this dude is a smart one but not might one, time is on his side(at least for now)!!Use it wisely Andrew boy
 
huyu jamaa ni corrupt vibaya mno. he's friends with Uncle BEN, anajua dili kibao. miaka kumi amesimamia mikataba yote... IPTL ndio kawaua vibaya... Anashirikiana na IMMA advocates, personally...anahela zakufa mtu. As in millions of dollars.. The warioba commission ilipeleka list ya majina kwa BEN ...jamaa alikuwemo, Uncle BEN did nothing.. At the time jamaa alikuwa ana girl friend manhattan, anamweka kwenye apartment moja very xpensive. Anajua ishu nyingi thats why hakamatiki, hakuwa kambi ya JK.. I dnt know why jamaa anampa uwaziri... maybe coz anataka awekaribu amchunge. SIJUI. thats all the data I have.
 
huyu jamaa ni corrupt vibaya mno. he's friends with Uncle BEN, anajua dili kibao. miaka kumi amesimamia mikataba yote... IPTL ndio kawaua vibaya... Anashirikiana na IMMA advocates, personally...anahela zakufa mtu. As in millions of dollars.. The warioba commission ilipeleka list ya majina kwa BEN ...jamaa alikuwemo, Uncle BEN did nothing.. At the time jamaa alikuwa ana girl friend manhattan, anamweka kwenye apartment moja very xpensive. Anajua ishu nyingi thats why hakamatiki, hakuwa kambi ya JK.. I dnt know why jamaa anampa uwaziri... maybe coz anataka awekaribu amchunge. SIJUI. thats all the data I have.


very right.. na kuna mambo ambayo nadhani lazima ayatengeneze within 24 hours or face exposure of a political and legal fraud that he is!!
 
Kabla ya kufanya hilo ni bora tusubiri at least hadi jumatatu MMK atakapotumwagia ushahidi hapa, hakuna ushahidi wa kutosha hapa so far kumpa hiyo 'status'.

Ushahidi wa kimazingira unatosha kumhukumu. Isitoshe public justice ilishamhukumu pale JK alivyomrudisha kwenye cabinet.

Taifa zima wamelalamikia hilo.

Hakuna asiyeelewa kwamba mikataba yote inayoangamiza taifa sasa aliipa baraka zote akiwa AG. Hapo kila kitu kipo wazi, sijui unataka ushahidi upi tena..
 
Hivi jamani kuna watu waliokuwa na nguvu kama EL and RA? Kama wao wameweza kuporomoka sidhani kama Chenge atamudu kuzuia huu upepe wa mabadiliko unaoikumba nchi yetu kwa sasa. hana muda mrefu. Tusubiri ripoti ya madini na hii ya EPA,labda tutapata entry point.
 
Katika nafasi za muhimu katika taifa letu, hakuna nafasi kubwa na yenye nguvu kama Mwanasheria Mkuu.

Jiulizeni, je Chenge anajua nini kuhusu Mkataba wa Kupata Uhuru wetu, Mkataba wa Muungano Wetu, Uimara gani wa Katiba yetu na Sheria za nchi, halafu ndipo muanze kujiuliza kuhusu Mikataba ya kibiashara, kisisasa, ije uendeshaji wa mahakama na kesi na vyombo vingine vyote kuhusiana na Sheria na katiba.

Alifanya kazi Serikalini tangu nyakati za Nyerere, kapitia majalada na michakato kibao, si ajabu aliwahi kufanya kazi Ikulu kama Pinda (Shu Shu Shu Shu)!

He is powerful and he reminds me of a certain fellow from neighbouring country by name of....
 
_40904709_biwottap203b.jpg
 
Keil,

Rejea matokeo ya uchaguzi wa NEC-CCM Chenge alipata kura nyingi SANA inasemekana kama sio kupanga itifaki yeye ndie alikuwa wa kwanza!

Basi kama hivyo ndivyo the guy could be smarter and more powerful than we may know. Sasa cha kujiuliza, huu ujabali wa kisiasa kautoa wapi ghafla maana kadri tujuavyo huyo kaanza siasa juzi tu hapa? Hapo ndipo wengine husema CCM inawenyewe, na wenyewe hawawezi kuwa akina Kada Mpinzani wala akina Dar es Salaam!
 
Hivi jamani kuna watu waliokuwa na nguvu kama EL and RA? Kama wao wameweza kuporomoka sidhani kama Chenge atamudu kuzuia huu upepe wa mabadiliko unaoikumba nchi yetu kwa sasa. hana muda mrefu. Tusubiri ripoti ya madini na hii ya EPA,labda tutapata entry point.


Hivi kumbe kuna upepo wa mabadiliko unaendelea, nilikuwa sijashtukia hiyo, pole mie!?
 
Basi kama hivyo ndivyo the guy could be smarter and more powerful than we may know. Sasa cha kujiuliza, huu ujabali wa kisiasa kautoa wapi ghafla maana kadri tujuavyo huyo kaanza siasa juzi tu hapa? Hapo ndipo wengine husema CCM inawenyewe, na wenyewe hawawezi kuwa akina Kada Mpinzani wala akina Dar es Salaam!

This guy ana leverage ya nguvu anayoishikilia dhidi ya Kikwete na Mkapa. Anatumia pia uwelewa wake mkubwa wa mambo (kadri watu wanavyosema) kuwashika wenzake hostages. Ni suala la muda na hivi Lowasa ametoswa basi kuna mengi hapa yataanza kuja nje.

kitu kimoja so far kinaoneka ni kuwa Kikwete anamwogopa sana Chenge.
 
Basi kama hivyo ndivyo the guy could be smarter and more powerful than we may know. Sasa cha kujiuliza, huu ujabali wa kisiasa kautoa wapi ghafla maana kadri tujuavyo huyo kaanza siasa juzi tu hapa? Hapo ndipo wengine husema CCM inawenyewe, na wenyewe hawawezi kuwa akina Kada Mpinzani wala akina Dar es Salaam!

Umelenga na kunena bwana Kitila .Ujabali wa huyu bwana upo katika mtandao na JK kama kuna watu hawezi ku mess nao ni huyu jamaa .Maana anaijua mikataba yote kuanzia wa IPTL ambao JK anahusika nao moja kwa moja hadi hii ya juzi .Kumbukeni huyu jamaa alikuwa jengo na JK kwa muda sana hadi waka unda imtandao .Chenge yeye anazijua sheria zao na ndiyo maana bado yumo na humwagiza Mwanyika fanya vile ama hivi .Mwanyika ni boga tu liko pale linachukua maelekezo na sitashangaa akisema hajui mambo ya Richmdond nk .
 
Hivi jamani kuna watu waliokuwa na nguvu kama EL and RA? Kama wao wameweza kuporomoka sidhani kama Chenge atamudu kuzuia huu upepe wa mabadiliko unaoikumba nchi yetu kwa sasa. hana muda mrefu. Tusubiri ripoti ya madini na hii ya EPA,labda tutapata entry point.

Nurujamii:
Usiwe na matumaini yanayozidi kipimo. Maadam tumelambishwa hiyo ripoti moja ya Richmond isikufanye kuwa na imani kuwa ripoti za EPA na madini nazo zitaanikwa kama hiyo ya Bunge.

EPA sasa inafanyiwa kazi kuisafisha; hapo mtakapouliza tena mtaambiwa - kwani hamkuona matokeo? Billioni 50 za mazingaombwe zilirudishwa!

There is clearly a paradigm change in the way things are done with this government, and it is for a very good reason.

One day we may know why!
 
very right.. na kuna mambo ambayo nadhani lazima ayatengeneze within 24 hours or face exposure of a political and legal fraud that he is!!

Mkuu Mwkjj..
hapa umeniacha njia panda kdogo! Are you predicting something... elaborate kama ikiwezana... kama classified.. nitonye ninoe chepeo nianze kuchimba sources
 
ok.. tunasubiri hizo 24hrs kama kitanuka ama..lol... and while the clock ticks watu tunachimba.
 
Hivi mnaweza kuamini kwamba Chenge ni muhudhuriaji na mnyenyekevu mno church for yrs?????????????

"They never say what they do and never do what they say"
 
Hivi mnaweza kuamini kwamba Chenge ni muhudhuriaji na mnyenyekevu mno church for yrs?????????????

"They never say what they do and never do what they say"

Church is a place where sinners meet every Sunday to repent, nothing more nothing less.
 
Back
Top Bottom