The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Wakuu,

Kwa kifupi ATCL haikopesheki wala haiminiki kutokana na financials zake mbovu. Mi navyofahau mpaka mwaka jana walikua na accummulated loss of Tzs. 15 Billion.Tetesi zinasema they make more money kwenye kukodisha majengo kuliko kwenye mauzo ya air tickets.

Sasa hii kampuni haiwezi kuipa hiyo ndege bila kuwa na guarantee ya serikali ya Tanzania maana wanaogopa kuwa ATC wanaweza kushindwa kulipa hizo dola laki 5 kila mwezi. Kama ATCL ingekuwa ina cashflow nzuri na good financials, mibenki kibao ya bongo ingeweza kuwapa hiyo line of credit au Standby Letters of Credit(SBLC) ili kumpa aliyekodisha comfort.

Utamu unakuja pale ambapo BOT ndio wanatakiwa kuissue hiyo guarantee, na sasa hivi Prof. Ndullu anaangalia duka liko vipi maana Don Ballali alikuwa anazitoa kama nyungu hizo guarantees na nyingi zimetolewa kwenye project feki(ie Star Apparrel,Kagera Sugar,Mtibwa Sugar, Mzindakaya Meat Farm etc)

Kikwete anamwogopa Chenge big tyme na usishangae mabilioni yakatumika hapa kama kawa huku Chenge akicheka all the way to the bank!
 
Wakuu,

Kwa kifupi ATCL haikopesheki wala haiminiki kutokana na financials zake mbovu. Mi navyofahau mpaka mwaka jana walikua na accummulated loss of Tzs. 15 Billion.Tetesi zinasema they make more money kwenye kukodisha majengo kuliko kwenye mauzo ya air tickets.

Sasa hii kampuni haiwezi kuipa hiyo ndege bila kuwa na guarantee ya serikali ya Tanzania maana wanaogopa kuwa ATC wanaweza kushindwa kulipa hizo dola laki 5 kila mwezi. Kama ATCL ingekuwa ina cashflow nzuri na good financials, mibenki kibao ya bongo ingeweza kuwapa hiyo line of credit au Standby Letters of Credit(SBLC) ili kumpa aliyekodisha comfort.

Utamu unakuja pale ambapo BOT ndio wanatakiwa kuissue hiyo guarantee, na sasa hivi Prof. Ndullu anaangalia duka liko vipi maana Don Ballali alikuwa anazitoa kama nyungu hizo guarantees na nyingi zimetolewa kwenye project feki(ie Star Apparrel,Kagera Sugar,Mtibwa Sugar, Mzindakaya Meat Farm etc)

Sasa kwa nini tunamlaumu Chenge kwa kukataa kutoa garantii kwenye mradi bomu?
 
Fundi Mchundo, the buck stop with the Minister. Kama waliweza kuingilia suala la mahujaji na kuhakikisha kuwa ATC haingii kwenye aibu nina uhakika kama wangetaka wangeweza kuzuia mkataba huu mwingine bomu.

Chenge ndiye Waziri mwenye dhamana ya miundo mbinu na ATC iko chini ya Wizara yake hivyo ni yeye anayewajibika kuhakikisha kuwa kama Mkataba wa kununua ndege hii hauna maslahi (sijui kama anajua kitu kinachoitwa maslahi ya Taifa kwenye mikataba) alikuwa na kila sababu ya kuipinga ATC kukodisha dege hili na kusubiri hiyo tuliyoorder toka Airbus kwenyewe.

Ni Chenge ambaye ndiyo waziri wa Miundo Mbinu anasimamia utekelezaji wa sera za CCM kwenye wizara yake na kuhakikisha kuwa Ilani ya CCM ya uchaguzi inatekelezwa. Kama siyo sera ya CCM kukodisha dege hili kwa kiasi hiki na kwa mtindo huu ni kwanini tunaendelea kuilipia?

Chenge akitaka ndege ije hata kesho angehakikisha guarantee ya serikali inatolewa mara moja kuliko kuandikiwa barua kama vile Tanzania haina watu wenye akili. Hivyo umeisoma barua yenyewe inavyosema.

Kama mtu mmoja alivyouliza hapo juu inawezekana vipi kwenda kutia sahihi mkataba wa kununua dege hili wakati serikali haijawahakikishia udhamini wake?
 
Wauze tuu hiyo kampuni ya ATCL kama walivyofanya ya Bia,haina faida yeyote zaidi ya kutia hasara walipa kodi na kutuletea usafiri mbovu na hatari.
 
Wauze tuu hiyo kampuni ya ATCL kama walivyofanya ya Bia,haina faida yeyote zaidi ya kutia hasara walipa kodi na kutuletea usafiri mbovu na hatari.


mkuu hapa tuko wote. Kwa nini ATC isivunjwe tu??

Tuna kampuni kama Precision Air ambazo zinafanya vizuri tu na hapa labda tumuombe yule mtaalamu waziri Ngeleja mawazo ili wapeleke muswada wa kuleta investors tsk tsk tsk
 
mkuu hapa tuko wote. Kwa nini ATC isivunjwe tu??

Tuna kampuni kama Precision Air ambazo zinafanya vizuri tu na hapa labda tumuombe yule mtaalamu waziri Ngeleja mawazo ili wapeleke muswada wa kuleta investors tsk tsk tsk

...hopeful na kule kwenye umeme tutakubaliana hata kama sio 100%!
 
Pole pole mmeanza kuzungumzia mambo ya Carrott, chapati, na samaki wa kupwaza.. halafu mtamsahu Chenge!
 
Kama mtu mmoja alivyouliza hapo juu inawezekana vipi kwenda kutia sahihi mkataba wa kununua dege hili wakati serikali haijawahakikishia udhamini wake?

Ni mimi niliuliza hili swali. Tunauhakika gani kuwa ATC walimshirikisha waziri katika suala hili? Hili ni shirika linalotakiwa kujiendesha kibiashara, sasa kwa nini kila wakati aangaliwe waziri?
 
degeletu.JPG

dege "lenu" likijiandaa kupigwa rangi na kupambwa liwape ujiko waTanzania..!
 
Hiyo barua yao ilitoa deadline, Je tumemeet? au ndo na hilo dege bovu tumelikosa licha ya gharama zilizo tumika. Deadline ilikuwa ni J3 Machi 10, 2008 saa sita usiku (muda wa Uingereza).
 
Hapa mimi sijakupata vizuri,who is Chenge kiasi cha kumfanya Rais wa nchi amwogope, ni kwamba kuna siri kali hapo? Ni siri gani hiyo inayoyatisha mamlaka makubwa kabisa ndani ya nchi?

Kikwete anamwogopa Chenge big tyme na usishangae mabilioni yakatumika hapa kama kawa huku Chenge akicheka all the way to the bank!
 
Chenge alikuwa AG anayejua madudu yote ya mikataba yote, mingine hata huyo Kikwete mwenyewe yuko implicated.Kwa hiyo ana ma insurance policy kibao kwa mi document aliyoiona na mingine ana copies zake.

Wakijifanya kumminya ataimba kama Canarie katika Mob.
 
Hapa mimi sijakupata vizuri,who is Chenge kiasi cha kumfanya Rais wa nchi amwogope, ni kwamba kuna siri kali hapo? Ni siri gani hiyo inayoyatisha mamlaka makubwa kabisa ndani ya nchi?

Nadhani Chenge anajua scandal nyingi za mkuu wa kaya, IPTL, RichMonduli na hata za yule aliyetangaza kustaafu siasa lakini nasikia naye atakuwa Butiama sijui kule si kwenye siasa....
 
Kwa hiyo mnataka kusema kuwa yawezekana huyu bwana siye mwenye bomu lakini yawezekana ndiyo mwenye pin?
 
Kwa hiyo mnataka kusema kuwa yawezekana huyu bwana siye mwenye bomu lakini yawezekana ndiyo mwenye pin?

JK lazima amkumbatie Chenge na walikuwa na mission kumuomba agombee Ubunge na sasa kampa Ukuu .Chenge ni hatari kwa Taifa ila ndiyo haguswi .Chenge akiwa AG aliwahi kuendesha gari kwenda Arusha akiwa hana namba za usajili .Polisi wakamkamata akiwa na dereva bila ya kujua basi muulize yule polisi kilicho mpata .Hata kazi nadhani alipoteza wacha kuchapwa makofisi na Chenge na kuulizwa kama anamjua Chenge ambaye ni AG .
 
Back
Top Bottom