The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

tina usimuachie akala pesa za richmond peke yake. kampe maraha, mfaidi nyote!
 
kaja kumliwaza mshikaji wake chenge!!!!!
kwiii kwiiii
yeye kidogo ni expert kwenye ufisadi more than his friend so .......
 
Jamani, wakati tunaambiwa Chenge amekuja London kwa ajili "Mambo yake" na SFO, Lowassa ana nini London? ama ndio amekuja kumsajilia mshikaji wake (Chenge)? au ndio katika kupumua? Au .......... please help, niko tayari kumpa raha na kumtembeza japo wanasema "RAHA JIPE MWENYEWE" kama kweli amekuja kupumzika au kupumzishwa

Jamani nimemuona Chenge jmosi usiku pale G8(Bar) kinondoni, wakati mi naingia (kwenye saa tano usiku) yeye ndo alikuwa anaondoka na kumwana mmoja (sikuweza kujua kama ndo huyo mkewe mpya au vp) kamwaga ofa pale halafu akaanza, UK kaja lini, au hii post imetumwa hapa lini.... nisije nikawa nyuma na wakati
 
Ni tina yuleyule anayesema hatoi uloda sasa unataka kumpa maraha gani jamaa? tell us pleaseeeee!!!!!!!!!!!!,
 
Tina Ulikuwa Wapi Mdogo Wangu ?

Lowasa Amekuja Kwa Ajili Ya Kukubaliana Na Kampuni Moja Ambayo Ina Tawi Malaysia Katika Kampeni Yao Ya Kupata Mradi Wa Kutengeneza Vitambulisho Vya Taifa , Katika Kampuni Hiyo Anafanya Kazi Ndugu Mmoja Wake Anayeitwa .... Mollel .
 
huyu kaja kukutana na mmalaysia kuhusu biashara ya mvua za kutengeneza, mwelezeni mlioko huko, mwaka huu ni mvua kebekebe, asiwaze biashara ya mvua zake za kichawi, kuhusu dili la vitambulisho vya taifa naona invitation to bid ndo iko magazetini huku, labda bado anaota....habari ndo hiii....nahisi rich...mond, oh, vitambulisho...oh...nani hii.....dowans, hapana sihusiki, habari ndo hii
 
Jamani, wakati tunaambiwa Chenge amekuja London kwa ajili "Mambo yake" na SFO, Lowassa ana nini London? ama ndio amekuja kumsajilia mshikaji wake (Chenge)? au ndio katika kupumua? Au .......... please help, niko tayari kumpa raha na kumtembeza japo wanasema "RAHA JIPE MWENYEWE" kama kweli amekuja kupumzika au kupumzishwa

Tina,

Wengine mbona hutaki kutupa hizo raha? Tutafunga safari kuja London kwi kwi kwi!!!

Ukisoma jumbe za FMES kuna thread tayari alitupatia data kwamba Lowassa naye kaja kuhojiwa kwenye suala la rada ingawaje yeye hayuko chini ya ulinzi kama Chenge.

Kuna uwezekano na yeye alipewa visenti, yule Mhindi ameanza kuongea na kuwataja waliokula nao, huenda Lowassa ni mmoja wapo.
 
Tina Ulikuwa Wapi Mdogo Wangu ?

Lowasa Amekuja Kwa Ajili Ya Kukubaliana Na Kampuni Moja Ambayo Ina Tawi Malaysia Katika Kampeni Yao Ya Kupata Mradi Wa Kutengeneza Vitambulisho Vya Taifa , Katika Kampuni Hiyo Anafanya Kazi Ndugu Mmoja Wake Anayeitwa .... Mollel .



Duh,na wewe kwa kujipendekeza? Kujikomba koote kwa polisi sasa unamvamia dada wa watu.Mdogo wako Tena? Ebo!
 
Kweli huyu Tina na haya maraha anayozungumzia kutaka kumpa Lowassa pamoja na hiyo picha yake ni mtego mtupu!
Sasa Tina kama wewe ni mrembo hivyo halafu Lowassa asome hii thread basi ataogopa warembo wote atakaokutana nao huko ma UK.
Ataogopa asije tegwa kwasababu bado ana mitegi mingo sana tu inayomkabili.
 
Tina Wangu umekimbilia wapi mdogo wangu mbona unaanzisha mada halafu unakimbia ? Hivi kumbe siku hizi unaishi Uingereza Nilifikiri bado uko Kwa bush
 
Tina,

Ukisoma jumbe za FMES kuna thread tayari alitupatia data kwamba Lowassa naye kaja kuhojiwa kwenye suala la rada ingawaje yeye hayuko chini ya ulinzi kama Chenge.

Kuna uwezekano na yeye alipewa visenti, yule Mhindi ameanza kuongea na kuwataja waliokula nao, huenda Lowassa ni mmoja wapo.

Please... thread aliyotoa FMES ni ipi?

And Please,

Keep us informed kuhusu EL

Kama walikutana na Tina .. I think that z good for all of them..

Most important,

EL ana kuwa related vipi na issue yote?

Na inamuweka wapi?
 
anzieni hapa... Somaiya ni mshirika wa Lowassa Vodacom...Vithlan na Somaiya ni marafiki wa tangu zamani....
 
Jamani, wakati tunaambiwa Chenge amekuja London kwa ajili "Mambo yake" na SFO, Lowassa ana nini London? ama ndio amekuja kumsajilia mshikaji wake (Chenge)? au ndio katika kupumua? Au .......... please help, niko tayari kumpa raha na kumtembeza japo wanasema "RAHA JIPE MWENYEWE" kama kweli amekuja kupumzika au kupumzishwa

Chenge na lowassa wote wafugaji,wapo huko kutafuta soko la Ng`ombe london!kwa mujibu wa alfred lowassa bosi wetu hapa alphatel anasema baba yake ndio mchongo ulio mpeleka huko!
 
Jamani, wakati tunaambiwa Chenge amekuja London kwa ajili "Mambo yake" na SFO, Lowassa ana nini London? ama ndio amekuja kumsajilia mshikaji wake (Chenge)? au ndio katika kupumua? Au .......... please help, niko tayari kumpa raha na kumtembeza japo wanasema "RAHA JIPE MWENYEWE" kama kweli amekuja kupumzika au kupumzishwa
TINA MWANANGU BE CEREFUL NA HIV HAO WATU WENGI WAO, WAMESHA UAWA NDIYO MAANA UNAONA VURUGU ZOTE HIZO.
LOVE DAUGHTER.
DADY.
 
Wanaenda kupumzika maana huku nyumbani hakukaliki
 
Ukisoma jumbe za FMES kuna thread tayari alitupatia data kwamba Lowassa naye kaja kuhojiwa kwenye suala la rada ingawaje yeye hayuko chini ya ulinzi kama Chenge.

Ukienda kwenye topic ya Chenge hayawi hayawi yamekua, nilisema toka last week kuwa Chenge ndiye aliyetangulia huko London, baadaye Rostam na Karamagi, walifuatia, na kisha Lowassa naye akatinga huko London kwenye the same ishu nijuavyo mimi, isipokuwa kuna chombo kimojakilinionya kuacha kuweka dataz zaidi on the ishu.
 
Hebu tuwekeni maana hapa ni mahala pakuongea wazi hivi ni kweli Chenge yupo hapa London akiwa chini ya ulinzi?
 
Back
Top Bottom