Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,093
- 43,281
mwanaziaya angalia PM yako...
Mkuu Icadun,
Vipi kuhusu address hii:
Jackson Lewis LLP (216) 591-0404 29225 Chagrin Blvd # 275, Cleveland, OH
Je ni ya zamani au alihama?
Nimeipata katika directory ya mawakili wa US katika link ifuatayo:
http://www.attorneyhelp.org/oh_beachwood_attorneys.html
Si unajua tena, tuna-doublecheck!
Fanya reverse look up ya phone number itakupa some helpful info.
JF Senior Expert Member Join Date: 2007
Chenge
Hii taarifa imenifanya nisome reports zako tu ili angalau nimalize mapema maana inatia hamasa kusikia hilo. Nafurahi sana kuwa member wa JF nafaidi vitu hata kabla havijawa public.
yote afanyayo muungwana ni usanii uliotukuka.
Hakuna mali hata moja iliyoshikwa wala hakuna fedha hata sumni iliyorudishwa
Kinachoudhi ni kwamba, uchunguzi wa swala la Chenge umechwa mikononi mwa SFO kama vilke sisi hatuna chombo kama hicho. Nilitegemea kuwa wakati SFO wanafanya uchunguzi wao, na sisi (kupitia TAKUKURU) tungefanya uchunguzi wetu wa kina kuhusiana na jinsi alivyoweza kupata pesa nyingi hivyo na kuzihamisha kutoka nje ya nchi bila kujulikana. Vinginevyo mikataba yote iliyosimamiwa na Chenge kwa niaba ya Taifa letu ichunguzwe kwa kina.
Ajabu kubwa ni kwamba viongozi wote kasoro huyo Lowassa wote wamejiuzuru kutokana na uchunguzi uliotoka nje kama hiyo EPA na sasa hivi hii Radar, lakini zote hizi zilionekana halali chini ya vyombo vyetu vya uchunguzi...
Hii bado kweli inatupa matumaini na vyombo vyetu?...Halka fu basi viongozi hao hao waliofanya makosa mwanzo kutoa taarifa za Uongo bado wamekamata nyadhifa zao kama vile hakuna kibaya kilichotokea.. nakoma na TZ...
Mtandano ama kweli Mafia hatari sana...
According to the dataz ni kwamba sasa hata Lowassa, naye ameingizwa huko London kwa siri, between the last three days..........!
Tunaendelea kuifuatilia kwa karibu stay tuned.....more to come!