Hadithi nzuri sana kwa kweli.
Kwahiyo hizi ni 'dataz' kwavile wewe umesema? Mi logic yangu ya kitoto inasema mpaka uweke picha umeshikilia simu, au uweke picha ya jamaa hapa. Au weka phone bill (hata ya kufoji poa tu).
Mkuu;
Namba: (216) 371-7600
Jina: J. Lewis Madorsky,
Mzigo waku dis-prove umehamia kwako.
Nzokanhyilu, siwezi ku risk credibilty yangu JF kwa kutunga hadithi. Ili iweje? Nimesema ukweli. Lakini kwa sababu wewe ndio una shuku nilicho share, nimeshahamisha the burden of disproof kuja kwako. Mtwangie jamaa at that contact, sema nae mwanangu.
(you need guts though, jamaa lina mi confidence na litakuwekea kibesi, linadai ndio peke yake Mmarekani anaruhusiwa ku practice in the Commonwealth. Japo nam doubt kwa sababu mchizi hata website hana.)
Anyway, good job on vetting, albeit you could have done a better one by using authentic logic.
Hata mimi nawaambia Waandishi wa habari kila siku kwamba usiseme "confirmed sources told TanzaniaDaima that and this, au MwanaHalisi has revealed..." halafu ukadhania nitakuamini kwa sababu umesema. Kazi yangu kutwa kubishana na ma Editor kwenye ma email ya maoni ya wasomaji, (na siongelei magazeti ya Bongo peke yake). Lakini nawauliza kwa sense kuliko hiyo ya kudai picha. Kwa hiyo, inapokuja kwenye vetting ya "dataz," huko unakoelekea ndiko nilikoanzia, na stage uliyofikia sasa hivi mimi nili i bypass, it wasn't necessary!
Sababu nilimpigia simu lawyer wa Chenge, nilikuwa na maswali niliyotaka kuelewa mimi mwenyewe kama huyu Mmarekani kasajiliwa Bongo. Nilipopata jibu nikaridhika mwenyewe. Nika share na Pundit, yeye akanambia ni share hizo 'dataz' hapa, nikamwambia inaweza kuwa counter productive kwa sababu yule Lawyer akiwa inundated na misimu ataacha kutoa "dataz" siku nyingine. Lakini mwana JF Mbogela alivyo opine kuhusu uwezekano wa link ya Mkono na lawyer wa Chenge nikaona jamaa yuko prescient ile mbaya, na nikakubaliana nae kwa kumpa sababu za experience yangu. Kwa nini utunge hadithi kumwonyesha mtu kwamba unakubaliana nae? It is an oxymoron.
Kwa hiyo,
1) sikuwa nataka brownie points, ningeweza kufungua thread baada ya kuongea na lawyer wa Chenge
2) Unlike MwanaHALISI, TanzaniaDAIMA, na THISDAY nina corroboration ya mtu niliye share nae stori - Pundit
3)Nilimtetea sana Mkono kwenye dili la BOT (naamini aliye pewa contract kubwa kupita kiasi hawezi kukataa, kosa ni la walio mpa contract). Kwa hiyo siko biased against or in favor of Mkono, siwezi kumtungia hadithi. Hapa naongelea uhusiano wake na Chenge tu.
4) Namba ya lawyer wa Chenge ilikuwa mitandaoni, kigumu nini kumpigia simu kulonga nae?
Wengine tunaongea na ma prosecutor na ma lawyer kenye kesi za speeding ticket all the time (kwa wasio USA, uki vunja sheria barabarani una kesi ya kujibu -ticket). Tunapigiwa simu na ma lawyers wa Debt Collectors all the time (wanao daiwa mikopo wanaweza kushitakiwa na wakusanya madeni). Haikuwa kitu hatari saaana au kigumu saaana kwa mimi kumpigia simu huyu lawyer, just out of curiosity, kumtekenya nimsikie ana nyimbo gani.
Ahsante mtu wangu.