Ujumbe ni kuwa Watanzania hawaipendi ccm wala jiweTulizeni munkar, leo mmepokea kutoka CCM ndio mnataka kwenda mahakamani afu wengine wanasema eti kapewa database
acheni utani, hizi meseji za matangazo zipo nyingi sana tu tunatumiwa za makampuni mbalimbali kila uchwao wakitusumbua tu.
Wapiga dili lazima mtaona ni laana.Kwa wewe, kwa wengine ni laana
Wakintumia ntaweka screenshot hapa
Kwani hilo ni tangazo la biashara?Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Kwani advertisement lazima iwe biasharaWewe ndio uache ujinga, Nani kakwambia sijui hzo ndio maana Sheria nazo hubadilika maana hupitwa na wakati, Toka lini Mambo ya wanasiasa ikawa advertisement. Mfyuuu
Kwani wewe huoni matangazo ya bikoNdio nauliza nna kampuni yangu naweza kwenda tigo niwalipe wanirushie matangazo kwa sms kwa wateja wao woootee?
Na kama ni yes, si ingekua fujo kwenye simu zetu zina jam kwa matangazo lukuki.
Tutawachapa kisawasawa nyie chadema trh28Kifupi ni itoshe kusema ya kuwa jamaa hawakujiandaa kabisa na ushindani hesabu zao zimekuwa ni tofauti kabisa na aliewashaurimambo yamekuwa mazito mno
Wale ni matapeli na huwa wanasakwa na polisi unataka kutuambia na Magufuli naye tapeli.Kwani wale wanaotuma zile jumbe kama "Ile pesa itume kwenye namba hii" nao hupewa namba na hao TCRA pamoja na makampuni ya simu? Ujumbe upi ni bora?
Umewahi hata kuingia mahakamani au ndio porojo za jfHawa machoko wakinitumia SMS ya hivi nawashitaki
Hutaki sawa lakini by time being utatumiwa wewe na familia yakoNdio ctaki huo upumbavu wa wanasiasa bila consent yangu, ctaki kabisa that's simple hayo maelezo mengine ni useless kwangu hayana nafasi.
We kama nani waniulizaUmewahi hata kuingia mahakamani au ndio porojo za jf
Kama mchangangiaji huru ninapenda haki Kama mgombea wa mboweWe kama nani waniuliza
Mzee inaruhusu promotions info za kampuni za simu, tena ukitaka usiwe unazipataunaweza.Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Basi tuliza mshonoKama mchangangiaji huru ninapenda haki Kama mgombea wa mbowe
Kama yeye kanitumia sms bila ridhaa yangu na mie namtumia kwamba sitaki kupokea "Bulk SMS" kutoka kwa mtu yeyote....Mahakama ndio itaamua nani mrenda nani bamia.Katume sms moja tu ,afu ujue tofaut ya bamia na mrenda
We kiumbe unakaliaKama mchangangiaji huru ninapenda haki Kama mgombea wa mbowe
Bado sijaipata ntaenda mahakaman