KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
"...Unyenyekevu na Heshima..." sifa hizi zilianza lini, na kikomo chake kitakuwa baada ya uchaguzi?
Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Natamani mnaopinga wote muhame nchi muende mkaishi Congo au muende Rwanda mkaishi huko kwa muda fulani.
Ukiona hivyo jua maji yamefika shingoni!
Ni vibaraka wa wabaya wetu, ni watumikia mabeberu, tunataka tung’oe vibaraka wote tubaki na wapinzani wazalendo. Mgekuwa ni watu kutoa hoja tungefurahi ila hampo hivyo ndiyo maana ni muhimu kuwateketeza enyi vibaraka kwa maslahi mapana ya Tanzania.Kwa nini wanaopinga wahame wakati hii ni nchi yetu wote na hakuna mwenye hatimiliki nayo?
Read terms and conditions, read privacy policy otherwise, tupa hio line tengeza mtandao wako. Usituekee kelele. Yaani unatumia huduma na ishasema itagawa namba yako afu unalia hutaki namba yako igaiwe LOL!Ndio ctaki huo upumbavu wa wanasiasa bila consent yangu, ctaki kabisa that's simple hayo maelezo mengine ni useless kwangu hayana nafasi.
Ninakubaliana nawe juu ya hili.Huwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Wapo wanaoipenda CCM. Besides, kila mtu ana haki ya kuchagua chama akipendacho.Ujumbe ni kuwa Watanzania hawaipendi ccm wala jiwe
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Eeenh Heeee. LOOoo.Ni vibaraka wa wabaya wetu, ni watumikia mabeberu, tunataka tung’oe vibaraka wote tubaki na wapinzani wazalendo. Mgekuwa ni watu kutoa hoja tungefurahi ila hampo hivyo ndiyo maana ni muhimu kuwateketeza enyi vibaraka kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Wewe ndio una kelele hutaki kuelewa siku zote haya makapuni hawakutumii jambo mojakwa moja mpaka wewe ukubaliane iweje wanitumie wanasiasa. Shida sio kusoma, shida why wa force kwa watu, hebu kuwa muelewa, Kwanza usinichoshe Mimi, mfyuuuuuRead terms and conditions, read privacy policy otherwise, tupa hio line tengeza mtandao wako. Usituekee kelele. Yaani unatumia huduma na ishasema itagawa namba yako afu unalia hutaki namba yako igaiwe LOL!
Kwa Nini usiende weweHuu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Ndio ni biashara most hutuma labda chagua wimbo huu kujiunga bonyeza number flani ni hiyari sio hii kutumiana Mambo ya siasa by force, wengine hatutaki kabisa hayo mamboKwani advertisement lazima iwe biashara
Kwani kwenye kampeni za wazi si hata wanachama was Chadema huwa wanamsikia magu akihutubiaHuko ni kuingilia uhuru wa watumiaji wa simu, wanajua kabisa wateja wao watakuwa na itikadi tofauti kwanini watume meseji za kumpigia kampeni mgombea wa CCM?
Kuna wajinga watasema ni haki yao kwasababu CCM wamelipia, watambue CCM wamewalipa hao wenye makampuni ya simu hawajawalipa watumiaji, haya mambo ya kujipendekeza kwa CCM yakome, wanastahili kushtakiwa.
Usipooga utafulia nguoHa ha ha ...Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaoga....
Ndio staki huo usenge kabisaHutaki sawa lakini by time being utatumiwa wewe na familia yako
Wajinga hao wanajua kuongea tuHuwa mnasoma Terms & Conditions za hiyo mitandao kabla ya kujiunga? Vipi privacy policy huwa mnasoma pia? Kila kitu wameandika kwenye zile karatasi za simcard na kwenye websites zao. Kitendo cha kununua simcard zao na ku-activate maana yake ume-AGREE terms na conditions zao so umekubaliana na meseji zozote za promo watakazokutumia.
NB: Kabla haujaenda kuwashtaki soma vigezo na masharti ya mtandao husika, Usije ukageuziwa kibao ukafungwa wewe badala ya kampuni.
Ni vibaraka wa wabaya wetu, ni watumikia mabeberu, tunataka tung’oe vibaraka wote tubaki na wapinzani wazalendo. Mgekuwa ni watu kutoa hoja tungefurahi ila hampo hivyo ndiyo maana ni muhimu kuwateketeza enyi vibaraka kwa maslahi mapana ya Tanzania.