Acceptable
Senior Member
- Oct 7, 2020
- 153
- 302
Tatizo la hii nchi viongozi huona wananchi wote hawana akili Ila wao tu ndyo wanaaakili. Wanajua wakiweka serial numbers mtagundua mapema kama Walimu hawakufika 13000."Everything happen for a reason" nilivoona hakuna serial number nilijiuliza sana(kwamba excel ya hao jamaa ilishindwa kabisa kuweka number jibu ni hapana haikushindwa then why?). Nikajipa kaz ya kuhesabu idadi kwa baadhi ya pages,wastani kila page ni kama watu 40,document ina page 196...
Wakiweka vyuo walivyosoma itakuwa rahisi kuwagundua kama wamepika majina. Kuhusu mtu kumaliza form four 2019 na kuajiriwa 2020 kama qualified mwalimu, hii najua Elon Musk anaweza kuielezea inawezekanaje????