Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?

maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo

Hivi yule dada wa arusha aliyewazengua watu kwa cha moto ilikuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?

Kabla ya kumpa taarifa za wewe kutaka kuoa inabidi uende kwanza kunakohucka ukatoe taarifa hata za uongo ili anyang'anywe kwanza
 
Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?

maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo

sheria yoyote ambayo inabagua jinsia inapingana na katiba ambayo imeprovide for equality kwa wote,kama mwanamke anavigezo vya kumiliki silaha anayohaki ya kumiliki kama mwanaume.
 
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?

Na wakati anaifanyia usafi anaimba wimbo wa Dr Remmy(RIP),'Kifooo kifoo kifo hakina uruma'.
 
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?

Shem nimecheka kweli kwa sauti... Afu hii nilikuwa siifahamu aisee, nitaitafuta manake kuna watu wababore kweli, ukiwa nayo afu siku moja ukawaonesha lazima heshima iwepo aisee....
 
Ni haki yao.
 

Attachments

  • 1413748507181.jpg
    1413748507181.jpg
    64.3 KB · Views: 131
Jamani kwa mnaojua hii kitu hebu nipeni ufahamu, hivi sheria ya kumiliki silaha ya moto inaruhusu pia hata kwa wanawake kumiliki?

maana jana kuna mwanamke mmoja nimemuona na bastola wakat sio askari polisi, polisi jamii, askar magereza wala JWTZ na hata kwenye ulinzi shirikishi hayumo

Katiba mpya ni 50/50 wataruhusiwa kama wewe mwanamme
 
Back
Top Bottom