Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

wanazo mkuu na ukitaka kuhakiki mkeo/ mchumba/ mchepuko anayo we tembea na rafiki yake wa karibu alafu urudi kutupa majibu.....hehehehe:A S wink:
 
Kiudhati haswa hawa binadamu hawakustahili !
Piga picha mkeo anamiliki cha-moto then una mpango wa kuoa mke wa pili , siku chache kabla hujaoa unaona mara kaitoa anaifanyia usafi ! Utaoa ?

kweli hii Judgement
 
Last edited by a moderator:
Kuuzwa zinauzwa tanganyika arms zipo kila.aina na taratibu utapewa pale au kwa akiba lazma upate kibali cha kumilika unaanzia serikali za mitaa unaomba barua ya kuomba kumiliki silaha unaenda polisi na wao watakupa vigezo vyao unafata

ni mlolongo kiasi mrefu kwa kufata sheria lakin kama una rupia unapenyeza tu utapewa kila kitu
 
Uko uzi humu juu ya hii kitu. Search utapata mengi sana maoni.

1. Bunduki ni hatari kuliko maelezo, jiandae kwa hilo kwanza kabla ya kuamua kuwa nayo!!

2. Hata kama una hela kama BoT sisitiza kufuata taratibu zote zilizowekwa juu ya mchakato la sivyo utajuta hata kuwa na hizo pesa!!!

Ukiamua kumiliki bunduki basi umeamua kuwa na mume mwenza/mke wa pili hapo ndani!!! Anakuja kubadili mfumo wako wa maisha!!!
 
Uko uzi humu juu ya hii kitu. Search utapata mengi sana maoni.
1. Bunduki ni hatati kuliko maelezo, jiandae kwa hilo kwanza kabla ya kuamua kuwa nayo!!
2. Hata kama una hela kama BoT sisitiza kufuata taratibu zote zilizowekwa juu ya mchakato la sivyo utajuta hata kuwa na hizo pesa!!!

Ukiamua kumiliki bunduki basi umeamua kuwa na mume
mwenza/mke wa pili hapo ndani!!!
Anakuja kubadili mfumo wako wa maisha!!!


Why? ni hatari mno?
why lazima iwe ya halali?
why ni mume mwenza?
 
Vijana watanzania bwana wakikamata milioni 10,Brevis na vyumba viwili mavulunza na wao wanataka kumiliki bunduki,ni shida kweli.....Kama hauna matatizo na mtu,sio dhulumati haina haja ya kuwa na bastola.
 
mkuu kwani kwanini unaitaji bunduki

huyu hilo swali atalikuta polisi central, akishindwa kujielezea lazima awe katika target za polisi

ila kweli kwamba silaha ni hatari sana tofauti na wengi wanavyofikiri, huwezi kumwambia hata mkeo akuchukulie ndani pia ni hatari kwa uhuru wako unaweza kwenda jela hivihivi kama taratibu zitafuatwa inavyotakiwa.
 
Back
Top Bottom