Napita huku na kule mitaani.... Sioni Corona kwa kweli. Sioni kabisa. Nmezunguka sana sioni Corona popote pale. Na hata zile Taarifa za kutishana hazipo.

Mimi nmehudhuria Makusanyiko mengi sana Tanzania. Mengi sana. Bila Barakoa. Katika hili Magufuli was Right. Tuweke Unafiki pembeni na chuki. Rais alikataa Kuwepo Corona na aliongoza kwa vitendo. Hili apongezwe.
Kitu ambacho kinashangaza ni kwamba hiyo mikusanyiko yote tunayoifanya haileti athari ila sie huwa tunahofia corona kutoka nchi za wenzetu tu, mara South Africa mara India na sasa Uganda ila sisi wenyewe hata tukusanyane vp hutoona ongezeko la wagonjwa huko hospitali wenye kuhitaji mashine za kusaidia kupumua.
 
Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.

Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Lissu na Mbowe wameingiaje hapa?Huyu aliyejifukiza na mumewe mbona husemi
 
Umesema kweli. Corona hakuna. Hata watu waliofariki na wanaofariki wanakufa kwa hofu tu. Hata Magufuli alikufa kwa hofu tu kama alivyokuwa anasema mwenyewe, corona hakuna ila ni hofu tu.
Hivi kwanini hamumtaji hata kwa bahati mbaya Maalim seif mnapokuwa mnataja waliyokufa na corona? ndio tuseme mmemsahau kiasi hicho au mmesahau kwamba nae kafa na corona?
 
Maisha yanaenda kasi sana...

Huyu si ndio waziri alikuwa mstari wa mbele kwenye ishu za nyungu hadi akawa anatengeneza video clips na mumewe...

Sasa hivi kahamia tena kwenye barakoa 😊
Nadhani wakati ule alikuwa anafanya kile anachokiamini ila sasa anafanya kile atakacho Boss wake mpya.
 
Dear my President and CiC, naomba uachane na hizi covid politics. Siyo nzuri kwa taifa na kwako pia. Zitaleta unnecessary social unrest kama tukianza kuzishadidia ili tupewe pesa. JPM na upuuzi wake wote, alifanya maamuzi sahihi kwenye corona. Leo tunaweza hata kuendesha nchi kwa sababu ya uamuzi wake. Angalia mambo nje ya box. Covid ni suala la usalama wa nchi. All the best.
@fatuma-zehra.. umeongea vzr mahesabu yapigwa kwenye Ile b.usd ila hawajajua society ina interest zipi... Je c19 kwetu ni tatzo kweli??

Kunamdau hum kasema ukiwatima wanachosema(body language) unaona vitu 2 tofautii kabisa..
 
@fatuma-zehra.. umeongea vzr mahesabu yapigwa kwenye Ile b.usd ila hawajajua society ina interest zipi... Je c19 kwetu ni tatzo kweli??

Kunamdau hum kasema ukiwatima wanachosema(body language) unaona vitu 2 tofautii kabisa..
Kweli kaka. Tutaletewa social unrest ambayo inaweza ikaleta hata maandamano. Maana huwa inaanza hivi hivi halafu mwishowe lockdown inakuja. Katika hilo, mama aangalie national interest.
 
Kweli kaka. Tutaletewa social unrest ambayo inaweza ikaleta hata maandamano. Maana huwa inaanza hivi hivi halafu mwishowe lockdown inakuja. Katika hilo, mama aangalie national interest.
Kunamdau nmemuuliza maswal hapa chini hajanijib

Hv mikusanyiko isiyo yalazima ni yap? Na hyo c.19 ipo wap? Na matumiz sahihi ya barakoa ni yapi... Na zipi zenye ubora?? Je mbinu za mwanzoni zilizotufikisha happy zimefell au tunaintroduce wazojipya??.
 
Back
Top Bottom