Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.

Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Hata ukinuna mwendakuzimu kafaaaaaa
 
Alikufa akiwa na vorona lakini si lazima kuwa corona ndiyo iliyomuua!! Mbona wengi tu wana corona lakini haiwafanyi kitu. Tatizo Maalim Seif alielezea tatizo lake moja tu mengine aliyokuwa nayo akayafanya siri ili kutupotosha!! Ina maana katika maisha yake aliwahj kuugua cotona tu? Mbona mengine hakuwahi kuyaweka wazi?
Ukishakuwa na corona tu basi hapo ukifa kifo chako kinahesabika ni cha corona tu hivyo ndio ndivyo inavyofanyika, kama unakumbuka kipindi Ummy mwalimu alikuwa alikuwa anatangaza kwamba Marehemu alikuwa na maradhi mengine pia ila hayatajwi hayo maradhi mengine we unaambiwa tu mgonjwa wa corona kafa.
 
Hivi kwanini hamumtaji hata kwa bahati mbaya Maalim seif mnapokuwa mnataja waliyokufa na corona? ndio tuseme mmemsahau kiasi hicho au mmesahau kwamba nae kafa na corona?
Maalim kwani alikuwa anakana uwepo wa corona? Tunamsema Magu kwa sababu ni mfano wa mtu aliyekufa kwa sababu ya ubishi.
 
Nafurahi tu kwamba Watanzania pamoja na ujinga wetu hatuwasikilizi watu wanaotaka kuuza na kuharibu nchi yetu.
Nchi aliharibu jiwe god akamchukua fasta asante Sir God safi sana nilikula na kusaza aiseee
View attachment 1818643
IMG_20210326_110630.jpg
 
Ni mambo yote yale ambayo hayana ulazima wa kukusanyana, kwamba yanaweza kufanyika pasina ulazima wa watu kukusanyana na mambo yakaenda. Mambo mengine mnaweza kuacha kuyafanya kwa sababu si mambo ya msingi kama show za muziki,sherehe za harusi au sijui mkutano na wazee au sijui wanawake.
Kuhusu covid waulize serikali yenyewe pengine ndio inajua hali ya corona.

Appropriate use of face masks is important. The face mask should completely cover the face from the bridge of the nose down to the chin. Clean hands with soap and water or alcohol-based hand sanitiser before putting on and taking off the face mask. When taking off the face mask, remove it from behind, avoiding to touch the front side. Dispose the face mask safely if it is disposable. Wash your hands or apply alcohol-based hand sanitiser immediately after removing the face mask. Washable, reusable face should be washed as soon as possible after each use, using common detergent at 60 °C. Campaigns for the appropriate use of face masks may improve the effectiveness of the measure.
Dar kunajoto la kudondoka mtu... Tunakula vyakula vya asili.. chungwa la Mia unapta..

Sasa mkuu hayo mambo yamekuwepo.. yaan harusi cjui mikutano na Wala hakujakuwepo na athari yoyote
 
inawezekana pia hizo akili zilikua sawa, ila sasa ndo zinatibuliwa. kwani hujaona masharti ya mkopo wa IMF mkuu. Hebu fikiria kidogo au nawwe unahitaji akili zako ziwe restored.
Mbona mara ya kwanza walikuwa hawavai hizo barakoa. Au umuhimu wa barakoa umeonekana kipindi hiki watu wanaishi na ugonjwa kama wanavyoishi na mafua.


Na huyo waziri alikuwa kiongozi wa kushadadia mizizi.
 
Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.

Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Na yule Mungu wa wasukuma akaipuuzia korona, ikamtendea miujiza... tukamuimbia niagieni niagieni...

Sijui nani mjanja zaidi hapo...
 
Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Ukiwatazama usoni v*ongoz* wetu wanaonesha aibu na kukosa ujasiri wanapokuwa wanaongea mambo haya! Niseme tu kuwa Mungu anawaona! Na sisi tunaendelea kuiombea nchi yetu na kuwaombea viongozi wetu!
Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Ukiwatazama usoni v*ongoz* wetu wanaonesha aibu na kukosa ujasiri wanapokuwa wanaongea mambo haya! Niseme tu kuwa Mungu anawaona! Na sisi tunaendelea kuiombea nchi yetu na kuwaombea viongozi wetu!
Mungu lazima awashughulikie viongozi wanaoangalia pesa kuliko uhai wa watu wao.Umeeleza vema sana.

Hivyi wanavyopambana kuitaka corona kuwafurahisha wazungu ikifikia lockdown kwa masharti ya wazungu na vifo kuongezeka.
Hakika damu za watu zitawafuata mpaka makaburini, wanasahau kuwa vyeo hivyo walipewa na Mungu,wanajitukuza kwa mbinu zao,kana kwamba ipo nchi iliyopona corona sababu ya ujuzi wowote.
Endeleeni tu kuifanyia nchi yetu maigizo ila jueni Mungu anawasubiri na ujira mkononi.

fedha kidogo tu haziwezi hata kuhudumia Watanzania wote hata mwaka mmoja,inatuingiza kwenye utumwa wa miaka isiyojulikana,maana haijulikani wenye hela zao watasema tutaacha kutangaza visa na kuvaa barakoa baada ya miaka mingapi.
pamoja na kuwa kwao ilipo corona wameshaanza kuacha kuvaa barakoa na wanajaa viwanjani kwa uhuru.
sisi ndo tunarudia matapishi ya wazungu kisa umaskini wa fikra wa viongozi,la inauma sana.
sijui watoto wadogo wakifungua shule watavaa barakoa au shule zitafungwa!.
maana vipimo feki vitaonyesha visa vingi hata kama hakuna,halafu wimbi la 3 litasingiziwa limefika Tanzania.
 
Umasikini na uendekezaji wa misaada unaweza kumpelekea mtu kulamba hata miguu ya mwenda peku ili upewe unachotaka. Nakukumbika uliye tangulia maana ulijuwa kuwanyoosha hao wahuni wenye condition za kijinga.
Dah....Safi Sana....tunakopeshwa dola 500m...75% zinaliwa na wajanja ....deni tunaachiwa "wanyonge".....tunawekewa masharti magumu yanaharibu uchumi wetu....tunazidi kuwa masikini....wanakuja kutuuzia chanjo...kwa wastani wa dola 70 ...tukinunua chanjo milioni 30...tunalipa dola 2.1 bilioni..hivi Wana akili hawa?..dah kmmk...dah
 
Na yule Mungu wa wasukuma akaipuuzia korona, ikamtendea miujiza... tukamuimbia niagieni niagieni...

Sijui nani mjanja zaidi hapo...
mjanja ni wewe unayejua kuna corona halafu hata kupeleka tako lako likatiwe chanjo unaona uvivu.

unafiki ndio unafanya mpaka akili zinawapooza.
 
Kwa hili namkumbuka Magu...!!!
Magu kwenye c19 alikuwa shujaa... Hakuwa tayari kuwAuZa raia kwa vipande vya fedha... Alikuwa tayar kusemwa vibaya lkn wananchi wake tufanye kazi.. tujenge nchi... Leo hii mtu yule yule aliesema njia za awali zilikuwa sahihi... Leo atuambia makorokocho... Na ni Dr Kabisa kitaaluma... Unaniuliza x2 hv pesa ni Haram au madaraka ndo yanawabadli akili watu??

Wanataka kulazimisha kuwepo kwa Corona... Wanaham nayo nazani...
 
Jiandae kwa lokudawuni wewe mzee wa korona. Hapo akaunti yako naimani inasoma figa za kutosha.

Account yangu haina kitu lakini maisha kwanza.

Hatuwezi sote kuukumbatia ujinga. Kwani shule tulikwenda kutembea?

Habari hii imfikie pia yule bwana msukuma na genge la kwao.
 
Back
Top Bottom