Napita huku na kule mitaani.... Sioni Corona kwa kweli. Sioni kabisa. Nmezunguka sana sioni Corona popote pale. Na hata zile Taarifa za kutishana hazipo.

Mimi nmehudhuria Makusanyiko mengi sana Tanzania. Mengi sana. Bila Barakoa. Katika hili Magufuli was Right. Tuweke Unafiki pembeni na chuki. Rais alikataa Kuwepo Corona na aliongoza kwa vitendo. Hili apongezwe.
 
Kuna mkwanja wa dola za marekani milioni 574 tunauvutia kasi!!
Ili kuzipata lazima tukiri uwepo wa corona!! (ambayo haipo hata ukiitafuta kwa tochi). Lazima kutoa data/takwimu za maambukizi (ambayo hayapo!). Lazima kupima, pima, pima (hata bila indication maana corona haipo!!). Ukipima tu, corona itaonekana kwa sababu tatu: 1. Ni kukataa makusudi kinga na uponyajj aliotupatia Mungu baada ya kuwa tumemtanguliza Mungu katika vita hii na kumwomba. Alivyotuponya tukampa utukufu kwa kuitangazia dunia kuwa Mungu ametuponya na tukamshukuru! Kwa hiyo kutangaza rasmi uwepo wa corona ambayo haipo ni kumpokonya utukufu anaostahili na kumkabidhi utukufu huo mwanadamu aliyetuahidi kitu kidogo (halafu siyo bure ni mkopo), ni kufuata wanadamu na kumpa Mungu kisogo atupaye uhai na pumzi kila siku!! Kwa hiyo Mungu anaweza kuondoa ulinzi wake na hizo dola hazitatuokoa. Wenyewe walionazo hazikuwaokoa, zitatuokoaje sisi? 2. Corona Rapid Test kits zimetengenezwa kwa mtindo wa kutoa false positive (positive bandia) kila baada ya sampuli kadhaa!! Hilo halina ubishi na limelalamikiwa sana!! Tujiandae kisaikologia kwa yatakayotokea!! Ila kuna watu watakaodaiwa damu ya watanzania katika hili! 3. Kuna hatari ya kupandikiziwa corona kupitia barakoa na chanjo! Kuna mataifa yaliyoona wivu na hasira sana kwa nini dunia nzima imeteseka na inaendelea kuteseka mpaka leo wakati Tanzania tumebaki salama bila lockdown, bila chanjo, na kwa sasa bila barakoa!! Usifikiri tunapendwa sana!!
Ukiwatazama usoni v*ongoz* wetu wanaonesha aibu na kukosa ujasiri wanapokuwa wanaongea mambo haya! Niseme tu kuwa Mungu anawaona! Na sisi tunaendelea kuiombea nchi yetu na kuwaombea viongozi wetu!
Umesema kweli. Corona hakuna. Hata watu waliofariki na wanaofariki wanakufa kwa hofu tu. Hata Magufuli alikufa kwa hofu tu kama alivyokuwa anasema mwenyewe, corona hakuna ila ni hofu tu.
 
Maisha yanaenda kasi sana...

Huyu si ndio waziri alikuwa mstari wa mbele kwenye ishu za nyungu hadi akawa anatengeneza video clips na mumewe...

Sasa hivi kahamia tena kwenye barakoa 😊
 
Hao wanaopiga kelele wimbi ka tatu hizo nchi si zimeishachanja? Kwa nini mtu ahangaike na wasiochanja wakati yeye yuko salama tayari?

Kama mtu amevaa barakoa tayari kwa nini ana wasiwasi wa kuambukizwa na asiyevaa?

Tusilazimishane kila mtu achague mwenyewe kuvaa au kutokuvaa.
Upeo wako wa kuelewa mambo haya uko chini. Hili unalohoji maelezo yameshatolewa mara nyingi tu.
 
Ila Magufuli alitushika pabaya. Mtu mmoja akasema nchi haina Corona na watu 60m tukafyata
 
Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Hawa wasiojua matumizi sahihi ya kutumia barakoa ndio unasema wanajielewa? watu hawajui ni kipi unatakiwa kufanya kabla ya hujavaa barakoa na vp unavua barakoa na kipi unatakiwa kufanya baada ya kuvua barakoa.
Matokeo ya kutojua matumizi sahihi ya uvaaji barakoa husababisha kuongeza maambukizi.
 
Lisu amekuja na kufanya kampeni hapa kwa miezi 3 bila kuvaa barakoa lakini kwa unafiki alionao aliporudi kwa wanaomfuga akatangaza Tanzania kuna Corona.

Mbowe pia kwenye konyagi anaonekana bila barakoa lakini kwenye vikao vyake uchwara anaonekana amevaa barakoa ili wafadhili wampe pesa zaidi!!!
Haya umeshakula chakula cha mchana??
 
Huyu Dk. Gwajima wa Sasa na Yule wa Kipindi cha JPM ni mtu na ndugu yake ?, Mbona kama wanafanana sura, jina na wadhifa lakini matendo tofauti ?
 
Tumeshatumia tiba asili, halafu korona tunaisikia tu kwa majirani nani kwanini tuvae mabarakoa tena ?
SmartSelect_20210614-153307_Chrome.jpg
 
Napita huku na kule mitaani.... Sioni Corona kwa kweli. Sioni kabisa. Nmezunguka sana sioni Corona popote pale. Na hata zile Taarifa za kutishana hazipo.

Mimi nmehudhuria Makusanyiko mengi sana Tanzania. Mengi sana. Bila Barakoa. Katika hili Magufuli was Right. Tuweke Unafiki pembeni na chuki. Rais alikataa Kuwepo Corona na aliongoza kwa vitendo. Hili apongezwe.
Siyo kila mtu ana uwezo wa kuelezea mambo ya COVID19 kama wewe Mtu Asiyejulikana.
Haya mambo ya COVID19 ni mambo ya kitaalamu Sana na yanapaswa yajadiliwe na wataalamu wa afya au na watu wenye uwezo wa kuchanganua. Huu ni ugonjwa wa mlipuko hauko kama kichocho au malaria

Watanzania wengi sana wamekufa kwa ugonjwa huu wa mlipuko including huyo Rais Magufuli aliyepinga uwapo wa COVID19. Mlipuko kwa Tanzania umekuwa unaanza mwezi Desemba hadi Machi.

Sasa usitumie hali unayoiona sasa hivi ikawa ndiyo conclusion yako. Endelea kufuata ushauri wa kitaalamu chini ya WHO na Wizara ya Afya
 
Watanzania wengi wanadharau uvaaji wa barakoa ,mwendazake alibrainwash watu sana ,wanaovaa barakoa kwasasa ni watu ambao wanaojielewa lakini hawa wavuja jasho hawezi kukuelewa kuvaa barakoa.
Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!

Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
 
Back
Top Bottom