Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Napita huku na kule mitaani.... Sioni Corona kwa kweli. Sioni kabisa. Nmezunguka sana sioni Corona popote pale. Na hata zile Taarifa za kutishana hazipo.
Mimi nmehudhuria Makusanyiko mengi sana Tanzania. Mengi sana. Bila Barakoa. Katika hili Magufuli was Right. Tuweke Unafiki pembeni na chuki. Rais alikataa Kuwepo Corona na aliongoza kwa vitendo. Hili apongezwe.
Mimi nmehudhuria Makusanyiko mengi sana Tanzania. Mengi sana. Bila Barakoa. Katika hili Magufuli was Right. Tuweke Unafiki pembeni na chuki. Rais alikataa Kuwepo Corona na aliongoza kwa vitendo. Hili apongezwe.