toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Nzur hyoNimefanikiwa kutembelea Rombo huku kwa watani zangu wachagha (wezi wa taifa kama wavivu wanavyopenda kuwaita) nimefika huku juzi naona umeme haujakatika hata mara moja.
Nzur hyoNimefanikiwa kutembelea Rombo huku kwa watani zangu wachagha (wezi wa taifa kama wavivu wanavyopenda kuwaita) nimefika huku juzi naona umeme haujakatika hata mara moja.
huku haupo kama ilivyokuwa siku zote..... on/offAs i remember alisema inapunguza mgao wka 85%, lakin si kumaliza kabisa. Eneo nilipo haujakatika siku nzima
Huko wapi?huku haupo kama ilivyokuwa siku zote..... on/off
umerudi sasa...... on/offHuko wapi?
Wazee wa Legacy tunagonga Wine tu 😂umerudi sasa...... on/off
hongera....Wazee wa Legacy tunagonga Wine tu 😂
Mtambo unafanyiwa maintenance kuwa mzalendo. HahahaaaWamewasha mtambo sijui namba 9?? Hatuna umeme kuanzia saa 10 hii jioni.
Biteko wasemaje?
Eneo ninaloishi umeme upo kila siku, ukikatika sanasana labda dakika tano, tunashangaa nyie mna tatizo gani!As i remember alisema inapunguza mgao wka 85%, lakin si kumaliza kabisa. Eneo nilipo haujakatika siku nzima
Eee bahili wa taifa, amewatembelea bahili wa taifaNimefanikiwa kutembelea Rombo huku kwa watani zangu wachagha (wezi wa taifa kama wavivu wanavyopenda kuwaita) nimefika huku juzi naona umeme haujakatika hata mara moja.
Mungu akusaidie polle sanaNipo nauguza majeraha ya kuvunjika mguu so Kwa Sasa nipo kitandani 24/7 last week ilikua kimbembe umeme kukatika on/off
Kwa siku 3 mfululizo 24/7 huku nilipo umeme haujakatika kipande hili nilichopo (dar)
Uzalendo si kutokuona ukweli na kuusema. Mbona hawa wanaruka na ndege muda wote bila kuwa na uzalendo wa kuhurumia pesa za ummaMtambo unafanyiwa maintenance kuwa mzalendo. Hahahaaa