infinix2020
Member
- Dec 30, 2020
- 71
- 146
Gharama zipi sasa, tufafanulieni tujueHabari ndugu mteja, ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, gharama hiyo ya shilingi 27,000 ni kwa wateja wetu wa vijijini wanao hudumiwa na mradi wa REA, kama eneo lako halipo chini ya mradi huo utalipia gharama za kawaida za kuunganishwa na huduma ya umeme, tunaomba kusisitia kuwa malipo yote ya TANESCO hufanyika kupitia control namba. ^HS