Hivyo vifaa vinaleta migogoro sana kwenye nyumba,hizo mita hata ziwe laki wateja sisi tutanunua tu,angalieni kuhusu hili,kama kuna uwezekano ruhusuni wazabuni walete mita maana kilio chenu ni kutokuwa na mita za kutosha...mteja awekewe mita na awe anakatwa buku buku kila mwezi.
Fanyeni kazi kama mitandao ya simu muone kama hamjazikimbia hela..yaani mtapata pesa kuliko TRA.
SEMA ukienda kuomba ufungiwe umeme kwa mara ya kwanza bei iwe 27,000 kama unataka mita ya pili bei iwe 5,000,000/= ukitaka ya 3 iwe 10,000,000/=
 
Tunaendelea kukuelimisha kuwa tatizo sio uwepo au uhaba wa mita bali tumekupimia tumeona mahitaji yako yanatosha mita moja ya njia moja au tatu, ikitokea unachangamoto za wapangaji una nafasi ya kununua vifaa vya kusemea matumizi ya kila mmoja kwa bei ndogo kabisa na ukalitatua hilo badala ya kutaka Shirika kukufungia mita zaidi ya moja ambayo ni hasara na kunyima wengine haki ya kupata huduma.
Mnaniwekea lini umeme jamani mbona muda umekua mrefu mno

Salum Issa
Ilala chanika
Kimwani street
0713552943
Nimelipia tokea mwezi wa nane
 
Tanesco mita znatoka wapi tumeenda tumeambiwa hakuna
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
TANESCO leo mmekata umeme Kimara mwisho kuanzia saa tano asubuhi hadi 12 jioni,shughuli za watu zimesimama maelfu ya watu wanaoishi na kuwekeza huku.Sababu ilikuwa nini?
What about kesho,keshokutwa na wiki nzima?
Tafadhali unaponijibu zingatia unaongea na waathirika wa matendo yako ambao wao na familia zao wanaishi hapa mjini sababu ya huu umeme.Maelfu kwa maelfu,"let it stick in your head",unaongea na watanzania ambao mkono wako kwenye hizo mashine unaweza kuwaumiza au kuwasapoti maisha yao na uchumi wao.
Kulikuwa na sababu ipi kukata umeme Kimara all the day long today?Vipi kesho na keshokutwa,tutakuwa na umeme?Please,naomba majibu.
 
Tafadhali onesha namba ya simu
Jamani Tanesco tunajua mna changamoto nyingi na mnapambana kukabiliana nazo. Tunaamini kuwa umeme unapokatika kunakuwa na tatizo fulani au shughuli za kiufundi zinakuwa zinafanyika mahali husika. Sasa kunankitu nashindwa kuelewa, hivi umeme unapokatika dakika 5 au 10 afu unarudi tena unakaa dakika hizo hizo 5 au 10 unakata tena na tena na tena , yaani ni huo mchezo tu. Najiuliza ufundi huu ndo wa aina gani kata/rudisha dk5/10. Coz kama ni tatizo si mkate tu moja kw moja ijulikana hakuna umeme mfanye ufundi wenu kw muda unaoeleweka mmalize mrodishe umeme watu watumie. Lakin sas kw hali hii kama mtoto mdgo anachezea tochi awashe azime awash.... hivi huu mchezo nao ni sehemu ya maintanence?? Au mmeamua kututia hasara kw kutuunguzia vyombo vyetu. Na kutuonyesha jins mlivyokuw wataalamu ktk kukata umeme. Hatuelewi hii ON/OFF ni ufundi au ni kamchezo mbona hivi ??
MOROGORO WAMI DAKAWA.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
Taarifa zangu mnazo angalien juu ntakua naandka kila siku
 
TANESCO leo mmekata umeme Kimara mwisho kuanzia saa tano asubuhi hadi 12 jioni,shughuli za watu zimesimama maelfu ya watu wanaoishi na kuwekeza huku.Sababu ilikuwa nini?
What about kesho,keshokutwa na wiki nzima?
Tafadhali unaponijibu zingatia unaongea na waathirika wa matendo yako ambao wao na familia zao wanaishi hapa mjini sababu ya huu umeme.Maelfu kwa maelfu,"let it stick in your head",unaongea na watanzania ambao mkono wako kwenye hizo mashine unaweza kuwaumiza au kuwasapoti maisha yao na uchumi wao.
Kulikuwa na sababu ipi kukata umeme Kimara all the day long today?Vipi kesho na keshokutwa,tutakuwa na umeme?Please,naomba majibu.
Hilo suala la umeme sio kimara tu naona ni kila sehem ndio mchezo wao sahivi

Kiukweli kuna watu shughuli zetu tunategemea umeme ili tupate kipato

Sasa Maisha ni magumu maana hakuna kazi tunayofanya
 
Jamani Tanesco tunajua mna changamoto nyingi na mnapambana kukabiliana nazo. Tunaamini kuwa umeme unapokatika kunakuwa na tatizo fulani au shughuli za kiufundi zinakuwa zinafanyika mahali husika. Sasa kunankitu nashindwa kuelewa, hivi umeme unapokatika dakika 5 au 10 afu unarudi tena unakaa dakika hizo hizo 5 au 10 unakata tena na tena na tena , yaani ni huo mchezo tu. Najiuliza ufundi huu ndo wa aina gani kata/rudisha dk5/10. Coz kama ni tatizo si mkate tu moja kw moja ijulikana hakuna umeme mfanye ufundi wenu kw muda unaoeleweka mmalize mrodishe umeme watu watumie. Lakin sas kw hali hii kama mtoto mdgo anachezea tochi awashe azime awash.... hivi huu mchezo nao ni sehemu ya maintanence?? Au mmeamua kututia hasara kw kutuunguzia vyombo vyetu. Na kutuonyesha jins mlivyokuw wataalamu ktk kukata umeme. Hatuelewi hii ON/OFF ni ufundi au ni kamchezo mbona hivi ??
MOROGORO WAMI DAKAWA.
Dumila pia hali ndio hiyo hiyo
 
Ndugu zangu kwanini kuomba kuunganishiwa umeme na Tanesco imekua kama hisani hasa kwa chanika ,wananchi wanaomba umeme tangu mwezi June hadi sasa hakuna chochote
 
Back
Top Bottom