Resident
Member
- Oct 19, 2016
- 80
- 120
TANESCO
Nimesikia kuna scheme ya kuwapa unafuu watu ambao hawafikishi units 75 kwa mwezi kwa miezi mitatu ya nyuma.
Tafadhali ninahitaji ufafanuzi.
TANESCO
TANESCO
Nimesikia kuna scheme ya kuwapa unafuu watu ambao hawafikishi units 75 kwa mwezi kwa miezi mitatu ya nyuma.
Tafadhali ninahitaji ufafanuzi.
Ndugu mpendwa Mteja wetuMe nimeomba umeme kigamboni na umeme upo karibu kabisa na kwenye site nimelipia kila kitu na hiyo 27000 nimetoa tayari ila nimekuja kuambiwa kwamba kama nataka umeme haraka haraka kwa ajili ya nguzo nilipe million 5 je hii ni sawa au tanesco naombeni ufafanuzi zaidi.....
Nimefanya kila kitu tayari surveyor amekuja tayari nikaenda kulipia after hapo nimekuka kuambiwa kama nataka umeme wa haraka haraka inabidi nilipie million 5 ndio wanileteee je hii no sawa au mimi ndio sijaelewa hasaa hapa??Ukishaja form ya kuomba kuunganishiwa umeme na surveyor ashakuja kuchek inachukua muda gani mpaka kuambiwa ukalipie
Ndugu mpendwa Mteja wetuNimefanya kila kitu tayari surveyor amekuja tayari nikaenda kulipia after hapo nimekuka kuambiwa kama nataka umeme wa haraka haraka inabidi nilipie million 5 ndio wanileteee je hii no sawa au mimi ndio sijaelewa hasaa hapa??
Ndugu mpendwa Mteja wetuMgao wa umeme Kinondoni (toka asubuhi hadi sasa) pasipo taarifa.
KAZI IENDELEE
Kuna hatua nyingine zaidi ya kuwasha vibatari!?mmechukua hatua gani?