KARIA
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 717
- 472
Siku ya tatu leo kimya na hakuna taarifa yeyote.Tangu jana mchana mpaka sasa Yombo vituka lumo hakuna umeme na hata namba ya dharula haipatikani!
Siku ya tatu leo kimya na hakuna taarifa yeyote.Tangu jana mchana mpaka sasa Yombo vituka lumo hakuna umeme na hata namba ya dharula haipatikani!
Tumepokea taarifa yako mpendws mteja wetu tunaifanyia kaziHabari wadau na watumishi Wa Tanesco
Mimi ni mkazi wa baruti maeneo ya daraja la bajaji kuelekea kilungule njia ya umeme inayoanzia pale baruti hadi kilungule kila Siku inamatatizo ya low voltage kisha umeme kukatika na kurudi inaweza chukua hata siku mbili tupo gizani . Sasa mimi nina maswali mawili kwenu
(1)kama sisi wakazi wa hapa kimara karibu Kabisa na makao makuu ya Tanesco hali ni hii wenzetu vijijini hali ipo je?
(2)hili tatizo tunalo takribani miaka hata saba na zaidi je hii inamaanisha mmeshindwa kulitatua hili tatizo na kama mmeshindwa ni nani atatusaidia tuweze kuondokana na hili tatizo (nakumbuka pale baruti kuanzia ile transifoma ipo juu hadi mmeishusha chini tatizo likapungua kidogo lakini sikuhizi ndio limekua kubwa kuliko zamani )
Mwisho ninawaomba mjue kuwa tunawategemea kwakuwa matumizi ya umeme mnayajua tunawatoto wanahitaji kusoma n.k umeme ni muhimu katika maisha yetu mkitunyima umeme mjue mmetuadhibu vikali tunaomba Msaada namba yangu 0717297821
Tunapata wakati mgumu sana kukufatilia swala ambalo halina taarifa kamili. Tunapoomba taarifa kamili na wewe kutupatia ni lazima tufanyie kazi swala lako, tunaomba taarifa kamili mpendwa mtejaNimebaini tunapotezeana mda, wiayani mkoani na kwenye mita ndao yakijamii tanesco mnafanana. Ala najiuliza kwanini mnatupotezea mda pia Fedha? Inawezekanaje uulize majina ya mlalamikaji, mkoa aliko, wilaya na namba ya Simu, kisha ukae kimya, watu watu tunaambiwa tutoe hela eti ndo tuletewe mita, ilihali tulikwisha fanya malipo halali kwa kuzingatia gharama halali. Ama Kweli paka ni paka tu, haijalishi analangi ipi, ilimradi anakamata panya. Ngoja panya waendelee kuuziwa mita kama viazi mtaani, ilihali ninyi mnatupotezea mda watu kwenye mitandao yakijamii.
Hii mbona tuliwasilana na wrwe mkuuThread no 4082,4099.nimeeleza, Bukombe /Mbogwe Geita, imeshakuwa kero issue ya Mita za 3phase, Malipo toka Mwezi February na Mwanzoni March, hatuna huduma, tunazungushwa kila siku, Sasa Wameenda Mbali wanaomba chochote ili wakupatie mita, ambazo wengine wanaelezwa hazipo nitatizo la taifa. Then tunawaeleza mnaanza kupuuza.
TANESCO mbona mmekaa kimya siku zinaenda?TANESCO naomba kusaidiwa Mimi nimelipia kufungiwa umeme lakini sijafungiwa umeme huu Mwezi wa tatu .. naomba unisaidie na mimi nipate Huduma ya umeme
Naitwa Leonard R Lazaro nipo bujingwa mwanza na nililipia kituo cha Nyakato. Namba yangu 0767101328 .. mnisaidie Jamani nimechoka kukaa gizani