Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 433
Aisee mie niliomba kufanyiwa survey mwezi wa nne mpaka leo ni dana dana tuu na nililipia fomu sh elfu 15, Cha ajabu Eng alienda mwezi uliopita afu kaniambia eti umeme single Phase kwa distance ya 1km haufiki. haikuniingia akili kabisaaJe mlitoa taarifa?mkapewa namba ya taarifa ngapi na namba yako ya simu