Tumeipokea mpendwa mtejaTANESCO Hizo kero mbona hamjibu,au majibu ni Yale Yale ya wahudumu wenu
Nimelipia huduma ya kufungiwa Umeme tangu mwezi wa 2 mwaka huu mpka Leo hawajatufungia,kuna mpango gani? Na kwanini wanachelewesha au m nataka rushwa ,
Kilimanjaro,
Marangu magharibu,
Kyala-masereni,
0625792843
N.B
Msipo ijibu hii nitakuwa nime note kitu cha muhimu
Ahsante saana ,Mwananchi mwenye kusubiri Utekelezaji wa HAPA KAZI TU.
Tunashukuru sanaAhsante saana ,
Nashukuru kile nilichokiona na kukitolea taarifa hatimaye Leo kimerekebishwa.
Namshukuru saana mfanyakazi wa Tanesco mwenye no ya simu 0717928763 mtumishi huyu ameonesha dhana halisi ya utumishi wa umma.
Muda mwingi amekuwa akinipigia na kuniomba kuwa na subra kutokana na taarifa wanavyozipokea na alihitimisha kwa kuniomba nimuelekeze yeyote aliyepo jirani ili mafundi wamfuate kwa kazi.
Hakika kazi imefanywa natoa pongezi na shukrani.
Asanteni sana kwa kunisikiliza,nimeshawasiliana na muhusika.aTumeipokea mpendwa mteja
Kulikuwa na kazi ya kuboresha miundombinu hivyo muda mchache ujao umeme utarejeaLeo hii 20/10/2017,Umeme umekatika kiluvya gogoni, kwa kawawa na hondogo tangu asubuhi hadi sasa hivi sasa 12:56 jioni umeme hakuna, na imekuwa mazoea Umeme kukatika Mara KWA Mara maeneo haya, tafadhali tanesco ondoeni kero hii, ni usumbufu .
Seriously?Mkuu kazi hii itafanyika wiki ijayo
Mnaweza kunipa [HASHTAG]#tarehe[/HASHTAG] na [HASHTAG]#siku[/HASHTAG] ili niweze ku track vizuri?Mkuu kazi hii itafanyika wiki ijayo
Huna akilini kwani mnapo toa ajira mnawabagua watu wenye transcript hata kama wanauzoefu maana kwa vyuo kama dit mtu anamaliza kupata cheti ni baada ya miaka miwili sana hamuoni mtu kama huyu hamumtendei haki