Jina la kwenye mita namba yangu imekosewa herufi 2.na bamba ya simu.nikinunua umeme namba ya simu inakuja ya mtu mwengine.na jina herufi zinakuja zimekosewa.lakini kulipia 27000.na mchakato wa file yangu kilakitu kulikuwa sawa.
 
Tanesco nilituma maombi ya kuunganishwa umeme kijijini nyumba ya wazee wangu surveyor ameenda ameniambia zinahitajika nguzo 5,

Badae akanishauri nimwombe jirani yangu mmoja naye atume maombi ya kuunganishwa umeme , jirani amefanya hivyo , Ila surveyor amekuja Tena anabadilika anasema nyumba zipo karibu karibu Mimi sijamwelewa , maana naona kabisa anatengeneza mazingira ya Rushwa
Namba ya ombi langu 250323-1202
Namba ya ombi la jiran ni hii 260323-0911
 
Tanzania Electric Supply Company Limited Laana mnayoitafuta kwa wananchi mtaipata tu na kama haitowapata ninyi basi hata vizazi vyenu, Kateni umeme kila mnapojisikia.... Mnatesa sana raia ninyi🤬🤬🤬🤬🤬
 
Hili shirika nani alioliloga? Jana mmekata umeme kutwa nzima kwanzia saa moja asubuhi hadi saa 12:30 jioni leo tena mmekata. Hamjui kuna watu tunategemea umeme kuendesha maisha yetu?
 
Raia wengi wanaofanya shughuli zao mkoa Dar es salaam wanaishi Mkuranga /pembezoni ,Kupata umeme lazima uombe wilaya Mkuranga .

Nimeomba umeme mwaka jana mwezi wa kumi mpaka leo hata control number sijapata na sijui wataniingizia umeme mwaka gani ?

Tanesco Mkuranga Kuna ujinga na ubabaishaji uliokithiri nafuatilia control number nazungushwa kama Saa tangia mwaka jana.

Kila nikifuatilia , mara subiri wiki ijayo tunatoa control number...nimefutilia mara nne naambulia ujinga wao tu,Cha ajabu Kuna watu wameomba baada ya Mimi kuomba na tayari wameshapata umeme .

Nawauliza mbona hapo kwenye system inaonyesha huyo kaomba nyuma yangu ( tarehe inaonyesha kaomba baada ya Mimi )na tayari ameshawekewa umeme Kwa nini mm nipo pending ? wanakosa majibu sahihi.

Nawauliza wanaohudumiwa na Tanesco Mkuranga mlifanyaje mkapata umeme au mlipata kabla ya hawa watumishi vijana kuajiriwa ? ,Kweli wale vijana ni wababaishaji na wanakera kweli kweli natamani nipigie mtu ngumi ya pua ,control number tu inacheleweshwa hivi ...

Manager wa pale sijui hata kama anafuatilia kituo chake ,kituo kimekuwa na majibu ya ajabu na nyepesi et " Kwa Sasa hatutoi control number " ndani ya mwaka nzima hawatoi control number kweli ?? Kwa nini wilaya zingine unapata umeme ndani ya wiki moja ,Mkuranga Kuna nini??.

Hata kama ni rushwa wanataka ndio uanzie kutoa kwenye control number kweli ? Tanesco Mkuranga tambueni na sisi RAIA TUNAANGAIKA KUTAFUTA MLO KWA SHIDA NA TABU TIMIZENI MAJUKUMU YENU .


Jamani naombeni msaada jinsi ya Kupata umeme Mkuranga nimefauatilia utaratibu nimeishia kubaniwa control number na kupewa bla bla za kijinga.
 
MAOMBI MAPYA YA KUUNGANISHA UMEME MWANZA MJINI
1. ENEO ni Nyerere road karibu na mataa kwa ajili ya ujenzi
2.Mkoa wa mwanza mjini, wilaya ILEMELA, Mjini kati karibu na msua phamacy
3. Tunahitaji umeme kwa ajili ya ujenzi.
 
Naona malalamiko mengi na hakuna majibu kama kipindi cha Magufuli, sioni haja ya kutoa taarifa katika eneo letu sababu najua hamtajibu
 
"Pamoja mvua za masika kuendelea kunyesha nchini, lakini bado mtiririko wa maji kwenye mabwawa ya kufua umeme ya Hale, New Pangani Falls, Kidatu na Mtera ni wa wastani"

Chanzo: TANESCO Mtandao

GENTAMYCINE nilidhani Kaka Mamlaka na Dada walishamaliza Kuyauza Majenereta yao mengi pale Morocco jirani na Airtel Headquarters kumbe bado?

Yaani Mito mikubwa yote imejaa na Mvua huko Mikoani zinapiga ile mbaya halafu leo mnatuambia ( tena bila Aibu ) kuwa Mabwawa hayajajaa.

Hovyooooo....!!!!!!!
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Napenda kutoa Shukrani zangu za Dhati na kuipongeza TANESCO. Nimekuwa mteja wenu miaka mingi lkn kwa Hili lililotokea WIKI HII ni kubwa. Jumanne tarehe 11/4/2023 nilijaza taarifa za Kuomba kufungiwa Umeme kwa njia ya Mtandao, mchoro ukawekwa. Tarehe 11/04/2023 hiyo hiyo akaja Saveya kukadiria. Tarehe 12/4/2023 nikatumiwa control namba nikalipa bill kwa 320,900/=. Leo tarehe 14/4/2023 asbh saa 3 nishafungiwa Umeme. Kiukweli nimeshangaa sana Utendajikazi huu wa mwendikasi TANESCO.
Nawashukuru sana Hongereni kwa kazi nzuri TANESCO.
 
TANESCO Kidude (kifaa) Cha kuingizia umeme kimekua kibovu, hakibonyezeki, napata shida sana kuingiza umeme. Naomba mnisaidie kutatua hii changamoto.
JPEG_20230416_024727_1177508366565465986.jpg
 
Mpendwa mteja,ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, pole kwa changamoto hiyo, ili tuweze kufungua taarifa yako tafadhali onesha taarifa kamili zifuatazo kwa huduma bora.
1. Jina
2. mkoa
3. Wilaya
4. Eneo
5. Namba ya simu
6. Tatizo
7. Mita namba
8.Kitu maarufu

TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU: 0748550000
WhatApp: 0758346869
^HS
 
Kipekee nawashukuru Tanesco kwa usikivu na umakini wenu hasa kanda ya Makambako.
Kama taasisi tulipata shida ya umeme kukosa nguvu na kushindwa kuendesha moto ya maji na komputa hazikuweza kuwaka kwa siku 4.
Bahati mbaya wasaidizi wangu walipiga simu nafikiri ya wahusika ambao hawakua jirani nasi hata hivyo walikua active kuja kutatua bali msaidizi wangu alipotea hewani ikatokea mis communication.

Baada ya hapo nilipata mawasiliano ya huyu supervisor +255752841417. Huyu bwana ndani ya nusu saa alituma mafundi na wakalitatua tatizo letu.
Kama tunaweza kuwaanika waliotutendea mabaya kwa nini tusiwaanike waliotutendea mema.
Naipongeza tanesco kupitia huyo jamaa mwenye hiyo namba.
Endeleeni na kazi njema nashukuru.!
 
Kipekee nawashukuru Tanesco kwa usikivu na umakini wenu hasa kanda ya Makambako.
Kama taasisi tulipata shida ya umeme kukosa nguvu na kushindwa kuendesha moto ya maji na komputa hazikuweza kuwaka kwa siku 4.
Bahati mbaya wasaidizi wangu walipiga simu nafikiri ya wahusika ambao hawakua jirani nasi hata hivyo walikua active kuja kutatua bali msaidizi wangu alipotea hewani ikatokea mis communication.

Baada ya hapo nilipata mawasiliano ya huyu supervisor +255752841417. Huyu bwana ndani ya nusu saa alituma mafundi na wakalitatua tatizo letu.
Kama tunaweza kuwaanika waliotutendea mabaya kwa nini tusiwaanike waliotutendea mema.
Naipongeza tanesco kupitia huyo jamaa mwenye hiyo namba.
Endeleeni na kazi njema nashukuru.!
Hahahaa! umetisha ingawa sio poa sana kuweka namba ya mtu kwenye hii mitandao ambayo ni anonymous.
 
TANESCO Kidude (kifaa) Cha kuingizia umeme kimekua kibovu, hakibonyezeki, napata shida sana kuingiza umeme. Naomba mnisaidie kutatua hii changamoto.
View attachment 2589257
Habari ndugu mteja, ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto hiyo, ili tuweze kufungua taarifa yako tafadhali onesha taarifa kamili zifuatazo kwa huduma bora.
1. Jina
2. mkoa
3. Wilaya
4. Eneo
5. Namba ya simu
6. Tatizo
7. Mita namba
8.Kitu maarufu

TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU: 0748550000
WhatApp: 0758346869
^NM
 
Kwenye nguzo ya umeme kuna shoti tangu jana napiga simu ya emmergency tanesco haiiti. Niko morogoro mazimbu road, kibao cha shule. Msaada mnatusaidiajeee
 
Back
Top Bottom