General 5887
Member
- Nov 3, 2022
- 51
- 36
Jina la kwenye mita namba yangu imekosewa herufi 2.na bamba ya simu.nikinunua umeme namba ya simu inakuja ya mtu mwengine.na jina herufi zinakuja zimekosewa.lakini kulipia 27000.na mchakato wa file yangu kilakitu kulikuwa sawa.