Tanesco msaada kwa huyu mama amefiwa na mumewe sasa ni mjane na hana kazi kwenye mambo ya msiba watu walitumia sana umeme akahamishwa tariff kutoka ile ndogo kabisa basi baadaya kugundua kuwa anapata unit chache akinunua akaenda Tanesco Tabora akaambiwa akatumia kwa mwezi matumizi yake yasipofika unit 50 arudi ajaze form arudishe kwa tariff ile ndogo ila ameenda wiki hii amembiwa ukishatolewa hurudishwi tena kaja mnyonge hadi huruma na uwezo kweli hana hebu msaidieni arudi tariff ile huyu mama jama mjane na hana uwezo mwishowe atashindwa huu umeme wenyewe, ita namba yake ni 01320663295, Tabora mjini maeneo ya Ali Hassan Mwinyi. Namba yake ya simu ni 0785356230

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TATIZO: TUMELIPIA GHARAMA ZA KUUNGANISHIWA UMEME TANGU MAPEMA FEBRUARY (DELAY)

MAHALI: GEITA MJINI .

ENEO: MBUGANI .

TAASISI :KANISA LA EAGT MBUGANI.

NAMBA YA SIMU: 0756 84 95 11.

HALI ILIYOPO: TULILETEWA NGUZO TANGU MWANZONI MWA MWEZI WA NNE, WAKASEMA HAWANA GARI LA KUBEBA WAYA NA MITA KUJA KUFUNGA. WAKATUAMBIA TUCHIMBE SHIMO, TUKACHIMBA, WAKAJA WAKASIMIKA NGUZO.
KISHA WAKAONDOKA BILA KUUNGANISHA UMEME.

NAOMBA MSAADA WENU, KIMSINGI MPO NYUMA YA MAKUBALIANO, NA HII NI TAASISI YA DINI ,HIVYO TUNAKUWA KWENYE WAKATI MGUMU.





Sent using Tecno Sufuria
 
Tanesco tafadhali naomba mnipe ufafanuzi kuhusu swala la Tariffs maana Naona kama mnanishinda,Yani Nyumba yangu ina vyumba vitano natumia vyumba 3 umeme na nimefunga taa 3 nje na zote ni zile za umeme mdogo,Inakuwaje umeme wa 9000 napata Unit chache?
Pili mlolongo wa kubadili tariff kwanini tusiufanye Online hasa kwa kipindi hiki cha Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona?
Mkuu, hata mi nina shida hiyohiyo. Unakuta umewekwa kwenye kundi la matumizi makubwa mfano T1 badala ya D1.

T1 wanakupa unit 1 kwa sh. 292 wakati D1 wanakupa unit 1 kwa sh. 100 baada ya kodi. Jumla ya kodi ni 22% (angalia sms ya malipo ya LUKU).

Kwa mfano, hiyo elfu 9000 ukiondoa kodi (9000×22/100)= 1980 hii ni kodi. Pesa halali ya unit zako ni 9000-1980=7020


Kwa pesa yako sh 7020 ikiwa upo D1 ulitakiwa upate unit (7020÷100)=unit 70.2 ila kama upo T1 unapata unit (7020÷292)=unit 24
 
Mkuu, hata mi nina shida hiyohiyo. Unakuta umewekwa kwenye kundi la matumizi makubwa mfano T1 badala ya D1.

T1 wanakupa unit 1 kwa sh. 292 wakati D1 wanakupa unit 1 kwa sh. 100 baada ya kodi. Jumla ya kodi ni 22% (angalia sms ya malipo ya LUKU).

Kwa mfano, hiyo elfu 9000 ukiondoa kodi (9000×22/100)= 1980 hii ni kodi. Pesa halali ya unit zako ni 9000-1980=7020


Kwa pesa yako sh 7020 ikiwa upo D1 ulitakiwa upate unit (7020÷100)=unit 70.2 ila kama upo T1 unapata unit (7020÷292)=unit 24
𝑯𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒚𝒐 𝑻𝒂𝒏𝒆𝒔𝒄𝒐 𝒚𝒆𝒕𝒖.......
 
UNUNUZI WA UNITS
Kwa karibu siku 5 sasa nimekuwa niambiwa kuwa Network ya TANESCO iko chini sana na huduma nyiingi huku mikoani ZIMEDOROLA hata watu wanaingiwa na hofu ya nini hatima yake . Tafadhali sana Niombe kuanzia kesho tatizo hilo LISIWEPO KABISA ili wanaohitaji huduma toka kwenu wazipate pasio na shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni watu gani wanaosimamia huu mradi wa Umeme wa REA, maana huku kwetu toka mwezi wa 8 nguzo wamesimamisha na wananchi bado hawajapata umeme, wamefunga Trasfoma tu nakuondoka wanadai nyaya hazipo
Kama ni ishu ya serikali ni bora mkawaambia wananchi ukweli kuliko kuzungukazunguka, hizi form tumepeleka toka mwezi wa 8 2019 tunasubiri umeme lakini hadi leo mwezi wa 5 2020
Ebu tupeni majibu hapo tujue kama ni uzembe wenu au ni uzembe wa serikali.
Mwenye Number ya simu ya Waziri wa nishatu Muh Medard Kalemani. Mm kama mpiga kura wake ninamaswali yanahitaji majibu yake tafadhali!!
 
Lalamiko langu kwa TANESCO
Hivi inawezekanaje kitongoji cha VIZIKO kilichopo KIKONGO wilaya ya Kibaha Pwani kibaguliwe au kusahaulika kuletewa nguzo za umeme? Survey iliishia bondeni daraja la mwendo kasi na sasa hivi wenzetu wa chekeleni wanawekewa umeme na wakati wote tuliomba wakati mmoja?
Tunaomba huyo surveyor na wengine wanaohusika kusambaza umeme wa REA huku Kikongo wajitahidi kumalizia hiki kiporo kilichobakia!
Tumeisha peleka malalamiko yetu kwa mwenyekiti wa Kikongo na tunaomba umeme utufikie na sisi wananchi wa kitongoji cha VIZIKO.
 
TATIZO: TUMELIPIA GHARAMA ZA KUUNGANISHIWA UMEME TANGU MAPEMA FEBRUARY (DELAY)

MAHALI: GEITA MJINI .

ENEO: MBUGANI .

TAASISI :KANISA LA EAGT MBUGANI.

NAMBA YA SIMU: 0756 84 95 11.

HALI ILIYOPO: TULILETEWA NGUZO TANGU MWANZONI MWA MWEZI WA NNE, WAKASEMA HAWANA GARI LA KUBEBA WAYA NA MITA KUJA KUFUNGA. WAKATUAMBIA TUCHIMBE SHIMO, TUKACHIMBA, WAKAJA WAKASIMIKA NGUZO.
KISHA WAKAONDOKA BILA KUUNGANISHA UMEME.

NAOMBA MSAADA WENU, KIMSINGI MPO NYUMA YA MAKUBALIANO, NA HII NI TAASISI YA DINI ,HIVYO TUNAKUWA KWENYE WAKATI MGUMU.





Sent using Tecno Sufuria
AHSANTE KWA TAARIFA TUNAIFANYIA KAZI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lalamiko langu kwa TANESCO
Hivi inawezekanaje kitongoji cha VIZIKO kilichopo KIKONGO wilaya ya Kibaha Pwani kibaguliwe au kusahaulika kuletewa nguzo za umeme? Survey iliishia bondeni daraja la mwendo kasi na sasa hivi wenzetu wa chekeleni wanawekewa umeme na wakati wote tuliomba wakati mmoja?
Tunaomba huyo surveyor na wengine wanaohusika kusambaza umeme wa REA huku Kikongo wajitahidi kumalizia hiki kiporo kilichobakia!
Tumeisha peleka malalamiko yetu kwa mwenyekiti wa Kikongo na tunaomba umeme utufikie na sisi wananchi wa kitongoji cha VIZIKO.
TAFADHALI ONYESHA NAMBA YAKO YA SIMU KWA TAARIFA KAMILI, JE UMEWAHI KUFIKA OFISI YA ENEO LAKO KUPATA TAARIFA SAHIHI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UNUNUZI WA UNITS
Kwa karibu siku 5 sasa nimekuwa niambiwa kuwa Network ya TANESCO iko chini sana na huduma nyiingi huku mikoani ZIMEDOROLA hata watu wanaingiwa na hofu ya nini hatima yake . Tafadhali sana Niombe kuanzia kesho tatizo hilo LISIWEPO KABISA ili wanaohitaji huduma toka kwenu wazipate pasio na shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Unanunua kwa mtandao au njia gani? Tafadhali onyesha namba ya mita na namba ya simu.WATEJA wetu wameendelea kufurahia manunuzi ya umeme vizuri kabisa tunaomba namba yako tukusikilize unapokwamia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco msaada kwa huyu mama amefiwa na mumewe sasa ni mjane na hana kazi kwenye mambo ya msiba watu walitumia sana umeme akahamishwa tariff kutoka ile ndogo kabisa basi baadaya kugundua kuwa anapata unit chache akinunua akaenda Tanesco Tabora akaambiwa akatumia kwa mwezi matumizi yake yasipofika unit 50 arudi ajaze form arudishe kwa tariff ile ndogo ila ameenda wiki hii amembiwa ukishatolewa hurudishwi tena kaja mnyonge hadi huruma na uwezo kweli hana hebu msaidieni arudi tariff ile huyu mama jama mjane na hana uwezo mwishowe atashindwa huu umeme wenyewe, ita namba yake ni 01320663295, Tabora mjini maeneo ya Ali Hassan Mwinyi. Namba yake ya simu ni 0785356230

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama matumizi yake hayajazidi unit zinazotakiwa afike ofisi ya eneo lake kwa kujaza fomu na hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kinaudhi kama uwe umeshalipia huduma halafu unaendelea kukaa gizani huku ukipasia pasi ya mkaa na kwenda kunyenyekea kwa jirani uwekewe simu kwenye chaji. Halafu hapo eti ukaanze kutoa tena hela nyingine kuhonga wakati umeshalipa? Hell No!

Ewe mtu wa TANESCO, siku ukila rushwa yangu nakuhakikishia itakutokea puani maana ntakujia na TAKUKURU, TARURA, RITA, TRA na kadhalika.
Je nani amekuomba rushwa?

Umelipa tarehe ngapi?

Wilaya gani

Namba ya simu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hao watafutie sukari kidogo tu kabla jua halijachwa utashangaa lijiumeme hilo linawaka. Ukienda kiofisi utapewa maneno kibao mara ngoja kwanza kuna walioomba kabla yako au nguzo hazipo. Acha ubahili jikusanye uwaone. Kuna jamaa yangu alitaka huduma hawakuja mwaka mzima. Siku amewalambisha tu walitokeza siku ya pili asubuhi kwelikweli wakamfungia kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha jamii tafadhali huduma zetu hazihitaji hayo unayodai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAFADHALI ONYESHA NAMBA YAKO YA SIMU KWA TAARIFA KAMILI, JE UMEWAHI KUFIKA OFISI YA ENEO LAKO KUPATA TAARIFA SAHIHI
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeenda jana ofisi za ya kata ya Kikongo baada ya kuona nguzo zimemwagwa nyingi sana huku mafundi wakisimika nguzo na kufanya wiring kwa kasi! Niliongea na mwenyekiti akapokea hiyo changamoto akaahidi kwamba atanijibu baada ya kuwaona wahusika!
Napatikana kwa simu 0629594321
 
TAFADHALI ONYESHA NAMBA YAKO YA SIMU KWA TAARIFA KAMILI, JE UMEWAHI KUFIKA OFISI YA ENEO LAKO KUPATA TAARIFA SAHIHI

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba yangu 0629594321
Na nimeisha fika ofisi ya kata Kikongo nasubiri majibu toka kwa mwenyekiti na kama majibu hayataridhisha tuweze kwenda mbele maana huu ni ubaguzi! Vijiji na vitongoji vyote vinavyotuzunguka vitakuwa na umeme isipokuwa chetu!Kwa kweli haiingii akilini!
 
Tafadhali onyesha eneo wilaya namba ya simu kwa taarifa zaidi dhidi ya eneo husika

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nataka umeme kwenye nyumba yangu, Kabuku Tanga, eneo la ki Tanesco ni Korogwe.majibu ya ya nguzo tatu ni mradi kwahiyo nisubiri bila kujua nasubiri mpaka lini hayaniridhishi. Nataka Muh Medard Kalemani anijibu nasubiri kwa mda gani, kunashida gani kwa Tanesco kupata nguzo 3 za kuniwekea umeme? Wakati jirani yangu anaumeme? Ndani ya mita 60 tu?my cont 0625543419.
 
Back
Top Bottom