Mm nimteja nimeleta malalamiko tanesco mbezi baada ya gari kugonga nguzo tuliwajulisha wakaja watu wa emergency wakakata umeme na mita wakaiweka kwa mjumbe wa serikali za mtaa
Tangu mwezi wa 3 mpaka leo hawajaturudishia umeme na tulipewa TB namba 4394 tumezunguka tanesco mpaka tumechoka na umeme hatujarudishiwa nadhani kupitia uzi huu mbezi wajirekebishe nadhani tutarudishiwa umeme hata kesho
Cm tuliyopewa haipokelew na akipokea ni mdada majibu yake cyo ya mtumishi wa serikali ya awamu hii ya 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nimteja nimeleta malalamiko tanesco mbezi baada ya gari kugonga nguzo tuliwajulisha wakaja watu wa emergency wakakata umeme na mita wakaiweka kwa mjumbe wa serikali za mtaa
Tangu mwezi wa 3 mpaka leo hawajaturudishia umeme na tulipewa TB namba 4394 tumezunguka tanesco mpaka tumechoka na umeme hatujarudishiwa nadhani kupitia uzi huu mbezi wajirekebishe nadhani tutarudishiwa umeme hata kesho
Cm tuliyopewa haipokelew na akipokea ni mdada majibu yake cyo ya mtumishi wa serikali ya awamu hii ya 5

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbezi ya kimara
Natatizo liko kimara vinane jirani na kwa Kaseja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco nendeni kunduchi pande za ununio dar es salaam, karibu na shule ya msingi ununio kuna transfoma nimeungua sababu ya mafuta ya transfoma kuibiwa sijui ndivyo navyosikia sasa sijajua mafuta yameibiwa vp na jiogorafia ya pale ni ngumu kuiba kwa mtu mwngne nje kama sio mfanyakazi wa Tanesco ambaye hapendi maendeleo ya shirika hili maana transfoma imekaa barabarani na mazingira ya ofisi ya serikali za mitaa pamoja na baa.
Naombeni muende mkatatua tatzo hilo ni week sasa na nyie mnasema eti mpaka mumkamate aliyeiba mafuta hii si sawa mnakosa mapato kwasababu za kijinga na waomba kabla hatujaripoti na mheshimiwa waziri na raisi pia.
Over. Toka chato hapa kwasasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco nendeni kunduchi pande za ununio dar es salaam, karibu na shule ya msingi ununio kuna transfoma nimeungua sababu ya mafuta ya transfoma kuibiwa sijui ndivyo navyosikia sasa sijajua mafuta yameibiwa vp na jiogorafia ya pale ni ngumu kuiba kwa mtu mwngne nje kama sio mfanyakazi wa Tanesco ambaye hapendi maendeleo ya shirika hili maana transfoma imekaa barabarani na mazingira ya ofisi ya serikali za mitaa pamoja na baa.
Naombeni muende mkatatua tatzo hilo ni week sasa na nyie mnasema eti mpaka mumkamate aliyeiba mafuta hii si sawa mnakosa mapato kwasababu za kijinga na waomba kabla hatujaripoti na mheshimiwa waziri na raisi pia.
Over. Toka chato hapa kwasasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwa tishi Tanesco ila ndo majukumu yenu kama shirika,hilo la kusema mpaka kuwakamata waharifu ndo mrekebshe haliwahusu wananchi bali wananchi wanataka umeme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani naomba kujuzwa, iwapo Tanesco mmeacha nyaya chini zikiwa na umeme na alafu umeme ukamnasa mtu hadi huyo mtu akafa, je naomba kujua nani anawajibishwa na aliyefiwa anafidiwaje? Vip hapo sheria ikoje? Na napaswa kufuata hatua zipi?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mimi tatizo langu ni kwamba nikinunua umeme wa Sh. 5000 napewa unit 13 na point. Ikabidi nifanye ufuatiliaji nikagundua nimewekwa kundi la T1 lakini kwa matumizi yangu YA NYUMBANI naona nastahili kuwekwa kundi la D1 kwasababu sina matumizi yanayoweza hata kufikia unit 75 kwa mwezi.

Naomba kuelekezwa namna ya kubadilisha matumizi ya mita.
 
Mimi tatizo langu ni kwamba nikinunua umeme wa Sh. 5000 napewa unit 13 na point. Ikabidi nifanye ufuatiliaji nikagundua nimewekwa kundi la T1 lakini kwa matumizi yangu YA NYUMBANI naona nastahili kuwekwa kundi la D1 kwasababu sina matumizi yanayoweza hata kufikia unit 75 kwa mwezi.

Naomba kuelekezwa namna ya kubadilisha matumizi ya mita.
Tunaomba namba yako ya mita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani naomba kujuzwa, iwapo Tanesco mmeacha nyaya chini zikiwa na umeme na alafu umeme ukamnasa mtu hadi huyo mtu akafa, je naomba kujua nani anawajibishwa na aliyefiwa anafidiwaje? Vip hapo sheria ikoje? Na napaswa kufuata hatua zipi?
Swala hili haliwezi kujibiwa bila kujua undani wa taarifa husika, Tafadhali onyesha taarifa kamili kwa kuwa nyaya haziwezi kuachwa chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nimteja nimeleta malalamiko tanesco mbezi baada ya gari kugonga nguzo tuliwajulisha wakaja watu wa emergency wakakata umeme na mita wakaiweka kwa mjumbe wa serikali za mtaa
Tangu mwezi wa 3 mpaka leo hawajaturudishia umeme na tulipewa TB namba 4394 tumezunguka tanesco mpaka tumechoka na umeme hatujarudishiwa nadhani kupitia uzi huu mbezi wajirekebishe nadhani tutarudishiwa umeme hata kesho
Cm tuliyopewa haipokelew na akipokea ni mdada majibu yake cyo ya mtumishi wa serikali ya awamu hii ya 5

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali onyesha namba ya simu na mwezi uliotoa taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello! Mwaka Jana September 2019 nilijaza fomu, kisha mwezi wa 12 wakaja kupima eneo husika ( na kusema nguzo 3 zitahitajika). Sasa huu ni mwezi may, kila nikienda ofisi ya Tanesco iliyopo Makongolosi Chunya Mbeya wanasema tuendelee kusubiri nguzo. Je, habari za Kusubiria nguzo ni LA kitaifa?
Mte aliyembali na miundombinu ya umeme anashauriwa kusubiri miundombinu imfikie ili apate huduma ya umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu TANESCO tatizo ni nn mbona huku mitaa ya Mbezi beach Tangibovu, Makonde etc.... umeme umekatika toka jana saa nane usiku na hakuna taarifa yeyote. Kipindi hiki cha Corona wengine tunafanyia kazi nyumbani, jamani mnatuangusha.
 
TANESCO CHARAME WANATUTESA SANA WATEJA MBANDE NA KISEWE TEMEKE KUNA LINE HAINA UMEME TANGU ASUBUHI MPAKA SAA HIZI TUNAPIGA SIMU HAWAPOKEI NA ISITOSHE WANAZIMA KABISA SIMU YA KUTOREA TAARIFA AMBAYO NI 0714073588 ,TUNAOMBA MTUSAIDIE MAANA TATIZO LA KUZIMA UMEME KWENYE LINE HII HUJIRUDI MARA KWA MARA
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Tanesco mnakwama wapi lakn kuna watu mnawatesa sana hyu ni mmoja wao
Screenshot_20200504-195041.jpeg


Its not over until its over...
 
Je mgao wa umeme umeanza? Nachingwea mkoani Lindi wiki ya tatu umeme unawaka lisaa limoja wanakata matatu. Kibaya zaidi ikifika saa kumi na moja jioni wakikata kurudisha saa tano au sita usiku, hujui hata nchi inaendaje maana wiki ya tatu hatuoni habari kwenye televiaheni usiku. Naomba kujua tatizo nini hapa Nachingwea mpaka tuendelee kupata mgao wa umeme pamoja na mvua zote hizi mabwawa yamefurika, umeme wa gesi upo hapo Mtwara si mbali. Tafadhari naomba kujua tatizo ni nini na litaisha lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je mgao wa umeme umeanza? Nachingwea mkoani Lindi wiki ya tatu umeme unawaka lisaa limoja wanakata matatu. Kibaya zaidi ikifika saa kumi na moja jioni wakikata kurudisha saa tano au sita usiku, hujui hata nchi inaendaje maana wiki ya tatu hatuoni habari kwenye televiaheni usiku. Naomba kujua tatizo nini hapa Nachingwea mpaka tuendelee kupata mgao wa umeme pamoja na mvua zote hizi mabwawa yamefurika, umeme wa gesi upo hapo Mtwara si mbali. Tafadhari naomba kujua tatizo ni nini na litaisha lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali onyesha namba yako ya simu kwa mrejesh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom