SACO
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 2,321
- 2,914
Huwezi kwepa hilo, hapo kila ukinunua lazima wakate deni mpaka liishe
Kwaiyo Natakiwa kulipa Daaaaa!
Afhali hata wasingeweka
Huwezi kwepa hilo, hapo kila ukinunua lazima wakate deni mpaka liishe
Kwaiyo Natakiwa kulipa Daaaaa!
Afhali hata wasingeweka
Mm napata hasara kila siku yani?Tanesco Kimara mna matatizo gani wiki hizi mbili?Kwanini umeme unasumbua hivi?Usiniulize namba ya simu nimeshakupa location ni kote kuanzia Ubungo,Kimara hadi Mbezi umeme unakatika mno.
Hivi Tanesco hili suala lina siri gani,kwanini inapofika miezi kuanzia October hadi February huwa huduma zenu za umeme ni mashaka sana?Nawafuatilia miaka mingi iko hivi yaani ikishafika miezi hii ya October,November,December huwa kuna umeme kukatika mno.Sijui siri ya hii ni nini.Tumeenda mwaka vizuri sana huu ila tayari saa hizi ni full matatizo.Mnaua uchumi wa mtu mmoja mmoja jamani.
Token wameleta kabisa mita ni nyingine mkuuKama katika zile namba za luku yako ulikosea kidogo hela huwa inarudi m pesa ila kama ni mita nyingine ndo basi
Hiyo barua akae aikifahamu kuwa itajibiwa mwakani (2020).Andika barua kwenda Kwa Meneja wa TANESCO, kuomba kuhamisha token toka mita uliyokosea kwenda Mita sahihi. Ni rahisi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mita mbili mkuu moja ni mbovu sasa hapa inachofanyika unanunua nyingine unaingizia nyingine sasa nikakosea kutumia namba ya mita ya zamani hapo ndo yaliponiiiva macho mkuuKusema kweli muamala huo ukishafanyika huwezi ku"reverse". Hiyo ndio imetoka. Kuna jirani yangu alinunua umeme wa sh 50000 badala ya 5000 na hakuwa na akiba nyingine ya pesa ya matumizi alipoenda TANESCO wamsaidie walisema haiwezekani kwa hiyo aende akautumie kwa amani.Ikabidi aangalie tv huku njaa inauma.
Sijajua kama ulikosea kuingiza namba ya mita au ulifanya selection kimakosa.Kama ni selection yaani huenda kuna mita nyingine uliwahi kununulia umeme kwa simu yako ikajisajili Mpesa kama uliyemnunulia unamfahamu mnaweza kuyajenga.
Iliwahi kunitokea nilikuwa nimemnunulia mtu umeme kwa simu yangu mara kadhaa kwa hiyo namba yake ya mita bado ipo Mpesa hadi leo. Siku hiyo nikakosea selection. Nikachagua yake badala ya kuchagua yangu. Niliwasiliana naye nikamtumia token akaingiza tulipoonana akanirudishia hela. Sijajua kama wewe kama tatizo lako ni kama hilo langu.
Sasa kwanini wasiwe na utaratibu wa kurekebisha miamala ya haraka?
Siyo Leo Wala kesho labda mwakani ndo AtasikilizwaAndika barua kwenda Kwa Meneja wa TANESCO, kuomba kuhamisha token toka mita uliyokosea kwenda Mita sahihi. Ni rahisi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri tarehe 27 uende ofisini tanesco ujieleze watakusaidia maana hizi namba ni token wala siyo halisi kama haijaingizwa kwenye luku. Labda mkuu kama hutajali tukupige tafu tu usilale gizani! Nitumie pm namba zako za luku nikushike mkono!