Kutoka Moshi -Kilimanjaro
Ni miezi 6 imepita toka nilipie gharama za kufungiwa umeme. Lakini hadi leo sijabahatika kufungiwa, tatizo uhaba wa nguzo ambao hujitokeza mara kwa mara. Mbaya zaidi wanasema kituo cha tanesco Moshi municipal ngzo zipo ila kwa kituo cha Himo nguzo hamna. Je mmejipangaje kuzuia hii kero kwa wananchi wanaotegemea huduma kutoka kituo cha Himo- Kilimanjaro?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka Moshi -Kilimanjaro
Ni miezi 6 imepita toka nilipie gharama za kufungiwa umeme. Lakini hadi leo sijabahatika kufungiwa, tatizo uhaba wa nguzo ambao hujitokeza mara kwa mara. Mbaya zaidi wanasema kituo cha tanesco Moshi municipal ngzo zipo ila kwa kituo cha Himo nguzo hamna. Je mmejipangaje kuzuia hii kero kwa wananchi wanaotegemea huduma kutoka kituo cha Himo- Kilimanjaro?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jina na namba ya simu uliyotumia tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawapongeza kwa juhudi zenu za kutuangazia, lakini mnachelewa sana kutufikishia huduma ya umeme hasa kwa wateja tunaohitaji nguzo hususani wilani masasi mkoani mtwara. Tatizo ni nini?, kama nguzo kila cku tunaziona zinapita. Binafsi tangu nilipie mwaka Jana mwezi wa 11, hadi leo sina hata matumaini ya kupatiwa huduma hiyo kwa karibuni. Asanteni sana kwa kupokea maoni ya wateja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO leo kuna shida gani hatuwezi kununua umeme kwenye simu wala mawakala wa Selcom??? Sehemu nilipo hakuna wakala wa TANESCO napata huduma kwa njia gani?? Naombeni jibu mana hakuna access yoyote ya kununua umeme leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu mpendwa mteja.wilaya eneo namba ya simu na tatizo mpendwa mteja wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam, ni mara nyingi nimeomba kusaidiwa kuhusu suala la REA na mmehaidi mara nyingi kuwa mnalishughulikia na mtanipa mrejesho lakini hadi leo sijaona majibu yoyote. Suala lenyewe ni kwamba katika kitongoji cha KIJUKA kilichopo kwenye kijiji cha MABUYE kata ya KASSAMBYA wilaya ya MISSENYI mkoani KAGERA. Kitongoji cha KIJUKA kilirukwa katika kupatiwa umeme wa REA japo taarifa zilizopo ni kwamba mkandarasi ambaye alikuwa anashughulika na kuweka umeme kwenye kijiji cha MABUYE ambamo kuna kitongoji cha KIJUKA hakupewa RAMANI YA KITONGOJI CHA KIJUKA hivyo hakuweza kufanya lolote ndani ya kitongoji hiki. Jambo hili tumejaribu kulifuatilia karibia ngazi zote za chini lakini hakuna matumaini ya kusaidiwa. Aidha kitongoji hiki kina sifa zote za kupatiwa umeme wa REA. Tafadhali tunaomba msaada kwa hili jambo, 0684542853 hiyo ni namba yangu
 
TANESCO TUNDUMA: Kuna tatizo gani lililo sababisha kutokubadilisha Transfomer eneo la Iboya, leo ni siku ya tano tokea iungue hakuna umeme. Shughuri zetu zimekwama tunaomba mtufungie Transfomer nyingime.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom