Very poor defence. No wonder wamewashikilia bila kuwaoeleka mahakamani wanatafuta namna ya kujitoa. Yaani Wambura na Kingai wamewaingiza chaka na kesi yao uchwara.Waziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania, Nape Moses Nnauye amejibu kuhusu matamko yanayondelea kutolewa na taasisi za kimataifa kuhusu kukamatwa kwa wakosoaji wa Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai...
Huyo Mzee mwenye BP na Kisukari?Acha kutisha watu weusi, kama wanakuny@ kwenye Choo cha shimo ,hawashindwi kuny@ kwenye debe
DIVISION 4 PY 30 NI WAZIRI! NCHI HII IMELAANIWAWaziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania, Nape Moses Nnauye amejibu kuhusu matamko yanayondelea kutolewa na taasisi za kimataifa kuhusu kukamatwa kwa wakosoaji wa Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai...
Geuka nyuma uone ulivyoyokwa jasho ukienda kumuona Mwamba akusamehe, leo hii na wew upo upande wao., haya bhana cheo ni DHAMANA.Waziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania, Nape Moses Nnauye amejibu kuhusu matamko yanayondelea kutolewa na taasisi za kimataifa kuhusu kukamatwa kwa wakosoaji wa Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai...
Washikiriwe, wahojiwe, waadabishwe kwa kuwa asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na dunia.Waziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania, Nape Moses Nnauye amejibu kuhusu matamko yanayondelea kutolewa na taasisi za kimataifa kuhusu kukamatwa kwa wakosoaji wa Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai...
Wanyee hata karne, wameyataka wenyeweView attachment 2718930
Watanyea debe hawa kwa muda mreefu trust me
Wao ndio washenzi wanataka kutuharibia nchi yetu hawafai katu.View attachment 2718930
Watanyea debe hawa kwa muda mreefu trust me
Slaa anyongwe harakaWaziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania, Nape Moses Nnauye amejibu kuhusu matamko yanayondelea kutolewa na taasisi za kimataifa kuhusu kukamatwa kwa wakosoaji wa Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai...
Ya Magufuli yanaendelea!Waziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania, Nape Moses Nnauye amejibu kuhusu matamko yanayondelea kutolewa na taasisi za kimataifa kuhusu kukamatwa kwa wakosoaji wa Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai...
Hasara kubwa hi😂🤣🤣😃, hata Kama sijui kusoma, ila kwanini unywe supu ya mbwa mzee🤣😂 UshimenHaniiiii.....🎶
Hanniiiii.......🎻
Heheeeheee.....😜
Alafu mziki unaisha...😏
Waandamane majumbani kwao na wake na watoto zao wakichoma moto nyumba zao Tanzania hatujui ujinga wao huo.View attachment 2718930
Watanyea debe hawa kwa muda mreefu trust me
Mimi Imhotep nayaunga mkono maandamano ya AMANI ya kudai KATIBA MPYA lakini ati nisapoti Mapinduzi dhidi ya Raisi NEVERWaandamane majumbani kwao na wake na watoto zao wakichoma moto nyumba zao Tanzania hatujui ujinga wao huo.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Utarudishwa Shybush ukaanze form five upya.Na utaitwa "mature" kwa nguvu!😂😂😂😂Haniiiii.....🎶
Hanniiiii.......🎻
Heheeeheee.....😜
Alafu mziki unaisha...😏
Watuhumiwa hao ambao baadhi yao walitaka hadharani kuhamasisha wananchi kubeba silaha dhidi ya Jeshi la Polisi Tanzania, walinaswa ili kutuma ujumbe mzito wa kuwazuia wahalifu kufanya makosa ya jinai.Tamko lipo wapi
Watuhumiwa hao ambao baadhi yao walitaka hadharani kuhamasisha wananchi kubeba silaha dhidi ya Jeshi la Polisi Tanzania, walinaswa ili kutuma ujumbe mzito wa kuwazuia wahalifu kufanya makosa ya jinai.Haniiiii.....
Hanniiiii.......
Heheeeheee.....
Alafu mziki unaisha...
Wacha wewe!Huwa anatembea hadi migingoni kwa akina mama huyo.Usimchezee!Toka lini NAPE akajua kiingereza?.
Sema kwa vile tu yupo CCM.