Tetesi: Askofu Mwamakula: Kuna Miili iliyoharibika zaidi ya 20, ilifukiwa eneo la MSAE, KIBAHA. Miili ilikuwa kwenye Viroba

Tetesi: Askofu Mwamakula: Kuna Miili iliyoharibika zaidi ya 20, ilifukiwa eneo la MSAE, KIBAHA. Miili ilikuwa kwenye Viroba

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Hii Miili kwa Mujibu wa Mtoa taarifa, ilikua inatoa harufu Kali sanaaaa , maana yake Kama imefukiwa na Serikali, ni kwamba sehemu ilipokua miili hiii, Serikali haikua na uwezo wa kuihifadhi , Je Serikali inakoswa uwezo wa kuhifadhi miili ???

TAHARUKI YAZUKA BAADA YA MIILI MINGI ILIYOHARIBIKA KUFUKIWA MSAE, KIBAHA

Baba Askofu Mwamakula!
Jana, 22 Februari 2026, tukio la ajabu liltokea Kibaha Mkoani katika Mtaa wa Uhuru. Ilikuwa hivi: Ilipita pikipiki ya miguu mitatu na ilibeba viroba vyeusi vingi kama uchafu vikitoa harufu kali. Kuifuatilia ile Toyo, ikasimama katika eneo la Makaburi ya Msae. Na palikuwa na takribani makaburi ishirini yamechimbwa. Ghafla wale watu wachache wakaanza kuvirusha vifurushi kwenye makaburi hayo na kuanza kuvifukia.

Hakukuwa na Mwenyekiti wa Mtaa, mjumbe wala askari; bali waliokuwepo ni wachimbaji na gari suzuki yenye namba SM. Taharuki ilikuwa kubwa kwamba hizo maiti zilitoka wapi? Kama ni hospitali kwa nini zizikwe hivyo asubuhi? Na kama ni zilizokosa ndugu, utaratibu uko hivyo?

Kwa kweli fuatilieni mtagundua hayo makaburi bado ni mabichi na ufafanuzi sahihi upatikane kutoka kwa wahusika ili kuondoa sintofahamu. Nimetuma picha hizo hapo.

S. M.,
Mwananchi kutoka Kibaha, 23 Februari 2026.

Ndugu Watanzania!
Hii ni habari ya kutisha sana, ilihitaji ujasiri kwa mtoa taarifa hii kuifikisha. Lakini ilihitaji ujasiri wa hali ya juu kwetu kuiweka hapa. Kwa hiyo, hii inabaki kuwa tuhuma dhidi ya watu ambao hawajulikani kuwa walifanya mauaji ya watu hao ni kwenda kuwafukia kule Kibaha.

Kwa kuwa mtoa taarifa anaeleza kuwa 'mizigo' au miili iliyowekwa katika viroba vile ilikuwa pia inatoa harufu kali sana inawezekana kuwa miili hiyo ilikuwa imekaa muda mrefu huko ilikotoka.

Kwa kuwa eneo lililotajwa linajulikana, ushauri wetu ni huu: wanakijiji wote wafike mahali pale kesho au keshokutwa na kuudai uongozi wao wa Mtaa uite viongozi wa juu kujadili juu ya hilo tukio. Lakini pia hata vyombo vya habari vifike mahali pale kuona kama kweli kuna mazingira ya kuzika miili mahali pale.

Watu wema waanze kufuatilia nyendo za watu kuanzia usiku huu. Wapige picha kwa siri hata kurekodi video kuhusu jambo lolote linalotokea kuanzia sasa. Kama ni kweli hilo tukio lilitukia, wahusika watatafuta namna ya kufukua mahali pale ili kuiondoa kuipeleka sehemu nyingine!

Kwa maelezo ya mtoa taarifa hapo juu, huenda miili hiyo kuna mahali ilikuwa imewekwa kwa muda mrefu ndio maana pia ikawa imeharibika kiasi cha kutoa harufu kali sana. Je, wewe ni mwenyeji wa Kibaha? Je, kuna eneo linaloitwa Makaburi ya Msae? Je, umesikia taarifa hizo?
Je, kuna makaburi au majimbo mengi mabichi?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 23 Februari 2026; Saa 5:45 usiku

1771902831901.jpg
 
Hii Miili kwa Mujibu wa Mtoa taarifa, ilikua inatoa harufu Kali sanaaaa , maana yake Kama imefukiwa na Serikali, ni kwamba sehemu ilipokua miili hiii, Serikali haikua na uwezo wa kuihifadhi , Je Serikali inakoswa uwezo wa kuhifadhi miili ???

View attachment 3547808
Noma sana .. hii ina ukweli?😳😳
 
Eneo hilo lipo lakini lina makaburi ya wasio na ndugu navyofahamu mimi. Kuitwa Air Msae inatokana na maiti za kwanza kuzikwa hapo za abiria ambao walikuwa hawakutambuliwa waliopata ajali kwa basi lililojulikana kama Air Msae miaka ya 2000. Hilo eneo hutumika hivyo. Kuhusu idadi ya maiti 20 nina wasiwasi mara nyingi wanazika kuanzi watu wawili mpk 7, 20 wote kuwa mortuary ni matumizi mabaya mafrijji hifadhi, nina wasiwasi na namba
 
Hii Miili kwa Mujibu wa Mtoa taarifa, ilikua inatoa harufu Kali sanaaaa , maana yake Kama imefukiwa na Serikali, ni kwamba sehemu ilipokua miili hiii, Serikali haikua na uwezo wa kuihifadhi , Je Serikali inakoswa uwezo wa kuhifadhi miili ???

TAHARUKI YAZUKA BAADA YA MIILI MINGI ILIYOHARIBIKA KUFUKIWA MSAE, KIBAHA

Baba Askofu Mwamakula!
Jana, 22 Februari 2026, tukio la ajabu liltokea Kibaha Mkoani katika Mtaa wa Uhuru. Ilikuwa hivi: Ilipita pikipiki ya miguu mitatu na ilibeba viroba vyeusi vingi kama uchafu vikitoa harufu kali. Kuifuatilia ile Toyo, ikasimama katika eneo la Makaburi ya Msae. Na palikuwa na takribani makaburi ishirini yamechimbwa. Ghafla wale watu wachache wakaanza kuvirusha vifurushi kwenye makaburi hayo na kuanza kuvifukia.

Hakukuwa na Mwenyekiti wa Mtaa, mjumbe wala askari; bali waliokuwepo ni wachimbaji na gari suzuki yenye namba SM. Taharuki ilikuwa kubwa kwamba hizo maiti zilitoka wapi? Kama ni hospitali kwa nini zizikwe hivyo asubuhi? Na kama ni zilizokosa ndugu, utaratibu uko hivyo?

Kwa kweli fuatilieni mtagundua hayo makaburi bado ni mabichi na ufafanuzi sahihi upatikane kutoka kwa wahusika ili kuondoa sintofahamu. Nimetuma picha hizo hapo.

S. M.,
Mwananchi kutoka Kibaha, 23 Februari 2026.

Ndugu Watanzania!
Hii ni habari ya kutisha sana, ilihitaji ujasiri kwa mtoa taarifa hii kuifikisha. Lakini ilihitaji ujasiri wa hali ya juu kwetu kuiweka hapa. Kwa hiyo, hii inabaki kuwa tuhuma dhidi ya watu ambao hawajulikani kuwa walifanya mauaji ya watu hao ni kwenda kuwafukia kule Kibaha.

Kwa kuwa mtoa taarifa anaeleza kuwa 'mizigo' au miili iliyowekwa katika viroba vile ilikuwa pia inatoa harufu kali sana inawezekana kuwa miili hiyo ilikuwa imekaa muda mrefu huko ilikotoka.

Kwa kuwa eneo lililotajwa linajulikana, ushauri wetu ni huu: wanakijiji wote wafike mahali pale kesho au keshokutwa na kuudai uongozi wao wa Mtaa uite viongozi wa juu kujadili juu ya hilo tukio. Lakini pia hata vyombo vya habari vifike mahali pale kuona kama kweli kuna mazingira ya kuzika miili mahali pale.

Watu wema waanze kufuatilia nyendo za watu kuanzia usiku huu. Wapige picha kwa siri hata kurekodi video kuhusu jambo lolote linalotokea kuanzia sasa. Kama ni kweli hilo tukio lilitukia, wahusika watatafuta namna ya kufukua mahali pale ili kuiondoa kuipeleka sehemu nyingine!

Kwa maelezo ya mtoa taarifa hapo juu, huenda miili hiyo kuna mahali ilikuwa imewekwa kwa muda mrefu ndio maana pia ikawa imeharibika kiasi cha kutoa harufu kali sana. Je, wewe ni mwenyeji wa Kibaha? Je, kuna eneo linaloitwa Makaburi ya Msae? Je, umesikia taarifa hizo?
Je, kuna makaburi au majimbo mengi mabichi?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 23 Februari 2026; Saa 5:45 usiku

View attachment 3547808
Teeth at Work
 
Kweli nyie ni Matahira.
Miaka yote watu wasio na ndugu wanazikwa na serikali chini ya manispaa hampigi kelele.
Leo mnatafuta kiki.
Hamtaipata.
Wewe ndiye taahira namba moja usiyeelewa. Unashindwa kuelewa jambo dogo tu. Unamtetea Samia! Amekulipa shilingi ngapi fala wewe? Umekosa credibility fala wewe.
 
Hii Miili kwa Mujibu wa Mtoa taarifa, ilikua inatoa harufu Kali sanaaaa , maana yake Kama imefukiwa na Serikali, ni kwamba sehemu ilipokua miili hiii, Serikali haikua na uwezo wa kuihifadhi , Je Serikali inakoswa uwezo wa kuhifadhi miili ???

TAHARUKI YAZUKA BAADA YA MIILI MINGI ILIYOHARIBIKA KUFUKIWA MSAE, KIBAHA

Baba Askofu Mwamakula!
Jana, 22 Februari 2026, tukio la ajabu liltokea Kibaha Mkoani katika Mtaa wa Uhuru. Ilikuwa hivi: Ilipita pikipiki ya miguu mitatu na ilibeba viroba vyeusi vingi kama uchafu vikitoa harufu kali. Kuifuatilia ile Toyo, ikasimama katika eneo la Makaburi ya Msae. Na palikuwa na takribani makaburi ishirini yamechimbwa. Ghafla wale watu wachache wakaanza kuvirusha vifurushi kwenye makaburi hayo na kuanza kuvifukia.

Hakukuwa na Mwenyekiti wa Mtaa, mjumbe wala askari; bali waliokuwepo ni wachimbaji na gari suzuki yenye namba SM. Taharuki ilikuwa kubwa kwamba hizo maiti zilitoka wapi? Kama ni hospitali kwa nini zizikwe hivyo asubuhi? Na kama ni zilizokosa ndugu, utaratibu uko hivyo?

Kwa kweli fuatilieni mtagundua hayo makaburi bado ni mabichi na ufafanuzi sahihi upatikane kutoka kwa wahusika ili kuondoa sintofahamu. Nimetuma picha hizo hapo.

S. M.,
Mwananchi kutoka Kibaha, 23 Februari 2026.

Ndugu Watanzania!
Hii ni habari ya kutisha sana, ilihitaji ujasiri kwa mtoa taarifa hii kuifikisha. Lakini ilihitaji ujasiri wa hali ya juu kwetu kuiweka hapa. Kwa hiyo, hii inabaki kuwa tuhuma dhidi ya watu ambao hawajulikani kuwa walifanya mauaji ya watu hao ni kwenda kuwafukia kule Kibaha.

Kwa kuwa mtoa taarifa anaeleza kuwa 'mizigo' au miili iliyowekwa katika viroba vile ilikuwa pia inatoa harufu kali sana inawezekana kuwa miili hiyo ilikuwa imekaa muda mrefu huko ilikotoka.

Kwa kuwa eneo lililotajwa linajulikana, ushauri wetu ni huu: wanakijiji wote wafike mahali pale kesho au keshokutwa na kuudai uongozi wao wa Mtaa uite viongozi wa juu kujadili juu ya hilo tukio. Lakini pia hata vyombo vya habari vifike mahali pale kuona kama kweli kuna mazingira ya kuzika miili mahali pale.

Watu wema waanze kufuatilia nyendo za watu kuanzia usiku huu. Wapige picha kwa siri hata kurekodi video kuhusu jambo lolote linalotokea kuanzia sasa. Kama ni kweli hilo tukio lilitukia, wahusika watatafuta namna ya kufukua mahali pale ili kuiondoa kuipeleka sehemu nyingine!

Kwa maelezo ya mtoa taarifa hapo juu, huenda miili hiyo kuna mahali ilikuwa imewekwa kwa muda mrefu ndio maana pia ikawa imeharibika kiasi cha kutoa harufu kali sana. Je, wewe ni mwenyeji wa Kibaha? Je, kuna eneo linaloitwa Makaburi ya Msae? Je, umesikia taarifa hizo?
Je, kuna makaburi au majimbo mengi mabichi?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 23 Februari 2026; Saa 5:45 usiku

View attachment 3547808
Aisee hii noma
 
Mama samia hana tatizo n rais wangu nampenda sana.Naipenda chama changu CCM. Wacha hao vibaraka wengine wa chadema, hamna siku mtaiona ikulu labda kwa ndoto. Ikulu ni ya CCM mpaka mwisho wa karne, ndoh tutafikiria kama tutaachia ama tutaendelea nayo. Mama samia tosha na 2030 tunakurudisha kwa muhula wa 2. Kwani si Tanzania n yetu nani atatutisha, CCM ndio master ukileta jeuri tutakupoteza
 
Kweli nyie ni Matahira.
Miaka yote watu wasio na ndugup wanazikwa na serikali chini ya manispaa hampigi kelele.
Leo mnatafuta kiki.
Hamtaipata.
Taahira ni ww unashabikia ungese kwa sababu za siasa za kingese!

Hao watu ishirini wote walipata ajali wakashindwa tambuliwa?

Watu wanauwawa sana,lazma tuhoji!
Haujafikwa ww!
 
Back
Top Bottom