Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,499
- 151,724
Hapa unaweza kuwa unazozana na ndugu yako hujamjua tu.Ha ha ha , dunia ndogo hii!!!
Hapa unaweza kuwa unazozana na ndugu yako hujamjua tu.Ha ha ha , dunia ndogo hii!!!
Yani ww wakuniita mimi dogo hapa jf.. ?!🤣🤣 Sawa mkubwaSoma vizuri we dogo ni JF member mwenzetu,shubamiti
Karibu utembelee Dondwe ya sasa - kumekucha. Simba tunawasikia katika simulizi tu.Chanika usishangae ukasikia ameonekana simba.
Mwaka 2009 kuna jamaa aliuwa Simba na kijembe cha kulimia mpunga, alimuokoa mjomba wake alidakwa aliopenda kupiga kojo choo cha nje.
Huko mbele ndani zaidi Dondwe Simba walikuwa wanamaliza ng'ombe wa mzungu mmoja Babu David Robertson R.I.P.
miaka ya 2000 nilikuwa masaki chole road nyumba za bandari kabla nilikuwa mbezi beach karibu na muarabu huyo mwamba simjui ila kama ni JF member its ok huenda ume edit mwanzo uliandika vibaya!Ulikuwa kizuramimba miaka hiyi.
Dar zamani tulijuana mabishio wote kabla wakuja hamjachafua jiji
Mlipishana,washua wengi walianzia nasaki wakahamia mbezi beach miaka hiyo.wewe ukawa unatoka mbezi beach kuhamia masaki ingekuwa ngumu kumjuamiaka ya 2000 nilikuwa masaki chole road nyumba za bandari kabla nilikuwa mbezi beach karibu na muarabu huyo mwamba simjui ila kama ni JF member its ok huenda ume edit mwanzo uliandika vibaya!
Ndio uzuri wa JF, hata mwendazake alichanwa live alipokosea!Hapa unaweza kuwa unazozana na ndugu yako hujamjua tu.
Steve alikuwa mtoto wa kishuwa haswa,Steve alintambulisha kwa mama yKe ilikuwa mtihani mpaka mama yake kuja kunikubali ilikuwa si mchezo maana wengine shule ndy tulikuwa tunaonekana
Steve shule ya msingi alikuwa mtoto mpole Sana full adabuMzee Jacob Msaki hakuwa tofauti na wazazi wetu wengi wa rika lake,kama Steve alisomeshwa mpaka chuo kikuu na kuhitimu,akapata ajira wizara ya ardhi,yaliyofuata sidhani kama mzazi anahusika sana,wazee wa umri wa Jacob walifanana sana tabia
Msiba mwingine uiiyeniuma ni wa mtoto wa kishuwa Alex kitomariAah, sasa uta ni out. Huyo huyo. Umemjuaje?
Miaka mitatu iliyo pita niliambiwa Nika angalie eneo la kununua MVUTI aisee tulipandishwa pili piki tukaenda mpaka MAGEREZA HUKO mpaka DONDWEKaribu utembelee Dondwe ya sasa - kumekucha. Simba tunawasikia katika simulizi tu.
Msiba mwingine uiiyeniuma ni wa mtoto wa kishuwa Alex kitomari
Ova
Teheeeeeeeee hatari sanaKama vile baadhi ya wazungu wanavyohisi Afrika yote ni nchi moja na wote tunajuana.
Kuna mama mmoja Mjerumani nilikutana nae akaniuliza kama namjua rafiki yake anaetokea Afrika, akataja na jina kabisa. Nikamuuliza Afrika sehemu gani, akanijibu Senegal🤣
Kama nani mtaje🤔Wengi ni vice versa yaan ni binadamu special Sana na wachache wanaweza kufanya hivyo trust me.
Wengi hawawezi hata kumaliza week moja wakiwa alcohol free yaani anakua hawezi maliza siku.
Raisi wa pro maxKama nani mtaje🤔
Kama vile watu wa mikoani walikua wakiona umetoka Dar wanakuulizia mtu fulani ulikutana nae huko Dar anaendeleaje wao wao walizani Dar nikama kijijini ambako population ya watu ndogo hivyo kukutana maeneo ya kilabuni ni lazima Hawakujua kama Dar ni jiji kubwaKama vile baadhi ya wazungu wanavyohisi Afrika yote ni nchi moja na wote tunajuana.
Kuna mama mmoja Mjerumani nilikutana nae akaniuliza kama namjua rafiki yake anaetokea Afrika, akataja na jina kabisa. Nikamuuliza Afrika sehemu gani, akanijibu Senegal🤣
Bado umeniacha labda akili haijatulia niko hapa nahuzunikia msiba wa Steve lakini pia nawaangalia wana wa mitaa yetu those days japo wamejificha kwenye Id fakeRaisi wa pro max
Mh haya bwanaMa born town wengi wa Dar wanachoringia ni kuzaliwa na kukulia Dar ila ugali, mboga na kulala ni kwa mama. Kweli wakuja ni washamba ila walivyofika Dar wamechakarika na wengi kiuchumi wapo vizuri. Bora kuwa Bishoo wa Dar huku ukiiishi kwa kuunga unga na utapeli ama Mlugaluga ila shekeli unayo na unazidi kuitafuta? Vijana wengi maborn town kuanzia Knyama, Sinza, Migo migo wanaunga unga sana...
Wale wa Mbezi beach, Mikocheni, Upanga, Masaki na Obey wanaonekana wapo vizuri kwa kuwa wazazi wao bado wanawalea..
Wazazi wakitangulia ni kuuza mali na kutumbua maisha na zikishaisha ni mwendo wa kuombaomba. Vijana tujitume na kufanya kazi, Vijana ubishoo, ubrazamen na ubitoz sio maisha!
Apumzike kwa amaniMwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia
Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba
Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile
Kote alikisoma iwe Forodhani primary, St Anthon, Dakawa High School, Tumaini University na wizara ya Ardhi, walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu
Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve MsakiView attachment 3291388