TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

Tofauti ya Tozi nyangema na bishoo ni ipi mkuu 😂
Nyangema ni jina la ndugu zetu wa kanda maalum, Sasa walipofika mjini wakakataa kuitwa nyangema wakajipa majina Kam 2 pack, DMX, Jalule kwakuwa wanaswaga za kibitozi sorry kama wewe ni WA mwaka 2000 kunielewa kazi sana
 
Huyo huyo,yule ni muhuni anayejielewa,Nadhani kati ya marafiki wa marehemu Bobby ndio alikuwa zaidi ya rafiki,tangu 1998 Dakawa wako very close,miaka zaidi ya 25
Ha ha ha mimi Bobby ndio kabisaa simwelewi yes ile ni product ya Dakawa aisee labda ninyi
 
Ha ha ha mimi Bobby ndio kabisaa simwelewi yes ile ni product ya Dakawa aisee labda ninyi
Intake ywtu ya 1998 wengi tulikuwa wahuni sana,hata graduation harukufanya ,headmaster mzee Kijame aliogopa fujo.

Bobby atalewa ,atabadili totoz ila ataheshimu kazi yake huo ndio uhuni wa maana
 
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia

Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary, St Anthon, Dakawa High School, Tumaini University na wizara ya Ardhi, walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
MSalimie Babu Sikare😧
View attachment 3291388
Kaka nimezaliwa na kukulia hiyo Mbezi beach ila huyo mtu simfahamu......kifupi Mbezi beach kubwa saaaana siyo km mtaa wa Gerezani pale Kkoo.
 
Kaka nimezaliwa na kukulia hiyo Mbezi beach ila huyo mtu simfahamu......kifupi Mbezi beach kubwa saaaana siyo km mtaa wa Gerezani pale Kkoo.
Mbezi beach ni kubwa sana,
Pili mbezi beach walihamia early 2000s
Ungezaliwa masaki ungemjua
Masaki tulijuana sana
 
Intake ywtu ya 1998 wengi tulikuwa wahuni sana,hata graduation harukufanya ,headmaster mzee Kijame aliogopa fujo.

Bobby atalewa ,atabadili totoz ila ataheshimu kazi yake huo ndio uhuni wa maana
Ha ha ha Bobby baada ya kumaliza form six badala ya kurudi Arusha yeye akaenda Dar moja kwa moja ha ha ha but its OK
 
Ha ha ha Bobby baada ya kumaliza form six badala ya kurudi Arusha yeye akaenda Dar moja kwa moja ha ha ha but its OK
Arusha akafanye nini,alienda Dar dada yake amina Mongi akampa mchongo wakazi Clouds,English ilimsaidia,
Hakuna mwana Dakawa kilaza,
 
Arusha akafanye nini,alienda Dar dada yake amina Mongi akampa mchongo wakazi Clouds,English ilimsaidia,
Hakuna mwana Dakawa kilaza,
Apuzike kwa Amani Amina Mongi..... yes English yake ni nzuri kutokana na msingi wa Elimu hyake pia.
 
Kijame
Kalembo
Ndiva
Mlyuka
Mrema
Sanga ( alikuwa hajiamini)
Kasembe ( alivimba miguu)
Wapo wapi hawa maticha
Kijame alifariki mwaka juzi
Kasembe akaishia kuoa barmaid
Mlyuka english ilimpiga chenga sana
 
Back
Top Bottom