TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

Bado umeniacha labda akili haijatulia niko hapa nahuzunikia msiba wa Steve lakini pia nawaangalia wana wa mitaa yetu those days japo wamejificha kwenye Id fake

Ila ipo siku nikiwajua wote kwa majina halisi maana ID zao fake nimezikariri ,siku yakinishinda lazima niwatafute waniokote
Nilikushaur uwe una drink responsible mkuu...
 
Nilikushaur uwe una drink responsible mkuu...
Nimekaa cell wiki zima bila kunywa ,kaka nilikuwa natetemeka kama jenereta la mjerumani .
Rafiki yangu mmoja alikuwa zamu siku hiyo akaniletea kakonyagi kadogo nahisi ilikuwa siku yangu ya kwanza kuhisi kuna watu wana roho nzuri zilizopitiliza .
 
Nimekaa cell wiki zima bila kunywa ,kaka nilikuwa natetemeka kama jenereta la mjerumani .
Rafiki yangu mmoja alikuwa zamu siku hiyo akaniletea kakonyagi kadogo nahisi ilikuwa siku yangu ya kwanza kuhisi kuna watu wana roho nzuri zilizopitiliza .
Rafiki wa kweli ni yule anae kufaa wakati wa shidaa .
 
Sahihi,nadhani mimi ,wewena wengine tunaomfahamu tuna jesi ya kujibu kwa Mungu,yule akitakiwa apelekwe sobber house,ungemuona m6waka jana ungelia,alihitaji msaada wa mtu wa kumrudisha kwenye njia
Nimeishi maisha alioishi Stive tena kwa miaka mingi. Nilipiga uturn japo kwa asilimia chache baada ya kupata ajira bank na yeye akaenda wizara ya ardhi, Regu akaenda ofisi ya mwanasheria Mkuu na Ben yeye aliamuaga kubaki mtaani. Muda wa kazi Tulikua tunavuka maji kwenda kunywa za bei rahis Jeshini
Bado umeniacha labda akili haijatulia niko hapa nahuzunikia msiba wa Steve lakini pia nawaangalia wana wa mitaa yetu those days japo wamejificha kwenye Id fake

Ila ipo siku nikiwajua wote kwa majina halisi maana ID zao fake nimezikariri ,siku yakinishinda lazima niwatafute waniokote
Kesho anaagwa kanisa Mbezi chini kabla ya kilimacharainbow. Tutaonana wengi
 
Ratiba ya msiba ikoje tukamuage steve msaki.

Watoto wa Tumaini university. St.Anthony. Machizi wake wa IFM wengi sana. Mbezibeach steve hata angegombea udiwani angepata alikuwa mtu wa kuche7ka na watu sana.

Wizara ya ardhi bado wanamkumbuka kwa ucheshi wake .

Pole nyingi baby mama zake Carol Ndossi na Flavia .

Bwana ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe
Flavi wa Mbezi?
 
Rip steve master msaki yanki mmoja wa kishua ila alikuwa anaishi maisha yake ya kawaida.

Mzee msaki alikuwaga meneja mkuu Tisco na wameishi masaki karibu na shopperz magorofa ya Tisco

Wameanza kula maisha enzi za mwalimu. Mama msaki alikuwa boutique mtaa wa azam mjini alikiwa anajipenda masaki ile ukitoa mama mercy mengi wakipita ndani.ya.gari.unasikia. perfume mtaa.mzima na yeye mama msaki.

Pia steve. Ni baba wa mtoto Carlo ndosi mabange.
mabange ?
 
Lakini ujue pía kuacha ni maamuzi zaidi ya mtu kuliko kupewa maneno mengi. Nilikuwa huko
Sasa mkuu uliwezaje kutoka huko maana..unakua kwenye point ya kupoteza mwelekeo na kila kitu ulicho kipigania/ pambania maishani..

Mfano mtu Kama chid Benz, Jos mtambo, dulayo e.t.c Nazungumzia watu walio Katika stage Kama hiyo yaan.

Nawaza mdogo angu anatokaje kwenye hilo shimo gumu na baga alilo jiingiza unaweza ku share ulitumia mbinu gani?!
 
Steve shule ya msingi alikuwa mtoto mpole Sana full adabu
Geti kali ...ila badaye akaja kuja kuchangamka mpaka nkashangaa 😄

Ova
Hii ilikuwa baada ya baba yake kuanza madudu katika familia.
Rahisi sana wazazi kuwaharibu watoto wao kwa vitendo vya ufuska, na huku wakimwona mama yao akimlalamikia sana baba yao.
 
Sasa mkuu uliwezaje kutoka huko maana..unakua kwenye point ya kupoteza mwelekeo na kila kitu ulicho kipigania/ pambania maishani..

Mfano mtu Kama chid Benz, Jos mtambo, dulayo e.t.c Nazungumzia watu walio Katika stage Kama hiyo yaan.

Nawaza mdogo angu anatokaje kwenye hilo shimo gumu na baga alilo jiingiza unaweza ku share ulitumia mbinu gani?!
Sobber house ndio suluhisho
 
Hii ilikuwa baada ya baba yake kuanza madudu katika familia.
Rahisi sana wazazi kuwaharibu watoto wao kwa vitendo vya ufuska, na huku wakimwona mama yao akimlalamikia sana baba yao.
Kuna vitu vinachekesha,Diamond ana bifu na baba yake kisa alimtelekeza,at the sane time na yeye anatelekeza na kuzaa ovyo ovyo.
Mzee Jacob juna makosa aliyafanya ila ana nafuu mara mia kuliko aliyofanya Steeve ambaye tulitegemea awe tofauti na mzee wake
Yaani hapa watoto wanafanya makosa makubwa kuliko yababa zao.
 
Back
Top Bottom