daah nilivoona ratiba tu nikajua huu msiba lazma utakuwa wa kishua apo utakuta fulu mapambio wiki nzima kula kunywa na kusaza... huku kwetu hatunaga mambo haya ni fulu mkuku ratiba anakuja nayo mjomba hamjakaa sawa mnaenda kuzika mkirudi hom ni kula tu hlf kila mtu anatawanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.