Kama vile baadhi ya wazungu wanavyohisi Afrika yote ni nchi moja na wote tunajuana.Kuna watu huwa wanafikiri watu wa Dar huwa wanafahamika nchi nzima
😂Sio kijana,ni around 45,figo,kisukari
Kwa ccm huyo ni kijana kabisaSio kijana,ni around 45,figo,kisukari
Kuna siku nimekaa na wadada wa Dar wawili wanapiga umbeya wao kuhusu mdada mwingine inaoenekana ni maarufu Dar wao kama vile wanamfahamu personally kiundani, sasa wanataka na mimi nichombeze story yao kama vile namjua nikabaki nimekodoa macho na kuduwaa tu.Kama vile baadhi ya wazungu wanavyohisi Afrika yote ni nchi moja na wote tunajuana.
Kuna mama mmoja Mjerumani nilikutana nae akaniuliza kama namjua rafiki yake anaetokea Afrika, akataja na jina kabisa. Nikamuuliza Afrika sehemu gani, akanijibu Senegal🤣
Ukiwa msibani unapata na wali maharageDah ushahidi kama upi mfano
Wa Mbezi Beach na Ada Estate wanamjua, sisi wa Chanika kwa Ngwale huku tutulie tu....Jinga sana mtoa mada yaani kama wote tunamjua