TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

Ulikuwa kizuramimba miaka hiyi.
Dar zamani tulijuana mabishio wote kabla wakuja hamjachafua jiji
Ma born town wengi wa Dar wanachoringia ni kuzaliwa na kukulia Dar ila ugali, mboga na kulala ni kwa mama. Kweli wakuja ni washamba ila walivyofika Dar wamechakarika na wengi kiuchumi wapo vizuri. Bora kuwa Bishoo wa Dar huku ukiiishi kwa kuunga unga na utapeli ama Mlugaluga ila shekeli unayo na unazidi kuitafuta? Vijana wengi maborn town kuanzia Knyama, Sinza, Migo migo wanaunga unga sana...
Wale wa Mbezi beach, Mikocheni, Upanga, Masaki na Obey wanaonekana wapo vizuri kwa kuwa wazazi wao bado wanawalea..
Wazazi wakitangulia ni kuuza mali na kutumbua maisha na zikishaisha ni mwendo wa kuombaomba. Vijana tujitume na kufanya kazi, Vijana ubishoo, ubrazamen na ubitoz sio maisha!
 
Ma born town wengi wa Dar wanachoringia ni kuzaliwa na kukulia Dar ila ugali, mboga na kulala ni kwa mama. Kweli wakuja ni washamba ila walivyofika Dar wamechakarika na wengi kiuchumi wapo vizuri. Bora kuwa Bishoo wa Dar huku ukiiishi kwa kuunga unga na utapeli ama Mlugaluga ila shekeli unayo na unazidi kuitafuta? Vijana wengi maborn town kuanzia Knyama, Sinza, Migo migo wanaunga unga sana...
Wale wa Mbezi beach, Mikocheni, Upanga, Masaki na Obey wanaonekana wapo vizuri kwa kuwa wazazi wao bado wanawalea..
Wazazi wakitangulia ni kuuza mali na kutumbua maisha na zikishaisha ni mwendo wa kuombaomba. Vijana tujitume na kufanya kazi, Vijana ubishoo, ubrazamen na ubitoz sio maisha!
Sio wote ila nikiri tu kuwa nusu ya marafiki zangu wamepoteza mwelekeo,hata mimi chupuchupu.tulizaliwa na kukua kipindi kigumu uhuni ikiwa ni fasheni,imagine unabalehe Tupac ndio yuko kwenye peak.lazima uvae mlegezo,uvute bangi,utoboe sikio,ukimaliza shule unawaza kuwa baharia kwenye meli au kuzamia nchi za watu,haikuwa rahisi wala msitucheke.
Siku hizi uhuni ni ushamba
Vijana wa siku hizimmezaliwakipindi jiji limejaa ustaarabu.
 
Sio wote ila nikiri tu kuwa nusu ya marafiki zangu wamepoteza mwelekeo,hata mimi chupuchupu.tulizaliwa na kukua kipindi kigumu uhuni ikiwa ni fasheni,imagine unabalehe Tupac ndio yuko kwenye peak.lazima uvae mlegezo,uvute bangi,utoboe sikio,ukimaliza shule unawaza kuwa baharia kwenye meli au kuzamia nchi za watu,haikuwa rahisi wala msitucheke.
Siku hizi uhuni ni ushamba
Vijana wa siku hizimmezaliwakipindi jiji limejaa ustaarabu.
Sio wote ila wengi ndio ilikuwa hivyo. Ni kweli kama ulivyosema wengi wa zamani walikumbwa na usela wa Kimarekani ulioingia kwa kasi. Ila mabishoo wa sasa waliozaliwa Dar wanategemea sana mali za baba hawajitumi kisa baba yupo, wapo wachache wanaojituma.

Majority ya vijana wanaokimbiza uchumi ni waliokuja na ambao hawategemei vya kurithi.
 
Chanika kiwanja laki tano,sio daslam hiyo hama haraka
Huku ndiyo kwenyewe, nazunguka uani nachuma chungwa mtini, naenda bandani nakamata jogoo au mbuzi nachinja, nyie endeleeni kula chips kuku wa kisasa na mayai yake, ziwamalize nguvu, badae tutakuja watoto wa Chanika tuwa-tombee mademu zenu....
 
Huku ndiyo kwenyewe, nazunguka uani nachuma chungwa mtini, naenda bandani nakamata jogoo au mbuzi nachinja, nyie endeleeni kula chips kuku wa kisasa na mayai yake, ziwamalize nguvu, badae tutakuja watoto wa Chanika tuwa-tombee mademu zenu....
Hayo ni makazi ya wastaafu, haiwezekani ndani ya Dar unasafiri masaa hujafika kwako hata aliyepanda bus la Morogoro anawahi kufika.
 
Hayo ni makazi ya wastaafu, haiwezekani ndani ya Dar unasafiri masaa hujafika kwako hata aliyepanda bus la Morogoro anawahi kufika.
Unajua na hii SGR ikikaa sawa, watu tutaanza kuishi Morogoro baadae huku tunafanya kazi Dar - ilituwe tunalala kwenye hewa safi na kula vitu fresh vya shambani - tuishi maisha marefu.
 
Huku ndiyo kwenyewe, nazunguka uani nachuma chungwa mtini, naenda bandani nakamata jogoo au mbuzi nachinja, nyie endeleeni kula chips kuku wa kisasa na mayai yake, ziwamalize nguvu, badae tutakuja watoto wa Chanika tuwa-tombee mademu zenu....
Dar vijijininasikia huko kulikuwa na uchaguzi wa vitongoji
 
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia

Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Picha yake tafadhali
 
Back
Top Bottom