Kwamba Tanzania anaiona ipo sawa na mtaa wa Narung'ombe.Kuna watu huwa wanafikiri watu wa Dar huwa wanafahamika nchi nzima
Shida yakudhani kila mtu yupo huko dar..Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia
Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba
Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile
Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu
Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Nimecheka saana hii comment ilivyo,teh teh tehee,ndio tatizo la ubinafsi hilo,,Jinga sana mtoa mada yaani kama wote tunamjua
That's the end, biting the dust...tutang'ata dongo kwa zamuDah, dogo kama namuona alivyokuwa anakuja Upanga.
RIP.
Hutaji id yake,weka pichaWaba JF hatuwekagi picha za members
Nipe direction nije kujinoma minyamaMsiba wa kishua buffet ya hatari hakuna naharage
Daah aisee yule jamaa wa Cancer alifariki RIP.wapumzike kwa amani warumi huyu jamaa pia niliumia sana nilipogundua amekufa na yule chalii aliekufa kwa kansa na uzi wake aliweka kabisa siku zake zipo mwishoni
Mtu wa Moshi sema mzee wake miaka hiyo anayosema Mzee jina lake lilikua kubwa sana kwa daslm kama wakina Mengi tu..Wanazika lini na wanazika wapi
Yeah jina km nalikumbuka hvMtu wa Moshi sema mzee wake miaka hiyo anayosema Mzee jina lake lilikua kubwa sana kwa daslm kama wakina Mengi tu..
Mchaga unategemea azikwe wapi?Wanazika lini na wanazika wapi